-
UN yalaani Israel kuwazimia umeme Wapalestina Ghaza
Jun 15, 2017 02:55Umoja wa Mataifa umelaani hatua ya utawala haramu wa Israel kuwazimia kwa muda mrefu umeme Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Iran yawapa futari mamia ya maelfu ya Wapalestina wanaozingirwa Ghaza
May 30, 2017 00:00Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatekeleza mpango wa kuwapa futari Wapalestina karibu laki mbili katika eneo la Ukanda wa Ghaza ambalo liko chini ya mzingiro wa kinyama wa utawala haramu wa Israel.
-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina bega kwa bega na Israel katika kuuhujumu Ukanda wa Gaza
May 12, 2017 22:02Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeifunga ofisi yake katika Ukanda wa Gaza na kukabidhi mamlaka ya uendeshaji wake kwa ofisi ya jumuiya hiyo iliyoko Ramallah, Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
UN: Ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina ni haramu na inapasa usimamishwe kikamilifu
Apr 22, 2017 11:55Mratibu wa amani wa Umoja wa Mataifa amesema, kwa mujibu wa sheria za kimataifa, ujenzi wa vitongoji unaofanywa na Israel katika ardhi unazozikalia kwa mabavu za Palestina ni kinyume cha sheria na inapasa usimamishwe kikamilifu.
-
Wanawake wa Ghaza waandamana kuwaunga mkono mateka wa Palestina
Mar 16, 2017 11:11Makumi ya wanawake wa Kipalestina wakazi wa Ukanda wa Ghaza wameandamana katika eneo hilo kuonyesha mshikamamo wao kwa mateka wanawake wa Kipalestina ambao wanashikiliwa katika jela za utawala haramu wa Kizayuni.
-
Israel inataka kujenga kisiwa katika pwani ya Ghaza
Mar 14, 2017 03:47Kanali ya kwanza ya televisheni ya utawala wa Kizayuni imetangaza kuwa waziri wa usafirishaji wa Israel amekutana na kufanya mazungumzo na maafisa kadhaa wa nchi za Kiarabu kwa minajili ya kuchunguza mpango wa kujenga kisiwa karibu na pwani ya Ukanda wa Ghaza katika kile kinachoonekana ni kutaka kuwadhibiti zaidi Wapalestina.
-
Afisa wa Israel akiri jeshi la utawala wa Kizayuni lilishindwa katika vita vya siku 50 Ukanda wa Gaza
Mar 01, 2017 00:57Kamanda wa zamani katika jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel eneo, amekiri wazi kwamba jeshi na serikali yote ya utawala huo, vilishindwa katika vita ya siku 50 dhidi ya Ukanda wa Gaza, Palestina.
-
Mwakilishi wa Hamas Tehran: Iran ni muungaji mkono wetu pekee katika eneo
Jan 16, 2017 23:34Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) hapa Tehran amesema kuwa njia pekee ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni ni kuendeleza muqawama na kwamba ishara ya wazi zaidi ya mapambano hayo ni Intifadha.
-
Ukuta wa uzio katika mpaka wa Gaza; dharau ya Israel kwa Baraza la Usalama la UN
Jan 11, 2017 11:30Wakati Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio nambari 2234 la kuutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usimamishe ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu, waziri wa vita wa utawala huo haramu ameafiki shauri la kujengwa ukuta wa uzio katika mipaka ya Ukanda wa Gaza.
-
Kukiri duru za Kizayuni juu ya kuwa mbaya hali ya Gaza
Dec 30, 2016 04:25Kituo kimoja cha haki za binadamu cha Israel kimekiri kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel umekuwa ukiifanya kuwa mbaya siku baada ya siku hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.