-
Newsweek: Mchakato wa kumuuzulu Trump unakaribia zaidi
Aug 23, 2018 02:39Jarida la Newsweek la Marekani limeandika ripoti kuhusu uamuzi wa mahakama ya nchi hiyo uliyompata na hatia mwenyekiti wa zamani wa timu ya kampeni za uchaguzi ya Rais Donald Trump na hatua ya wakili wa zamani wa kiongozi huyo ya kukiri kufanya makosa kadhaa na kusisitiza kuwa, kuna uwezekano mkubwa wa kusailiwa na kuuzuliwa Trump.
-
Ungamo la kihistoria la Trump: Lilikuwa kosa kubwa Marekani kujiingiza Mashariki ya Kati
Aug 22, 2018 21:09Rais wa Marekani amesisitiza kwa mara nyingine tena kuwa lilikuwa kosa tangu awali kwa vikosi vya nchi hiyo kuwepo katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Kukaririwa tuhuma zisizo na msingi za Marekani dhidi ya Iran
Aug 19, 2018 00:01Katika kipindi chote cha miaka 40 ya kuasisiwa mfumo wa Jamhuriya Kiislamu nchini Iran, Marekani daima imekuwa ikifuatilia na kutoa tuhuma maalumu na zisizo na msingi dhidi ya taifa la Iran.
-
Seneti ya Marekani yapasisha azimio dhidi ya sera za kidikteta za Trump
Aug 17, 2018 03:39Baraza la Seneti la Marekani limepasisha azimio linalokosoa mienendo ya rais wa nchi hiyo dhidi ya vyombo vya habari.
-
Magazeti ya Marekani yaingia vitani na Rais Donald Trump
Aug 16, 2018 09:04Zaidi ya magazeti 340 ya Marekani yakiwa na lengo la kukosoa misimamo ya chuki ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo kuhusiana na vyombo vya habari, yamechapisha makala zinazoshambulia na kulaani hatua za rais huyo.
-
Amnesty International lakosoa siasa za ubaguzi zinazotekelezwa na Trump
Aug 13, 2018 03:32Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International na katika kumbukumbu za mwaka mmoja za matukio ya Charlottesville, Marekani limekosoa siasa za ubaguzi zinazotekelezwa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo.
-
Trump aendelea kutoa vitisho dhidi ya washirika wa kibiashara wa Iran
Aug 07, 2018 23:46Rais Donald Trump wa Marekani amezitishia tena nchi zenye uhusiano wa kibiashara na Iran baada ya kupuuzwa amri aliyotoa ya kutekelezwa tena vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Zarif: Trump, Muhammad bin Salman na Netanyahu ni nembo ya ukatili duniani
Aug 06, 2018 09:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Rais Donald Trump wa Marekani, Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ni nembo ya ukatili, uvunjaji wa haki, ukandamizaji na kutoaminiana duniani.
-
Seneta Bernie Sanders: Trump ana maradhi ya kusema uongo
Aug 06, 2018 08:35Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani, Bernie Sanders amemkosoa vikali Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwamba, anawahadaa wapiga kura kwa kuwaambia uongo.
-
Foreign Policy: Trump anaupotosha umma kuhusu hali ya umasikini Marekani
Aug 04, 2018 22:02Jarida la Foreign Policy limetoa ripoti na kueleza kwamba serikali ya Marekani inaupotosha umma kuhusu hali ya umasikini nchini humo.