-
Uropokaji mpya wa Trump dhidi ya Iran
Jun 13, 2019 06:50Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akichukua misimamo ya chuki na uhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na karibuni amekuwa akitumia stratijia ya 'mashinikizo ya juu zaidi' kuilazimisha Iran ikubali matakwa yake ya kidhalimu.
-
Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'
Jun 11, 2019 00:51Licha ya juhudi kuibwa zinazofanywa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanikisha mpango wa 'Muamala wa Karne' ambao unalenga kudhamini maslahi ya utawala haramu wa Israel kwa madhara ya Wapalestina, lakini washirika wa Ulaya wa Washington ikiwemo Ufaransa, wanaendelea kuukosoa mpango huo.
-
Viongozi wa Russia na China wasisitiza kuendelea kuheshimiwa mapatano ya JCPOA, walaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Jun 06, 2019 22:39Russia na China zikiwa nchi mbili muhimu wanachama wa kundi la 4+1 daima zimekuwa zikisisitiza udharura wa kulindwa mapatano ya kimataifa ya JCPOA na wakati huohuo kupinga vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran.
-
Seneti ya Marekani yaanzisha mchakato wa kuzuia uuzaji wa silaha kwa Saudia
Jun 06, 2019 02:11Maseneta wa Marekani wamewasilisha katika Kongresi ya nchi hiyo muswada unaotaka kuzuia mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 8.1 kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, yaliyoidhinishwa hivi karibuni na utawala wa Rais Donald Trump bila idhini ya Kongresi.
-
Waziri kivuli wa Uingereza: Donald Trump ni mbaguzi
Jun 05, 2019 22:01Waziri kivuli wa mambo ya nje wa Uingereza amemkosoa vikali Rais Donald Ttump wa Marekani na kumtaja kuwa ni mbaguzi na muwindaji wa ngono.
-
Donald Trump akaribishwa kwa maandamano mjini London Uingereza
Jun 03, 2019 08:12Rais Donald Trump wa Marekani amewasili katika mji mkuu wa Uingereza huku kukiwa na maandamano makubwa ya wananchi wenye hasira wanaompinga kiongozi huyo.
-
Uingiliaji wa wazi wa serikali ya Trump katika masuala ya ndani ya Uingereza
Jun 02, 2019 23:49Sambamba na kujiuzulu Theresa May, Waziri Mkuu wa Uingereza kutokana na kushindwa kutatua kadhia ya Brexit, hivi sasa Rais Donald Trump wa Marekani na maafisa wa serikali yake wanafanya jitihada za kubadilisha matukio ya nchi hiyo ya kisiwa barani Ulaya, yaendane na malengo ya Washington.
-
Ujumbe unaokinzana wa Trump kwa Iran
May 30, 2019 21:52Rais Donald Trump wa Marekani siku zote amekuwa na misimamo ya kihasama na kiadui dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na daima anasisitiza suala la kuzidisha masihinizo dhidi ya Tehran kwa shabaha ya kuilazimisha kukubali matakwa ya Washington.
-
Raia wa Jordan waandamana kupinga safari ya mkwe wa Trump nchini kwao
May 29, 2019 23:12Raia wa Jordan wamefanya maandamano kupinga safari ya Jared Kushner, mkwe wa Rais Donald Trump wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi ambapo wamepiga kambi mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Amman.
-
Trump abadilisha kauli yake kuhusu Iran, ombi la mazungumzo mkabala wa msimamo wake wa awali wa vitisho
May 28, 2019 02:42Rais Donald Trump wa Marekani, iwe ni katika zama za kampeni za uchaguzi au baada ya kuingia Ikulu ya White House Januari 2017, amekuwa akifuatilia sera ya kuudhoofisha au kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.