-
Trump atoa radiamali kufuatia kuaga dunia baba na binti yake wahajiri wa El Salvador
Jun 27, 2019 03:44Rais Donald Trump wa Marekani ametoa radiamali kufuatia kusambaa picha katika vyombo vya habari zinazomuonyesha baba na binti yake wa mwaka mmoja, ambao ni wahajiri wa El Salvador na waliofariki dunia kwa kuzama maji wakijaribu kuingia Marekani ambapo amewatwisha mzigo wa lawama wanachama wa Democrat na tukio hilo la maafa.
-
Amir Abdollahian: Njia pekee ya kuokoka Trump ni kubadilika mbele ya mantiki madhubuti ya Kiongozi Muadhamu wa Iran
Jun 27, 2019 08:15Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kimataifa wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, njia pekee ya kuweza kuokoka rais wa Marekani, Donald Trump ni kubadilisha mienendo yake mbele ya mantiki madhubuti ya Kiongozi Muadhamu na taifa kubwa la Iran.
-
Carter: Vita vyote vya Marekani havijakuwa na manufaa
Jun 25, 2019 22:22Rais wa zamani wa Marekani amekiri kuwa vita vyote vilivyoendeshwa na Marekani hadi kufiki sasa havijakuwa na udharura wala manufaa.
-
Trump atishia kumfuta kazi afisa wa ngazi ya juu zaidi wa benki Marekani
Jun 25, 2019 08:11Rais wa Marekani ametishia kumfukuza Gavana wa Benki kuu ya nchi hiyo. Trump amesema licha ya kuwa ana uwezo wa kumfuta kazi Jerome Powell lakini hana nia ya kufanya hivyo kwa sasa.
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; hatua ya kukata tamaa watawala wa Washington
Jun 25, 2019 07:39Baada ya Rais Trump wa Marekani kuchukua hatua ya kuiondoa nchi yake katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA mnamo tarehe 8 Mei mwaka uliopita, serikali yake ilianza kutekeleza vikwazo vya nyuklia dhidi ya taifa la Iran.
-
Sheikh Isa Qassim: Trump anataka kuiuza Palestina na matukufu yake
Jun 25, 2019 02:25Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Bahrain, Sheikh Isa Qassim sambamba na kulaani hatua ya utawala wa Manama kuwa mwenyeji wa Kongamano la Kibiashara linalotazamiwa kuanza leo nchini humo kwa shabaha ya kuzindua mpango wa 'Muamala wa Karne' amesema mpango huo wa Rais Donald Trump wa Marekani unakusudia kuwapokonya Wapalestina haki zao zote na kuuza kila kitu kinachomilikiwa nao yakiwemo maeneo matakatifu.
-
Marekani imechanganyikiwa katika sera zake kuhusu Iran
Jun 24, 2019 03:34Utawala wa Marekani unaendelea kuchanganyikiwa katika sera zake kuhusu Iran na hali hiyo ilifikia kilele chake baada ya ndege isiyo na rubani (drone) ya kijasusi ya Marekani kutunguliwa na vikosi vya kijeshi vya Iran Alhamisi iliyopita.
-
Zarif: Timu B ilijaribu kumtia mtegoni Trump aingie katika vita na Iran
Jun 23, 2019 23:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema tukio la hivi karibuni la drone ya Marekani kukiuka anga ya Iran katika Bahari ya Oman ilikuwa sehemu ya njama pana za wapenda vita (Timu B) kumtia mtegoni Rais Donald Trump wa Marekani ili aingie katika vita na Iran.
-
Meya wa London amkejeli Trump, asema ni mtoto wa futi sita
Jun 23, 2019 08:31Meya wa jiji la London nchini Uingereza amerudisha mapigo ya mashambulizi ya maneno na bwabwaja za Rais Donald Trump wa Marekani na kumtaja kuwa ni mtoto mdogo mwenye futi 6.
-
Mwandishi wa habari asema Trump alimbaka miaka ya 1990
Jun 22, 2019 08:42Rais Donald Trump wa Marekani anaandamwa na kashfa nyingine ya ufuska baada ya mwanadishi wa habari kwa jina E. Jean Carroll, kufichua kuwa kiongozi huyo wa Marekani wakati huo akiwa mjasiriamali alimbaka katikati ya miaka 90.