Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Erdogan

  • Putin na Erdogan: Hatua ya Trump ina madhara kwa amani ya Mashariki ya Kati

    Putin na Erdogan: Hatua ya Trump ina madhara kwa amani ya Mashariki ya Kati

    Dec 08, 2017 03:08

    Marais wa Russia na Uturuki wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kuitaja hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuutambua rasmi mji mtakatifu wa Baitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni kuwa ni hatari na kwa madhara ya amani ya Mashariki ya Kati.

  • Marais wa Iran na Uturuki watoa wito wa kusimama kidete dhidi ya njama  mpya huko Palestina

    Marais wa Iran na Uturuki watoa wito wa kusimama kidete dhidi ya njama mpya huko Palestina

    Dec 06, 2017 15:05

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki wametoa wito wa kusimama kidete na kuchukuliwa hatua za maana kwa ajili ya kukabiliana na njama mpya dhidi ya taifa madhulumu la Palestina.

  • Rais Erdoğan aichoma moyo Saudia, asisitiza kuendelea kuiunga mkono Qatar

    Rais Erdoğan aichoma moyo Saudia, asisitiza kuendelea kuiunga mkono Qatar

    Nov 16, 2017 08:09

    Katika kile kinachonekana kuwa ni kuwachoma moyo viongozi wa Saudi Arabia katika mgogogro unaoendelea kati ya nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi, Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesisitizia uungaji mkono wake kwa Qatar.

  • Rais wa Uturuki akosoa kauli ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi kuhusu Uislamu

    Rais wa Uturuki akosoa kauli ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi kuhusu Uislamu

    Nov 12, 2017 07:38

    Katika msururu wa kurushiana maneneo viongozi wa Saudi Arabia na Uturuki, Rais Reccep Tayyip Erdogan wa Uturuki amekosoa vikali matamshi ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia Mohammad Bin Salman kuhusu kile alichodai kuwa ni "Uislamu wa misimamo ya wastani."

  • Kiongozi Muadhamu: Utawala wa Kizayuni unataka kuunda Israel mpya katika eneo hili

    Kiongozi Muadhamu: Utawala wa Kizayuni unataka kuunda Israel mpya katika eneo hili

    Oct 04, 2017 18:09

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo usiku ameonana na Rais Recep Tayyip Erdogan na ujumbe alioandamana nao hapa mjini Tehran na kusisitiza kwamba kuna ulazima wa kuongezwa kiwango cha ushirikiano wa nchi mbili kama ambavyo pia ni jambo muhimu sana kuweko maelewano na ushirikiano baina ya Iran na Uturuki katika masuala muhimu ya ulimwengu wa Kiislamu.

  • Safari ya Rais wa Russia nchini Uturuki; juhudi za kuimarisha zaidi uhusiano wa pande mbili

    Safari ya Rais wa Russia nchini Uturuki; juhudi za kuimarisha zaidi uhusiano wa pande mbili

    Sep 29, 2017 07:57

    Alkhamisi ya jana tarehe 28 Septemba, Rais Vladimir Putin wa Russia alikutana na kufanya mazungumzo mjini Ankara Uturuki na Rais wa nchi hiyo Recep Tayyip Erdoğan, ambapo viongozi hao wawili wamebadilishana mawazo kuhusiana na hali ya mambo katika eneo la Mashariki ya Kati pamoja na uhusiano wa pande mbili.

  • Erdogan: Mauaji ya Waislamu wa Warohingya ni ya kimbari

    Erdogan: Mauaji ya Waislamu wa Warohingya ni ya kimbari

    Sep 02, 2017 07:42

    Rais wa Uturuki Recep Teyyip Erdogan ameyataja mauaji ya mamia ya Waislamu wa kabila la Rohingya huko Myanmar kama mauaji ya kimbari.

  • Wapinzani Uturuki: Chama cha Rais Tayyip Erdoğan hakina tofauti na Daesh

    Wapinzani Uturuki: Chama cha Rais Tayyip Erdoğan hakina tofauti na Daesh

    Aug 19, 2017 14:57

    Wapinzani wa serikali ya Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki wamekosoa misimamo ya kiongozi huyo kuhusiana na suala la kulinda turathi za kihistoria na kuongeza kuwa, serikali ya nchi hiyo haina tofauti na makundi ya kigaidi na ukufurishaji hususan Daesh.

  • Erdogan: Waislamu hawawezi kufumbia macho mgogoro wa al-Aqsa

    Erdogan: Waislamu hawawezi kufumbia macho mgogoro wa al-Aqsa

    Jul 24, 2017 03:58

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amekosoa vikali hatua kandamizi za usalama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika mji wa Quds Tukufu na kusisitiza kuwa katu Waislamu hawawezi kunyamazia kimya jinai hizo.

  • Naibu Spika wa Ujerumani: Erdogan anataka kuiendesha Uturuki kidikteta

    Naibu Spika wa Ujerumani: Erdogan anataka kuiendesha Uturuki kidikteta

    Jul 17, 2017 07:14

    Naibu Spika wa Bunge la Ujerumani amesema kuwa Rais wa Uturuki anataka kuiendesha nchi hiyo kidikteta na kwa msingi huo amesema Ujerumani inapasa kuwaunga mkono wapinzani wa serikali ya Ankara.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS