-
Marekani inatekeleza mpango wa siri wa kuzika haki ya kurejea wakimbizi wa Palestina
Aug 04, 2018 10:39Mkwe wa Rais wa Marekani anafanya kila linalowezekana kulifunga Shirika la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya wakimbizi wa Palestina (UNRWA) ambalo limekuwa likitoa huduma za msingi kwa mamilioni ya wakimbizi wa Kipalestina katika miongo kadhaa iliyopita.
-
Ivanka Trump apinga siasa za uhamiaji, vyombo vya habari za baba yake
Aug 03, 2018 20:56Binti wa Rais Donald Trump wa Marekani, Ivanka Trump amepinga sera na siasa za baba yake kuhusiana na wahajiri.
-
Donald Trump ashikilia rekodi ya "Rais mwongo zaidi wa Marekani"
Aug 02, 2018 10:23Gazeti la Washington Post la nchini Marekani limeripoti kuwa, Donald Trump ndiye Rais mwongo zaidi katika historia ya nchi hiyo.
-
Kharrazi amjibu Trump na kumtaka kwanza atekeleze ahadi za serikali zilizotangulia za Marekani
Jul 31, 2018 10:40Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Sera za Kigeni la Iran Dkt. Kammal Kharrazi ametoa jibu kwa pandekezo la Rais Donald Trump wa Marekani la kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na wakuu wa Iran na kusema: "Kabla ya yote, Donald Trump anapaswa kutekeleza ahadi na mikataba ya serikali zilizotangulia za Marekani na aheshimu sheria za kimataifa."
-
Waters: Mkanda wa sauti wa Trump umefichua zaidi kuwa ni msema uongo
Jul 30, 2018 07:45Mbunge wa chama cha Democratic nchini Marekani amesema kuwa mkanda wa sauti wa mazungumzo ya Donald Trump wa nchi hiyo na wakili wake wa zamani umeweka wazi zaidi kuwa kiongozi huyo ni mrongo na kidhabi.
-
Mkutano wa viongozi wa BRICS na ukosoaji wa sera za Marekani
Jul 27, 2018 02:07Sera za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja za Marekani ambazo zimeshika kasi zaidi katika utawala wa Donald Trump zimekuwa kero kwa aghlabu ya mataifa yote huru na yanayojitawala duniani.
-
Madai ya Donald Trump ya kuwa tayari kufikia makubaliano na Iran
Jul 25, 2018 03:48Licha ya kuweko uadui na uhasama wa Marekani dhidi ya Iran katika kipindi cha miaka takribani 40 tangu kuasisiwa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu, lakini katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, uadui huo ulishadidi zaidi iwe ni katika kipindi cha kampeni za uchaguzi na hata baada ya kuingia madarakani.
-
Kulegeza kamba White House kuhusiana na bwabwaja za Donald Trump dhidi ya Iran
Jul 24, 2018 20:49Katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, Marekani imeshadidisha misimamo na hatua zilizo dhidi ya Iran.
-
White House yalegeza kamba kuhusu matamshi ya vitisho ya Trump dhidi ya Iran
Jul 24, 2018 03:18Msemaji wa Ikulu ya Marekani (White House) amelegeza kamba kuhusiana na matamshi ya vitisho ya Rais Donald Trump dhidi ya Iran.
-
Qassemi katika kujibu Tweet ya Trump: Taifa la Iran litatoa jibu kwa uchokozi
Jul 23, 2018 09:24Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu ujumbe wa kichochezi wa Twitter wa Rais Donald Trump wa Marekani na kusema: "Watu wa Iran daima wamekuwa wakijibu vitisho kwa vitisho, na ukarimu kwa ukarimu na hivyo watatoa jibu kali kwa utumiaji mabavu na uchokozi."