-
Jeshi lasambazwa Addis Ababa baada ya mauaji ya watu 80
Jul 02, 2020 03:09Jeshi la Ethiopia limesambazwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Addis Ababa kwa shabaha ya kudhibiti machafuko yaliyosababisha vifo vya watu wasiopingua 80.
-
52 wauawa katika maandamano ya kulaani mauaji ya mwanaharakati Ethiopia
Jul 01, 2020 21:52Makumi ya watu wameuawa katika maandamano ya ghasia yaliyoibuka katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa baada ya muimbaji ya mwanaharakati mashuhuri kupigwa risasi na kuuawa.
-
Misri yakosoa tena misimamo ya Ethiopia kuhusu Bwawa la Renaissance
Jul 01, 2020 02:09Serikali ya Misri imekosoa utendaji na mienendo ya Ethiopia kuhusiana na ujenzi wa Bwawa la Renaissance (al Nahdha) juu ya Mto Nile lakini imeeleza kwamba, ina matumaini na matokeo ya mazungumzo yaliyopangwa kusimamiwa na Umoja wa Afrika kujadili kadhia hiyo.
-
Ghasia na maandamano Ethiopia baada ya mwanaharakati kuuawa
Jun 30, 2020 11:30Ghasia zimeibuka katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa baada ya muimbaji na mwanaharakati mashuhuri kupigwa risasi na kuuawa.
-
Mgogoro wa Bwawa la Renaissance waingia Baraza la Usalama, Ethiopia yatahadharisha
Jun 29, 2020 23:15Mgogoro wa Bwawa la Renaissance (Al Nahdha) baina ya Misri, Sudan na Ethiopia umewekwa rasmi kwenye meza ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya Misri kuwasilisha muswada huo kwa ajili ya kujadiliwa na wanachama wa baraza hilo.
-
Ethiopia: Marekani ikome kuiunga mkono Misri kibubusa
Jun 28, 2020 23:26Gazeti moja la Ethiopia limeishambulia vikali serikali ya Marekani kwa kile lilichosema ni uungaji mkono wa kibubusa na kipofupofu wa misimamo ya Misri katika mazungumzo ya kutafuta suluhisho la bwawa na al Nahdha linalojengwa na Addis Ababa juu ya maji ya Nto Nile.
-
Kuongezeka jitihada za kutatua mgogoro wa bwawa la al Nahdha
Jun 27, 2020 09:12Hitilafu zinazoendelea baina ya nchi za Misri, Sudan na Ethiopia kuhusu ujenzi wa bwawa na al Nahdha juu ya maji ya Mto Nile na mgogoro uliosababishwa na hitilafu hizo zimezidisha jitihada za kikanda na kimataifa za kutafuta suhulisho la hitilafu hizo.
-
Misri yataka UN iingilie kati mzozo wa bwawa la al-Nahdha
Jun 20, 2020 02:17Misri imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liingilie kati kwa ajili ya kutatua mgogoro wa bwawa la al-Nahdha la nchini Ethiopia.
-
Misri na Ethiopia zaafikiana juu ya maji ya bwana la al Nahdha
Jun 18, 2020 03:15Misri na Ethiopia zimeafikiana juu ya jinsi ya kujaza maji katika bwana lililozusha mgogoro mkubwa baina ya pande hizo mbili la al Nahdha.
-
Bunge la Ethiopia lamruhusu Waziri Mkuu asalie madarakani muda wake ukiisha
Jun 11, 2020 03:32Bunge la Ethiopia limepiga kura ya kumuidhinisha Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Abiy Ahmed aendelee kuwa madarakani hata baada ya muhula wake wa kuhudumu kisheria utakapomalizika.