Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Erdogan

  • Erdogan: Shakhsia wanaoiponda Qur'ani Ufaransa hawana ufahamu nayo

    Erdogan: Shakhsia wanaoiponda Qur'ani Ufaransa hawana ufahamu nayo

    May 09, 2018 02:57

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amelitaja kundi la shakhsia 300 wa Ufaransa wanaotaka kuondolewa baadhi ya aya katika kitabu kitakatifu cha Qur'ani kwa madai kuwa ni za kichochezi na zilizopitwa na wakati kuwa ni genge lisilo la maana na linalopaswa kutwezwa.

  • Madai ya Rais Erdoğan wa Uturuki juu ya kufanikiwa jeshi lake katika operesheni ya Afrin, Syria

    Madai ya Rais Erdoğan wa Uturuki juu ya kufanikiwa jeshi lake katika operesheni ya Afrin, Syria

    May 08, 2018 02:19

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amedai kuwa jeshi la nchi hiyo limefanikiwa kuwaua magaidi wengi katika operesheni zake eneo la Afrin, kaskazini mwa Syria.

  • Rais Rouhani: Juhudi za Iran, Russia na Uturuki zimeleta mafanikio makubwa kwa Syria

    Rais Rouhani: Juhudi za Iran, Russia na Uturuki zimeleta mafanikio makubwa kwa Syria

    Apr 05, 2018 01:37

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, juhudi za pande tatu za Iran, Uturuki na Russia zimepelekea Syria kupata mafanikkio makubwa katika vita dhidi ya magaidi na kwamba, kuna haja ya juhudi hizo kuendelezwa hadi pale wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu watakapoweza kuishi katika mazingira tulivu na ya amani kamili.

  • Erdoğan amwita Netanyahu 'gaidi' na aitaja Israel 'dola la kigaidi'

    Erdoğan amwita Netanyahu 'gaidi' na aitaja Israel 'dola la kigaidi'

    Apr 02, 2018 04:36

    Matamshi makali ya ukosoaji yaliyotolewa hivi karibuni na Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina yamepelekea kuibuka vita vya maneno kati yake na Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel Benjamin Netanyahu.

  • Rais Erdoğan: Tunajiandaa kuanzisha operesheni kubwa ya kijeshi kaskazini mwa Syria

    Rais Erdoğan: Tunajiandaa kuanzisha operesheni kubwa ya kijeshi kaskazini mwa Syria

    Mar 31, 2018 03:59

    Licha ya serikali ya Syria kupinga uvamizi wa jeshi la Uturuki katika maeneo ya kaskazini mwa nchi hiyo, kwa mara nyingine Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametangaza kwamba jeshi la nchi yake linajiandaa kuanzisha operesheni mpya katika eneo hilo.

  • Rais wa Uturuki aiomba NATO ipeleke majeshi yake eneo la Afrin nchini Syria

    Rais wa Uturuki aiomba NATO ipeleke majeshi yake eneo la Afrin nchini Syria

    Mar 11, 2018 07:17

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amelitaka shirika la kijeshi la nchi za Magharibi NATO lipeleke majeshi yake katika eneo la Afrin kaskazini mwa Syria.

  • Rouhani: Tehran na Ankara zina majukumu mazito ya kuwaokoa watu wa Syria

    Rouhani: Tehran na Ankara zina majukumu mazito ya kuwaokoa watu wa Syria

    Mar 08, 2018 08:20

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Tehran na Ankara zina majukumu mazito ya kuwaokoa raia wa Syria hususan katika eneo la Ghouta Mashariki na kusisitiza kuwa, Kuna udharura wa kufanyika jitihada za kuzuia maafa ya kibinadamu katika eneo hilo.

  • Rouhani na Erdogan walaani msimamo wa US, Israel dhidi ya Iran

    Rouhani na Erdogan walaani msimamo wa US, Israel dhidi ya Iran

    Jan 04, 2018 02:35

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki wamekosoa vikali uchochezi na uungaji mkono wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa waandamanaji wanaofanya fujo na ghasia nchini.

  • Rais wa Uturuki: Quds ni mstari mwekundu kwa Ulimwengu wa Kiislamu

    Rais wa Uturuki: Quds ni mstari mwekundu kwa Ulimwengu wa Kiislamu

    Dec 28, 2017 16:34

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema kuuwa, Quds ni mstari mwekundu kwa Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Erdogan ataka Waislamu walio wachache Ugiriki waheshimwe

    Erdogan ataka Waislamu walio wachache Ugiriki waheshimwe

    Dec 09, 2017 07:33

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ametoa mwito wa kuheshimwa haki za jamii ya Waislamu walio wachache nchini Ugiriki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS