Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Erdogan

  • Rais Erdogan wa Uturuki: El Sisi ni mpangaji wa mauaji ya halaiki

    Rais Erdogan wa Uturuki: El Sisi ni mpangaji wa mauaji ya halaiki

    Mar 15, 2019 07:19

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amemtaja Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri kuwa ni mpangaji wa mauaji ya halaiki.

  • Rais wa Uturuki: Madhali Waislamu na walimwengu wanatetea uadilifu na uhuru, Palestina itaendelea kuwepo

    Rais wa Uturuki: Madhali Waislamu na walimwengu wanatetea uadilifu na uhuru, Palestina itaendelea kuwepo

    Nov 28, 2018 15:56

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, jumuiya za kimataifa zimeuvunja moyo Ulimwengu wa Kiislamu kuhusiana na kadhia ya Palestina na amewahimiza wapigania uhuru duniani kuyatetea mapambano ya Wapalestina dhidi ya ukaliaji wa mabavu wa ardhi zao unaoendelea kufanywa na utawala ghasibu wa Israel.

  • Erdogan aitaka Saudia imfichue aliyetoa agizo la kuua Jamal Khashoggi

    Erdogan aitaka Saudia imfichue aliyetoa agizo la kuua Jamal Khashoggi

    Oct 26, 2018 15:07

    Kwa mara nyingine tena Rais Recep Tayyib Erdogan wa Uturuki ameitaka Saudi Arabia imfichue mtu ambaye alitoa amri ya kuuawa Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji mkubwa wa utawala wa Aal-Saud.

  • Uturuki yajibu mapigo, yaziwekea vikwazo bidhaa za kielektroniki za Marekani

    Uturuki yajibu mapigo, yaziwekea vikwazo bidhaa za kielektroniki za Marekani

    Aug 15, 2018 02:35

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametangaza kuwekewa vikwazo bidhaa za kielektroniki zinazozalishwa nchini Marekani.

  • Uturuki na Marekani zaendelea kutishiana

    Uturuki na Marekani zaendelea kutishiana

    Jul 29, 2018 13:59

    Serikali ya Uturuki imeitisha Marekani kwamba, iwapo Rais Donald Trump wa nchi hiyo hatoikabidhi Ankara ndege mpya za F 35, basi itaiburuza Washington katika mahakama za kimataifa.

  • Erdogan: Israel ndio utawala wa kifashisti na kibaguzi zaidi duniani

    Erdogan: Israel ndio utawala wa kifashisti na kibaguzi zaidi duniani

    Jul 24, 2018 16:20

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameutaja utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ndio utawala wa kifashisti na wa kibaguzi zaidi duniani.

  • Rais Erdoğan wa Uturuki atangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa jana

    Rais Erdoğan wa Uturuki atangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa jana

    Jun 25, 2018 07:32

    Mkuu wa Tume ya Uchaguzi nchini Uturuki (YSK) amemtangaza rasmi Rais Recep Tayyip Erdoğan kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika Jumapili ya jana nchini humo.

  • Rais wa Uturuki: Marekani imekosea kujiondoa katika JCPOA

    Rais wa Uturuki: Marekani imekosea kujiondoa katika JCPOA

    May 18, 2018 08:12

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa kitendo cha Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya Iran JCPOA ni makosa, na kusisitiza kuwa hatua hiyo ni chanzo cha kushadidi mgogoro na ukosefu wa amani katika eneo.

  • Rais Rouhani: Nchi za Kiislamu zikabiliane na hatua zilizo dhidi ya ubinadamu za Marekani na Israel

    Rais Rouhani: Nchi za Kiislamu zikabiliane na hatua zilizo dhidi ya ubinadamu za Marekani na Israel

    May 17, 2018 08:05

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mauaji dhidi ya wananchi wa Palestina yaliyofanywa na utawala haramu wa Israel ni maafa makubwa.

  • Rais wa Uturuki: Israel inaisukuma Mashariki ya Kati kwenye lindi la vita

    Rais wa Uturuki: Israel inaisukuma Mashariki ya Kati kwenye lindi la vita

    May 14, 2018 03:06

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unapanda mbegu za hofu na kulisukuma eneo la Mashariki ya Kati kwenye lindi la vita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS