Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Ethiopia yaituhumu Eritrea kuwa inajiandaa kuanzisha vita dhidi yake

    Ethiopia yaituhumu Eritrea kuwa inajiandaa kuanzisha vita dhidi yake

    Oct 09, 2025 07:13

    Ethiopia imeituhumu Eritrea kuwa inajiandaa kuanzisha vita dhidi yake. Ethiopia imetoa tuhuma hizi dhidi ya Eritrea ikiwa ni ishara ya karibuni ya kushtadi mvutano katika nchi mbili hizo jirani kuhusu udhibiti wa Bahari Nyekundu.

  • Nguzo za kanisa zaporomoka Ethiopia na kuua watu 36

    Nguzo za kanisa zaporomoka Ethiopia na kuua watu 36

    Oct 02, 2025 13:50

    Takriban watu 36 waliuawa na zaidi ya 200 kujeruhiwa katika tamasha la kidini katikati mwa Ethiopia, wakati viunzi vya mbao vilipowaangukia ndani ya kanisa lililokuwa likiendelea kujengwa.

  •  Afrika yataka kuchukuliwa hatua madhubuti ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi

    Afrika yataka kuchukuliwa hatua madhubuti ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi

    Sep 11, 2025 07:20

    Afrika inachangia chini ya asilimia 5 ya uzalishaji wa gesi chafuzi duniani lakini inalipa kile ambacho mtaalamu mmoja wa masuala ya hali ya hewa anakiita “gharama kubwa" ya mabadiliko ya hali ya hewa; mada ambayo imetawala katika Mkutano wa Pili wa Hali ya Hewa wa Afrika mjini Addis Ababa, Ethiopia.

  • Bwawa la Renaissance; tishio kwa amani au fursa ya maendeleo?

    Bwawa la Renaissance; tishio kwa amani au fursa ya maendeleo?

    Sep 11, 2025 07:19

    Bwawa la Renaissance au an-Nahdha, mradi mkubwa zaidi wa kuzalisha umeme barani Afrika, ulizinduliwa rasmi na serikali ya Ethiopia siku ya Jumanne.

  • Wahamiaji 7 wa Ethiopia wameaga dunia kwa njaa na kiu wakielekea Yemen

    Wahamiaji 7 wa Ethiopia wameaga dunia kwa njaa na kiu wakielekea Yemen

    Aug 08, 2025 02:37

    Wahamiaji saba wa Ethiopia wameaga dunia kutokana na njaa na kiu baada ya boti waliyokuwa wakisafiri kuharibika njiani wakitoka Somalia kuelekea Yemen.

  • Ethiopia yamteua Balozi mpya nchini Somalia baada ya miezi kadhaa ya mvutano wa kidiplomasia

    Ethiopia yamteua Balozi mpya nchini Somalia baada ya miezi kadhaa ya mvutano wa kidiplomasia

    Aug 06, 2025 12:28

    Balozi mpya wa Ethiopia nchini Somalia, Suleiman Dedefo, amewasilisha rasmi hati zake za utambulisho kwa Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, katika hatua inayoashiria kurejesha uhusiano wa kawaida baada ya miezi kadhaa ya mvutano wa kidiplomasia.

  • Madaktari Wasio na Mipaka: Wafanyakazi wetu waliuawa kwa makusudi Tigray

    Madaktari Wasio na Mipaka: Wafanyakazi wetu waliuawa kwa makusudi Tigray

    Jul 16, 2025 08:24

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka limesema wafanyakazi wake watatu "waliuawa kwa makusudi" wakati wa mapigano makali katika eneo la Tigray nchini Ethiopia.

  • Watu 82 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa DAESH watiwa mbaroni Ethiopia

    Watu 82 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa DAESH watiwa mbaroni Ethiopia

    Jul 16, 2025 06:51

    Shirika la Taifa la Intelijensia la Ethiopia limetangaza kuwa limewakamata watu 82 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la DAESH (ISIS).

  • Ethiopia kuitosa sarafu ya dola ya US katika miamala ya biashara?

    Ethiopia kuitosa sarafu ya dola ya US katika miamala ya biashara?

    Jul 12, 2025 16:33

    Wizara ya Fedha ya Ethiopia imesema kuwa nchi hiyo ya Afrika Mashariki inafanyia kazi hatua za kuiruhusu kufanya biashara kwa kutumia sarafu tofauti isiyo dola ya Marekani, na kwamba kuna nchi ambazo imefikia makubaliano nazo katika suala hili kwa nyakati tofauti.

  • WFP: Matibabu ya utapiamlo yasitishwa nchini Ethiopia kutokana na ukosefu wa fedha

    WFP: Matibabu ya utapiamlo yasitishwa nchini Ethiopia kutokana na ukosefu wa fedha

    Apr 23, 2025 02:09

    Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wiki hii umesimamisha matibabu ya utapiamlo kwa wanawake na watoto 650,000 nchini Ethiopia kutokana na uhaba mkubwa wa fedha. WFP imesema kuwa mamilioni ya watu wako katika hatari ya kukosa misaada.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS