-
Baqeri: Iran iko tayari kulinda kikamilifu maslahi yake katika Ghuba ya Uajemi
Sep 12, 2019 11:26Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kulinda kikamilifu usalama na maslahi yake katika Ghuba ya Uajemi."
-
Ukosoaji wa Russia kwa nafasi haribifu ya Magharibi katika Ghuba ya Uajemi
Sep 11, 2019 02:31Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza kuiondoa nchi hiyo katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia mashuhuri kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mnamo tarehe 8 Mei mwaka uliopita, alianza kutekeleza mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran.
-
Sisitizo la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa EU juu ya kulinda makubaliano ya JCPOA na kuimarisha usalama wa Ghuba ya Uajemi
Aug 31, 2019 12:10Umoja wa Ulaya pamoja na Troika ya Ulaya zikiwa wanachama wa kundi la 4+1 mara kadhaa zimesisitiza kuwa kuna udharura wa kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na wakati huo huo kurejesha uthabiti na usalama katika Ghuba ya Uajemi kwa kuzingatia chokochoko za Marekani katika eneo hilo la maji lenye umuhimu wa kijio-stratejia.
-
Salami: Usalama Ghuba ya Uajemi utapatikana kwa ushiriki wa Iran
Aug 24, 2019 07:32Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: "Usalama katika Ghuba ya Uajemi utapatikana kwa uwepo wa majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Zarif: Marekani haina uwezo wa kuvuruga usalama wa Ghuba ya Uajemi
Aug 23, 2019 02:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inafanya juhudi zake zote kulinda usalama wa Ghuba ya Uajemi na kwamba Marekani haina uwezo wa kuvuruga usalama wa eneo hilo.
-
Admeri Tangsiri: Hatutakubali kabisa Marekani na Uingereza ziwepo katika Ghuba ya Uajemi
Aug 20, 2019 08:04Kamanda wa kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inazitangazia nchi za eneo na ulimwengu mzima kwamba, haitakubali kabisa uwepo wa Marekani, Uingereza na nchi nyingine yoyote ile itakayotaka kuzusha moto katika eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Kamanda Khanzadi awaambia maadui: Ondokeni Ghuba ya Uajemi au mtaondoka kwa madhila
Aug 15, 2019 11:36Kamanda wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa majeshi ya adui wa Iran yaliyoko katika Ghuba ya Uajemi yanapaswa kuondoka haraka iwezekanavyo katika eneo hilo la sivyo yataondoka kwa madhila.
-
Rais Rouhani: Kudhamini usalama wa Ghuba ya Uajemi hakuhitajii vikosi vya kigeni
Aug 14, 2019 12:51Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, ili kudhamini usalama na utulivu katika Ghuba ya Uajemi hakuna haja ya kuweko vikosi vya kieneo katika eneo hilo.
-
Jahangiri: Marekani inalenga kuvuruga usalama wa Ghuba ya Uajemi
Aug 13, 2019 07:13Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran Eshaq Jahangiri amesema Marekani inalenga kuvuruga usalama wa Ghuba ya Uajemi na Lango Bahari la kistratijia la Hormuz na kutumia ukosefu wa usalama kama kisingizo cha kujiimarisha kijeshi katika eneo.
-
IRGC: Vita vinaweza kutokea Israel ikijiingiza Ghuba ya Uajemi; US, UK ndizo zitakazobeba dhima
Aug 12, 2019 15:06Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limeonya kuwa kuwepo kwa namna yoyote ile utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Ghuba ya Uajemi kunaweza kusababisha vita katika eneo hilo na kusisitiza kwamba, Marekani na Uingereza ndizo zitakazobeba dhima ya matokeo hasi ya uwepo huo haramu.