Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Viongozi wa Kiislamu Ethiopia walaani hujuma dhidi ya misikiti Amhara

    Viongozi wa Kiislamu Ethiopia walaani hujuma dhidi ya misikiti Amhara

    Dec 25, 2019 03:54

    Viongozi wa Kiislamu nchini Ethiopia wamelaani vikali hujuma na kuteketezwa moto misikiti minne katika jimbo la Amhara ambalo liko kaskazini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Ethiopia yarusha satalaiti yake ya kwanza katika anga za mbali

    Ethiopia yarusha satalaiti yake ya kwanza katika anga za mbali

    Dec 20, 2019 08:13

    Ethiopia leo Ijumaa imerusha satalaiti yake ya kwanza katika anga za mbali na kujiunga na nchi kadhaa za Kiafrika ambazo zina miradi ya anga za mbali kwa malengo ya ustawi na sayansi.

  • Kamati ya Nobel: Waziri Mkuu wa Ethiopia anapasa kuzungumza na vyombo vya habari wakati wa kupokea tuzo ya amani

    Kamati ya Nobel: Waziri Mkuu wa Ethiopia anapasa kuzungumza na vyombo vya habari wakati wa kupokea tuzo ya amani

    Dec 06, 2019 11:45

    Abiy Ahmed Waziri Mkuu wa Ethiopia hatozungumza na vyombo vya habari wiki ijayo atakapokuwa mjini Oslo kupokea tuzo ya Amani ya Nobl; hatua iliyompelekea kukosolewa na kamati ya tuzo hiyo ambayo imesema kuwa uhuru wa vyombo vya habari una umuhimu.

  • Jubaland: Majeshi ya Ethiopia na Somalia yanataka kumpindua Rais Madobe

    Jubaland: Majeshi ya Ethiopia na Somalia yanataka kumpindua Rais Madobe

    Nov 17, 2019 04:16

    Serikali ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Jubaland, Kusini mwa Somalia imedai kuwa wanajeshi wa Ethiopia wanakula njama za kumpindua Rais Ahmed Madobe wa jimbo hilo.

  • Ethiopia yapinga upatanishi wa Marekani katika mazungumzo ya bwawa la El Nahdha

    Ethiopia yapinga upatanishi wa Marekani katika mazungumzo ya bwawa la El Nahdha

    Nov 09, 2019 23:14

    Ujenzi wa bwawa la El Nahdha na suala la kugawana manufaa ya maji ya Mto Nole kati ya nchi za Misri, Ethiopia na Sudan limegeuka na kuwa mgogoro kati ya nchi hizo tatu hususan Misri na Ethiopia kwa kadiri kwamba Cairo imewasilisha pendelezo la usuluhishi kutoka nje baada ya kukwama mazungumzo baina ya pande husika.

  • Ethiopia yakataa upatanishi wa Marekani katika mgogoro wa bwawa na El Nahdha

    Ethiopia yakataa upatanishi wa Marekani katika mgogoro wa bwawa na El Nahdha

    Nov 08, 2019 11:45

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa, haikubali upatanishi wa Marekani katika mazungumzo yanayohusiana na ujenzi wa Bwawa na El Nahdha juu ya maji ya Mto Nile.

  • Abiy Ahmed: Watu 86 wameuawa katika machafuko ya karibuni Ethiopia

    Abiy Ahmed: Watu 86 wameuawa katika machafuko ya karibuni Ethiopia

    Nov 04, 2019 23:22

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amesema kuwa, watu 86 wameuawa katika maandamano ya kupinga serikali yaliyotokea mwezi uliopita nchini humo.

  • Serikali ya Ethiopia: Watu 78 wameuawa katika maandamano, idadi inaweza kuongezeka

    Serikali ya Ethiopia: Watu 78 wameuawa katika maandamano, idadi inaweza kuongezeka

    Nov 01, 2019 04:38

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa watu wasiopungua 78 waliuawa katika maandamano ya upinzani ya kupinga muamala mbaya dhidi ya mwanaharakati mwenye ushawishi mkubwa, ambaye pia ni mjasiriamali wa vyombo vya habari nchini humo.

  • Mamia ya raia wa Ethiopia waondoka Saudia Arabia

    Mamia ya raia wa Ethiopia waondoka Saudia Arabia

    Oct 26, 2019 23:09

    Serikali ya Ethiopia imewaondoa mamia ya raia wake kutoka Saudi Arabia katika kipindi cha wiki za hivi karibuni.

  • Mwito wa utulivu baada ya watu 16 kuuawa katika maandamano Ethiopia

    Mwito wa utulivu baada ya watu 16 kuuawa katika maandamano Ethiopia

    Oct 24, 2019 12:51

    Jawar Mohammed, mwanaharakati na mwasisi wa mtandano huru wa vyombo vya habari nchini Ethiopia ametoa mwito wa utulivu baada ya watu 16 kuuawa katika machafuko na ghasia za maandamano nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS