Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Marekani inatekeleza mpango wa siri wa kuzika haki ya kurejea wakimbizi wa Palestina

    Marekani inatekeleza mpango wa siri wa kuzika haki ya kurejea wakimbizi wa Palestina

    Aug 04, 2018 10:39

    Mkwe wa Rais wa Marekani anafanya kila linalowezekana kulifunga Shirika la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya wakimbizi wa Palestina (UNRWA) ambalo limekuwa likitoa huduma za msingi kwa mamilioni ya wakimbizi wa Kipalestina katika miongo kadhaa iliyopita.

  • Ivanka Trump apinga siasa za uhamiaji, vyombo vya habari za baba yake

    Ivanka Trump apinga siasa za uhamiaji, vyombo vya habari za baba yake

    Aug 03, 2018 20:56

    Binti wa Rais Donald Trump wa Marekani, Ivanka Trump amepinga sera na siasa za baba yake kuhusiana na wahajiri.

  • Donald Trump ashikilia rekodi ya

    Donald Trump ashikilia rekodi ya "Rais mwongo zaidi wa Marekani"

    Aug 02, 2018 10:23

    Gazeti la Washington Post la nchini Marekani limeripoti kuwa, Donald Trump ndiye Rais mwongo zaidi katika historia ya nchi hiyo.

  • Kharrazi amjibu Trump na kumtaka kwanza atekeleze ahadi za serikali zilizotangulia za Marekani

    Kharrazi amjibu Trump na kumtaka kwanza atekeleze ahadi za serikali zilizotangulia za Marekani

    Jul 31, 2018 10:40

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Sera za Kigeni la Iran Dkt. Kammal Kharrazi ametoa jibu kwa pandekezo la Rais Donald Trump wa Marekani la kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na wakuu wa Iran na kusema: "Kabla ya yote, Donald Trump anapaswa kutekeleza ahadi na mikataba ya serikali zilizotangulia za Marekani na aheshimu sheria za kimataifa."

  • Waters: Mkanda wa sauti wa Trump umefichua zaidi kuwa ni msema uongo

    Waters: Mkanda wa sauti wa Trump umefichua zaidi kuwa ni msema uongo

    Jul 30, 2018 07:45

    Mbunge wa chama cha Democratic nchini Marekani amesema kuwa mkanda wa sauti wa mazungumzo ya Donald Trump wa nchi hiyo na wakili wake wa zamani umeweka wazi zaidi kuwa kiongozi huyo ni mrongo na kidhabi.

  • Mkutano wa viongozi wa BRICS na ukosoaji wa sera za Marekani

    Mkutano wa viongozi wa BRICS na ukosoaji wa sera za Marekani

    Jul 27, 2018 02:07

    Sera za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja za Marekani ambazo zimeshika kasi zaidi katika utawala wa Donald Trump zimekuwa kero kwa aghlabu ya mataifa yote huru na yanayojitawala duniani.

  • Madai ya Donald Trump ya kuwa tayari kufikia makubaliano na Iran

    Madai ya Donald Trump ya kuwa tayari kufikia makubaliano na Iran

    Jul 25, 2018 03:48

    Licha ya kuweko uadui na uhasama wa Marekani dhidi ya Iran katika kipindi cha miaka takribani 40 tangu kuasisiwa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu, lakini katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, uadui huo ulishadidi zaidi iwe ni katika kipindi cha kampeni za uchaguzi na hata baada ya kuingia madarakani.

  • Kulegeza kamba White House kuhusiana na bwabwaja za Donald Trump dhidi ya Iran

    Kulegeza kamba White House kuhusiana na bwabwaja za Donald Trump dhidi ya Iran

    Jul 24, 2018 20:49

    Katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, Marekani imeshadidisha misimamo na hatua zilizo dhidi ya Iran.

  • White House yalegeza kamba kuhusu matamshi ya vitisho ya Trump dhidi ya Iran

    White House yalegeza kamba kuhusu matamshi ya vitisho ya Trump dhidi ya Iran

    Jul 24, 2018 03:18

    Msemaji wa Ikulu ya Marekani (White House) amelegeza kamba kuhusiana na matamshi ya vitisho ya Rais Donald Trump dhidi ya Iran.

  • Qassemi katika kujibu Tweet ya Trump: Taifa la Iran litatoa jibu kwa uchokozi

    Qassemi katika kujibu Tweet ya Trump: Taifa la Iran litatoa jibu kwa uchokozi

    Jul 23, 2018 09:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu ujumbe wa kichochezi wa Twitter wa Rais Donald Trump wa Marekani na kusema: "Watu wa Iran daima wamekuwa wakijibu vitisho kwa vitisho, na ukarimu kwa ukarimu na hivyo watatoa jibu kali kwa utumiaji mabavu na uchokozi."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS