Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Hamas yaikosoa ICC kwa kutoutembelea Ukanda wa Gaza

    Hamas yaikosoa ICC kwa kutoutembelea Ukanda wa Gaza

    Oct 09, 2016 04:48

    Harakati ya muqawama wa Palestina Hamas imesema safari ya ujumbe wa maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu haina maana na umuhimu wowote, madhali wataalamu hao wa masuala ya sheria watakosa kuutembelea Ukanda wa Gaza.

  • Israel yafanya njama za kuendeleza mzingiro wa kidhulma Ukanda wa Gaza

    Israel yafanya njama za kuendeleza mzingiro wa kidhulma Ukanda wa Gaza

    Oct 03, 2016 00:29

    Utawala wa Kizayuni wa Israel unajiandaa kuishambulia meli ya al Zaituna na vile vile kuwazua wanaharakati wa kimataifa kuwasili huko Ukanda wa Gaza.

  • Israel yamtia mbaroni mwakilishi wa UN Ukanda wa Ghaza

    Israel yamtia mbaroni mwakilishi wa UN Ukanda wa Ghaza

    Aug 09, 2016 23:13

    Utawala wa Kizayuni umemtia mbaroni mwakilishi wa Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Ghaza kwa tuhuma za kuwa na ushirikiano na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas.

  • Ndege za kivita za Israel zaendelea kukiuka usitishwaji vita Ghaza

    Ndege za kivita za Israel zaendelea kukiuka usitishwaji vita Ghaza

    Jul 14, 2016 02:09

    Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimetekeleza hujuma nyingine katika Ukanda wa Ghaza ikiwa ni ukikwaji wa usitishwaji vita katika eneo hilo la Palestina lililo chini ya mzingiro.

  • Israel kujenga ukuta wa chini ya ardhi huko Ghaza

    Israel kujenga ukuta wa chini ya ardhi huko Ghaza

    Jun 17, 2016 23:58

    Israel inajiandaa kujenga ukuta mkubwa wa saruji huko Ukanda wa Ghaza. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti ya gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth

  • Wakazi wa Ukanda wa Ghaza waishukuru Iran kwa misaada katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani

    Wakazi wa Ukanda wa Ghaza waishukuru Iran kwa misaada katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani

    Jun 09, 2016 09:45

    Wakazi wa Ukanda wa Ghaza wamewashukuru wananchi na serikali ya Iran kwa misaada ya kibinadamu wanayowapatia katika mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

  • Wazayuni washambulia Wapalestina Ghaza, Ukingo wa Magharibi

    Wazayuni washambulia Wapalestina Ghaza, Ukingo wa Magharibi

    May 14, 2016 09:55

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni kwa kushirikiana walowezi wa Kizayuni wenye chuki za kidini na kitaifa, wamefanya mashambulizi katika maeneo tofauti ya Ukanda wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan dhidi ya Wapalestina.

  • Wapalestina waandamana Ukanda wa Gaza kulaani mzingiro wa Israel

    Wapalestina waandamana Ukanda wa Gaza kulaani mzingiro wa Israel

    May 08, 2016 08:37

    Mamia ya wananchi wa Palestina wameingia mabarabarani kufanya maandamano ya kulaani mzingiro wa kibaguzi wa takriban mwongo mmoja uliowekwa na Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine wavunja makubaliano ya kusimamisha vita na Wapalestina

    Utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine wavunja makubaliano ya kusimamisha vita na Wapalestina

    Mar 12, 2016 11:54

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wamevunja makubaliano ya kusimamisha vita kati yao na Wapalestina kwa kuwashambulia kwa risasi wavuvi wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Mtoto Mpalestina auawa shahidi Gaza katika hujuma ya Israel

    Mtoto Mpalestina auawa shahidi Gaza katika hujuma ya Israel

    Mar 12, 2016 04:46

    Mtoto Mpalestina aliyekuwa na umri wa miaka 10 ameuawa shahidi katika hujuma mpya ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS