Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Raia wazalendo wa Marekani waandamana dhidi ya siasa za Donald Trump

    Raia wazalendo wa Marekani waandamana dhidi ya siasa za Donald Trump

    Jul 22, 2018 23:29

    Raia asili wa Marekani na wasio wazungu, wamefanya maandamano kupinga siasa mbovu za hali ya hewa zinazotekelezwa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo.

  • Mbunge wa chama tawala Marekani ataka Trump auzuliwe

    Mbunge wa chama tawala Marekani ataka Trump auzuliwe

    Jul 19, 2018 11:05

    Mbunge wa chama tawala cha Republican nchini Marekani amekosoa vikali utendaji wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo na kutoa wito wa kusailiwa na kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye katika Kongresi ya nchi hiyo.

  • Tony Schwartz: Rais Donald Trump wa Marekani amepatwa na kichaa

    Tony Schwartz: Rais Donald Trump wa Marekani amepatwa na kichaa

    Jul 17, 2018 22:00

    Mwandishi maarufu wa Kimarekani ameelezea hali ya kisaikolojia ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwamba ni yenye mgogoro na kwamba ni mtu aliyepoteza akili.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani: Marekani haiaminiki tena

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani: Marekani haiaminiki tena

    Jul 16, 2018 22:24

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ujerumani amejibu matamshi na hujuma ya maneno ya Rais wa Marekani aliyeutaja Umoja wa Ulaya kuwa ni "adui" kwa kusema: Ulaya haiwezi tena kuitegemea Ikulu ya Rais wa Marekani.

  • Rais Donald Trump: Umoja wa Ulaya ni adui wa Marekani

    Rais Donald Trump: Umoja wa Ulaya ni adui wa Marekani

    Jul 15, 2018 23:41

    Rais Donald Trump wa Marekani ametoa matamshi mapya akiutaja Umoja wa Ulaya kuwa ni adui wa Marekani.

  • Indhari kali ya Ufaransa dhidi ya siasa za kibiashara za Trump

    Indhari kali ya Ufaransa dhidi ya siasa za kibiashara za Trump

    Jul 15, 2018 05:35

    Jean-Yves Le Drian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amekosoa siasa za kiuchumi zinazotekelezwa na Rais Donald Trump wa Marekani kuuhusu Umoja wa Ulaya.

  • Maandamano makubwa ya wananchi wa Uingereza wakipinga safari ya Trump mjini London

    Maandamano makubwa ya wananchi wa Uingereza wakipinga safari ya Trump mjini London

    Jul 13, 2018 10:53

    Wimbi kubwa la wananchi wa Uingereza limefanya maandamano makubwa kupinga ziara ya Rais wa Marekani mjini London. Maandamano hayo yamefanyika kufuatia wito uliotolewa na taasisi za kutetea haki za binadamu na harakati zinazopinga vita za nchini humo.

  • Le Drian: Hatumruhusu Trump kuiyumbisha Ulaya

    Le Drian: Hatumruhusu Trump kuiyumbisha Ulaya

    Jul 13, 2018 10:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amekosoa siasa za kiuchumi zinazotekelezwa na Rais wa Marekani kuhusiana na Ulaya na kueleza kuwa, Paris haitatoa mwanya kwa Trump kuivuruga Ulaya.

  • Trump akaribishwa London kwa wimbi kubwa la maandamano

    Trump akaribishwa London kwa wimbi kubwa la maandamano

    Jul 12, 2018 23:42

    Rais Donald Trump wa Marekani aliwasili London, mji mkuu wa Uingereza na kukaribishwa kwa wimbi kubwa la maandamano ya wananchi waliokuwa na hasira ambao wanapinga safari yake.

  • Trump aibua mifarakano katika muungano wa kijeshi wa NATO

    Trump aibua mifarakano katika muungano wa kijeshi wa NATO

    Jul 12, 2018 05:03

    Siku ya kwanza ya kikao cha viongozi wa muungano wa kijeshi wa nchi za Magharibi, NATO, imemalizika huku mkutano huo ukishuhudia mashambulizi makali ya maneno ambayo hayajawahi kushuhudiwa ya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Ujerumani, moja kati ya nchi muhimu zaidi katika muungano huo wa NATO.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS