-
Sudan yamwita kumsaili balozi wa Ethiopia baada ya miili 29 kupatikana katika Mto Setit
Sep 08, 2021 07:20Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Sudan imemwita kwa ajili ya kumsaili balozi wa Ethiopia mjini Khartoum baada ya miili 29 inayosadikiwa kuwa ni ya Watigray kupatikana katika Mto wa Setit.
-
Waasi wa Tigray, Ethiopia wakataa upatanishi wa mjumbe wa AU
Aug 29, 2021 21:58Wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF) wamepinga na kukosoa vikali hatua ya Umoja wa Afrika kumteua aliyekuwa rais wa Nigeria kuwa mpatanishi katika mgogoro unaoshuhudiwa kwa miezi kadhaa sasa katika eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia.
-
Guterres ataka kusitishwa uhasama na mapigano nchini Ethiopia
Aug 27, 2021 06:01Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mara moja mapigano na vitendo ya uhasama nchini Ethiopia.
-
Tume: Watu 210 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Ethiopia
Aug 26, 2021 22:42Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Ethiopia (EHRC) imesema watu wasiopungua 210 wameuawa katika ghasia na mapigano ya kikabila yaliyojiri kwa siku kadhaa katika eneo la Oromia, magharibi mwa Ethiopia.
-
Mapigano baina ya jeshi la serikali na waasi wa Tigray yapamba moto Ethiopia
Aug 13, 2021 19:30Mapigano makali yameripotiwa baina ya vikosi vya jeshi la serikali ya Ethiopia na wapiganaji wa kundi la waasi wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF) katika maeneo ya mpaka wa jimbo hilo na Amhara kaskazini mwa Ethiopia.
-
Ethiopia yataka wananchi washiriki vita dhidi ya waasi wa Tigray
Aug 10, 2021 23:19Waziri Mkuu wa Ethiopia amewataka wananchi wote wenye 'uwezo' wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika wajiunge na safu za wanajeshi wanaokabiliana na wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF).
-
Maiti nyingine zapatikana mpakani mwa Tigray, Ethiopia na Sudan
Aug 07, 2021 23:08Maiti zingine sita zimepatikana kwenye kingo za mto unaotenganisha Sudan na eneo la kaskazini mwa Ethiopia la Tigray.
-
UN: Watu laki mbili wamekuwa wakimbizi kutokana na vita nchini Ethiopia
Aug 04, 2021 22:45Mkuu wa Ofisi ya Uratibu wa masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa amesema kuwa, watu laki mbili wamekuwa wakimbizi katika jimbo la Amhara na wengine elfu 45 katika jimbo la Afar huko Ethiopia kutokana na mapigano nchini humo.
-
Makumi ya maiti zapatikana kwenye mto ulioko mpakani mwa eneo la Ethiopia la Tigray na Sudan
Aug 03, 2021 07:45Maiti zisizopungua 30 zilizosombwa na maji zimepatikana kwenye kingo za mto unaotenganisha Sudan na eneo la kaskazini mwa Ethiopia la Tigray. Hayo ni kwa mujibu wa wakimbizi wawili wa Ethiopia na mashuhuda wanne raia wa Sudan waliookota maiti hizo.
-
Umoja wa Mataifa: Tuna wasiwasi baada ya misaada ya kibinadamu kuchelewa kufika Tigray Ethiopia
Jul 31, 2021 22:00Umoja wa Mataifa Uujmetangaza kuwa, una wasiwasi kufuatia ucheleweshaji katika kupeleka misaada ya kibinadamu jimboni Tigray, kwa minajili ya kukabiliana na hali mbaya inayolikumba jimbo hilo la kaskazini mwa Ethiopia.