Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Mwandishi wa habari asema Trump alimbaka miaka ya 1990

    Mwandishi wa habari asema Trump alimbaka miaka ya 1990

    Jun 22, 2019 08:42

    Rais Donald Trump wa Marekani anaandamwa na kashfa nyingine ya ufuska baada ya mwanadishi wa habari kwa jina E. Jean Carroll, kufichua kuwa kiongozi huyo wa Marekani wakati huo akiwa mjasiriamali alimbaka katikati ya miaka 90.

  • Wajumbe wa Kongresi ya Marekani wamuonya Trump juu ya chokochoko zozote dhidi ya Iran

    Wajumbe wa Kongresi ya Marekani wamuonya Trump juu ya chokochoko zozote dhidi ya Iran

    Jun 21, 2019 03:24

    Wawakilishi wanne wa Bunge la Kongresi nchini Marekani wamemuonya Rais Donald Trump wa nchi hiyo kuchukua hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Iran kufuatia kutunguliwa na jeshi la Iran ndege yake ya ujasusi Alkhamisi ya jana, baada ya rais huyo kutoa radiamali kuhusiana na kadhia hiyo.

  • Trump atoa radiamali kufuatia kuatunguliwa droni ya kijasusi ya Marekani

    Trump atoa radiamali kufuatia kuatunguliwa droni ya kijasusi ya Marekani

    Jun 21, 2019 00:19

    Rais Donald Trump wa Marekani ametoa radiamali ya kwanza kufuatia kutunguliwa na mfumo wa makombora wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya Marekani ambapo amedai kwamba, eti Iran imefanya kosa kubwa.

  • Wafanyabiashara wa Kipalestina wasusia mkutano wa Trump, Bahrain

    Wafanyabiashara wa Kipalestina wasusia mkutano wa Trump, Bahrain

    Jun 21, 2019 00:08

    Wafanyabiashara na wawekezaji mashuhuri wa Kipalestina wametangaza bayana kuwa hawatoshiriki mkutano wa 'kiuchumi wa Manama' nchini Bahrain ulioitishwa na Marekani, wenye lengo la kuzindua 'Muamala wa Karne', wakisisitiza kuwa kile ambacho Wapalestina wanahitajia ni uhuru wao na wala sio fedha.

  • Trump awataka washauri wake wajiepushe na matamshi makali ya kupenda vita dhidi ya Iran

    Trump awataka washauri wake wajiepushe na matamshi makali ya kupenda vita dhidi ya Iran

    Jun 20, 2019 06:50

    Rais Donald Trump wa Marekani amewataka washauri wake wajiepushe na matamshi makali ya kichochezi na ya kupenda vita dhidi ya Iran.

  • Hamas: Trump hawezi kuwatenganisha Wapalestina na Quds Tukufu

    Hamas: Trump hawezi kuwatenganisha Wapalestina na Quds Tukufu

    Jun 20, 2019 06:29

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa muamala wa karne hauwezi kuwapokonya Wapalestina mji wa Quds (Jeruusalem) ambao unakaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Bernie Sanders: Trump ni rais hatari zaidi kuwahi kutawala katika historia ya Marekani

    Bernie Sanders: Trump ni rais hatari zaidi kuwahi kutawala katika historia ya Marekani

    Jun 19, 2019 22:15

    Seneta mmoja mashuhuri nchini Marekani amesema kuwa, nchi hiyo haijawahi kupata rais hatari zaidi kushinda Donald Trump katika historia yake yote.

  • Trump aahidi kuponya Ukimwi na kuwapeleka Wamarekani sayari ya 'Mars' akichaguliwa tena

    Trump aahidi kuponya Ukimwi na kuwapeleka Wamarekani sayari ya 'Mars' akichaguliwa tena

    Jun 19, 2019 03:18

    Rais Donald Trump wa Marekani ameahidi kuwa iwapo atashinda muhula wa pili katika uchaguzi wa rais mwaka ujao, basi utawala wake utatoa tiba ya maradhi hatari ya saratani na Ukimwi.

  • Wamarekani waandamana katika miji 130 wakitaka Rais Donald Trump asailiwe

    Wamarekani waandamana katika miji 130 wakitaka Rais Donald Trump asailiwe

    Jun 16, 2019 09:07

    Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika miji tofauti inayokaribia 130 wakitaka Rais Donald Trump wa nchi hiyo asailiwe.

  • Kundi la Haftar lapinga mazungumzo ya amani mpaka

    Kundi la Haftar lapinga mazungumzo ya amani mpaka "liiteke" Tripoli

    Jun 13, 2019 22:03

    Aguila Saleh, Spika wa Bunge la Tobruk linalomuunga mkono Khalifa Haftar huko Libya amesema kuwa hawatoshiriki katika mazungumzo yoyote ya amani hadi pale watakaooipindua serikali ya Umoja wa Kitaifa na kuiteka Tripoli, mji mkuu wa Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS