Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Sudan yamwita kumsaili balozi wa Ethiopia baada ya miili 29 kupatikana katika Mto Setit

    Sudan yamwita kumsaili balozi wa Ethiopia baada ya miili 29 kupatikana katika Mto Setit

    Sep 08, 2021 07:20

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Sudan imemwita kwa ajili ya kumsaili balozi wa Ethiopia mjini Khartoum baada ya miili 29 inayosadikiwa kuwa ni ya Watigray kupatikana katika Mto wa Setit.

  • Waasi wa Tigray, Ethiopia wakataa upatanishi wa mjumbe wa AU

    Waasi wa Tigray, Ethiopia wakataa upatanishi wa mjumbe wa AU

    Aug 29, 2021 21:58

    Wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF) wamepinga na kukosoa vikali hatua ya Umoja wa Afrika kumteua aliyekuwa rais wa Nigeria kuwa mpatanishi katika mgogoro unaoshuhudiwa kwa miezi kadhaa sasa katika eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia.

  • Guterres ataka kusitishwa uhasama na mapigano nchini Ethiopia

    Guterres ataka kusitishwa uhasama na mapigano nchini Ethiopia

    Aug 27, 2021 06:01

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mara moja mapigano na vitendo ya uhasama nchini Ethiopia.

  • Tume: Watu 210 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Ethiopia

    Tume: Watu 210 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Ethiopia

    Aug 26, 2021 22:42

    Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Ethiopia (EHRC) imesema watu wasiopungua 210 wameuawa katika ghasia na mapigano ya kikabila yaliyojiri kwa siku kadhaa katika eneo la Oromia, magharibi mwa Ethiopia.

  • Mapigano baina ya jeshi la serikali na waasi wa Tigray yapamba moto Ethiopia

    Mapigano baina ya jeshi la serikali na waasi wa Tigray yapamba moto Ethiopia

    Aug 13, 2021 19:30

    Mapigano makali yameripotiwa baina ya vikosi vya jeshi la serikali ya Ethiopia na wapiganaji wa kundi la waasi wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF) katika maeneo ya mpaka wa jimbo hilo na Amhara kaskazini mwa Ethiopia.

  • Ethiopia yataka wananchi washiriki vita dhidi ya waasi wa Tigray

    Ethiopia yataka wananchi washiriki vita dhidi ya waasi wa Tigray

    Aug 10, 2021 23:19

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amewataka wananchi wote wenye 'uwezo' wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika wajiunge na safu za wanajeshi wanaokabiliana na wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF).

  • Maiti nyingine zapatikana mpakani mwa Tigray, Ethiopia na Sudan

    Maiti nyingine zapatikana mpakani mwa Tigray, Ethiopia na Sudan

    Aug 07, 2021 23:08

    Maiti zingine sita zimepatikana kwenye kingo za mto unaotenganisha Sudan na eneo la kaskazini mwa Ethiopia la Tigray.

  • UN: Watu laki mbili wamekuwa wakimbizi kutokana na vita nchini Ethiopia

    UN: Watu laki mbili wamekuwa wakimbizi kutokana na vita nchini Ethiopia

    Aug 04, 2021 22:45

    Mkuu wa Ofisi ya Uratibu wa masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa amesema kuwa, watu laki mbili wamekuwa wakimbizi katika jimbo la Amhara na wengine elfu 45 katika jimbo la Afar huko Ethiopia kutokana na mapigano nchini humo.

  • Makumi ya maiti zapatikana kwenye mto ulioko mpakani mwa eneo la Ethiopia la Tigray na Sudan

    Makumi ya maiti zapatikana kwenye mto ulioko mpakani mwa eneo la Ethiopia la Tigray na Sudan

    Aug 03, 2021 07:45

    Maiti zisizopungua 30 zilizosombwa na maji zimepatikana kwenye kingo za mto unaotenganisha Sudan na eneo la kaskazini mwa Ethiopia la Tigray. Hayo ni kwa mujibu wa wakimbizi wawili wa Ethiopia na mashuhuda wanne raia wa Sudan waliookota maiti hizo.

  • Umoja wa Mataifa: Tuna wasiwasi baada ya misaada ya kibinadamu kuchelewa kufika Tigray Ethiopia

    Umoja wa Mataifa: Tuna wasiwasi baada ya misaada ya kibinadamu kuchelewa kufika Tigray Ethiopia

    Jul 31, 2021 22:00

    Umoja wa Mataifa Uujmetangaza kuwa, una wasiwasi kufuatia ucheleweshaji katika kupeleka misaada ya kibinadamu jimboni Tigray, kwa minajili ya kukabiliana na hali mbaya inayolikumba jimbo hilo la kaskazini mwa Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS