Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki wamekutana na kufanya mazungumzo kuhusu masuala mbali mbali likiwemo la umuhimu wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili.
Marais wa Iran na Uturuki wamesisitiza tena udharura wa kuimarishwa ushirikiano wa Tehran, Ankara na Moscow katika kuimarisha amani ya Mashariki ya Kati na kupambana na ugaidi.
Rais Recep Tayyep Erdogan wa Uturuki ameyataja madola ya nje kuwa yalihusika na kuratibu mapinduzi yaliyofeli nchini humo.
Kumejiri jaribio la mapinduzi ya kijeshi nchini Uturuki Ijumaa usiku huku watu 42 wakiripotiwa kupoteza maisha katika mji mkuu Ankara na Rais ReccepTayyib Erdogan akisema jaribio hilo limeshindwa.
Rais wa Uturuki amemwandikia barua mwenzake wa Russia, Vladimir Putin akimuomba radhi kutokana na kuangushwa ndege ya nchi hiyo katika mpaka wa Uturuki na Syria.
Binali Yildirim, Waziri wa Uchukuzi wa Uturuki ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa chama tawala AKP sambamba na kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo kuchukua nafasi ya Ahmet Davutoğlu.
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana alishiriki katika kikao cha pamoja cha waandishi habari na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki mjini Ankara na kusema kuleta uthabiti na usalama katika eneo ni jukumu la kisheria la nchi hizi mbili.
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Tehran itaendelea kuwa pamoja na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) maadamu jumuiya hiyo inashikamana na malengo yake ya asili.
Rais wa Uturuki ameahidi kutoa jibu kali kwa watekelezaji wa mashambulizi ya kigaidi katika mji mkuu, Ankara ambapo watu 28 waliuawa hapo jana.