Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Kansela Merkel amjibu Trump na kumfahamisha kuwa Ujerumani huchukua maamuzi huru

    Kansela Merkel amjibu Trump na kumfahamisha kuwa Ujerumani huchukua maamuzi huru

    Jul 11, 2018 09:11

    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amejibu matamshi makali ya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi yake na kumfahamisha kuwa, 'Ujerumani inafuata sera na maamuzi huru'.

  • Marekani yalegeza msimamo wa vikwazo dhidi ya Iran baada ya kuonywa

    Marekani yalegeza msimamo wa vikwazo dhidi ya Iran baada ya kuonywa

    Jul 11, 2018 08:51

    Marekani imelegeza msimamo wake mkali wa kuiwekea Iran vikwazo na kuzuia mafuta ghafi ya petroli ya nchi hii kuuzwa katika soko la kimataifa ifikapo Novemba 4.

  • Donald Tusk: Trump waheshimu washirika wa Marekani, huna marafiki wengi

    Donald Tusk: Trump waheshimu washirika wa Marekani, huna marafiki wengi

    Jul 10, 2018 23:46

    Mkuu wa Baraza la Umoja wa Ulaya, amemtaka Rais Donald Trump wa Marekani kuwa na heshima kwa washirika wa Washington na aache kuwakosoa kila siku.

  • Kuongezeka ukosolewaji wa siasa za Trump kuhusiana na suala la Korea Kaskazini

    Kuongezeka ukosolewaji wa siasa za Trump kuhusiana na suala la Korea Kaskazini

    Jul 09, 2018 21:53

    Sambamba na kuanza tena vita vya maneno kati ya Marekani na Korea Kaskazini, ukosolewaji wa siasa za Rais Donald Trump kuhusiana na jinsi amekuwa akiamiliana na Korea Kaskizini umekuwa ukiongezeka.

  • Ukosoaji mkali wa Madeleine Albright dhidi ya siasa za Trump kuhusu JCPOA

    Ukosoaji mkali wa Madeleine Albright dhidi ya siasa za Trump kuhusu JCPOA

    Jul 09, 2018 08:01

    Akizungumza hivi karibuni na gazeti la Ujerumani la Der Spiegel Madeleine Albright, Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani amekosoa vikali hatua ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo ya kujiondoka katika mapatano muhimu ya nyuklia ya JCPOA na kusema kuwa hatua hiyo inakinzana moja kwa moja na malengo aliyoyatangaza mwenyewe.

  • Panetta: Trump anaelekea kuiangamiza Ulaya

    Panetta: Trump anaelekea kuiangamiza Ulaya

    Jul 08, 2018 23:56

    Waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani amemkosoa vikali Rais Donald Trump wa nchi hiyo na kusema kuwa siasa zisizotabirika za Trump zinakaribia kuiangamiza Ulaya.

  • Sisitizo jipya la Umoja wa Ulaya juu ya kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Sisitizo jipya la Umoja wa Ulaya juu ya kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Jul 04, 2018 02:53

    Maya Kuchiánchik, Msemaji wa Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesisitizia azma ya Brussels kwa ajili ya kutekeleza kikamilifu na kwa namna chanya, makubaliano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Onyo la Trump kwa mashirika ya Ulaya; hatua mpya ya kuvuruga mapatano ya JCPOA

    Onyo la Trump kwa mashirika ya Ulaya; hatua mpya ya kuvuruga mapatano ya JCPOA

    Jul 02, 2018 22:39

    Rais Donald Trump wa Marekani ameonya kwamba atayawekea vikwazo mashirika yote ya Ulaya ambayo yataamua kufanya biashara na Iran.

  • Maelfu ya Wamarekani waandamana dhidi ya sera za Trump kuhusu wahajiri

    Maelfu ya Wamarekani waandamana dhidi ya sera za Trump kuhusu wahajiri

    Jun 30, 2018 21:13

    Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Marekani wakipinga sera na siasa za kuwapiga vita wahajiri hususan hatua ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ya kuwatenganisha watoto wahajiri na wazazi wao.

  • Mkuu wa Baraza la Ulaya atahadharisha kuhusu kuharibika uhusiano wa Umoja wa Ulaya na Marekani

    Mkuu wa Baraza la Ulaya atahadharisha kuhusu kuharibika uhusiano wa Umoja wa Ulaya na Marekani

    Jun 29, 2018 03:13

    Donald Tuska, mwenyekiti wa Baraza la Ulaya amewataka viongozi wa nchi za Umoja wa Ulaya kujitayarisha kwa ajili ya hali mbaya zaidi katika uhusiano wa nchi hizo na Marekani. Amebainisha kuwa sera za Rais Donald Trump wa Marekani zinaenda kinyume na thamani za Umoja wa Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS