Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Mwanadiplomasia wa zamani wa US: Jinai za Ghaza 'zitamsakama' Blinken hadi mwisho wa maisha yake

    Mwanadiplomasia wa zamani wa US: Jinai za Ghaza 'zitamsakama' Blinken hadi mwisho wa maisha yake

    Jan 17, 2025 23:54

    Mwanadiplomasia wa Marekani aliyejiuzulu mwaka jana kulalamikia vita vya Ghaza na uungaji mkono wa Washington kwa vita hivyo amesema, jinai zilizofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika vita hivyo 'zitamsakama' waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo Antony Blinken kwa muda wote uliosalia wa maisha yake.

  • Araqchi aipongeza Hamas kwa ushindi dhidi ya Israel

    Araqchi aipongeza Hamas kwa ushindi dhidi ya Israel

    Jan 17, 2025 10:33

    Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameipongeza Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kwa ushindi wa muqawama na wananchi wa Palestina dhidi ya Israel katika vita na mauaji ya kimbari ya utawala huo katika Ukanda wa Gaza.

  • Israel imeshaua Wapalestina 40 Ghaza tangu baada ya kutangazwa makubaliano ya kusitisha vita

    Israel imeshaua Wapalestina 40 Ghaza tangu baada ya kutangazwa makubaliano ya kusitisha vita

    Jan 16, 2025 00:07

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeendeleza mashambulio katika Ukanda wa Ghaza licha ya kutangazwa makubaliano ya kusitisha vita kati ya utawala huo ghasibu na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS. Hadi wakati huu, Wapalestina wasiopungua 40 wameshauliwa shahidi na jeshi hilo.

  • Hamas: Wapalestina wanakufa kwa baridi kali Ukanda wa Gaza; yaitaka UN ichukue hatua

    Hamas: Wapalestina wanakufa kwa baridi kali Ukanda wa Gaza; yaitaka UN ichukue hatua

    Jan 01, 2025 00:09

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitolea wito jamii ya kimataifa na Umoja wa Mataifa kuchukua hatua hivi sasa ambapo raia wa Palestina wanaaga dunia kwa baridi kali huko Gaza huku Israel ikiendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya wakazi wa eneo hilo.

  • HAMAS yatumia droni iliyoiteka kutoka kwa Israel kuwatwanga Wazayuni

    HAMAS yatumia droni iliyoiteka kutoka kwa Israel kuwatwanga Wazayuni

    Dec 30, 2024 23:24

    Brigedi za Izzudin Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimetangaza kuwa, zimetumia droni ziliyoiteka kutoka kwa wanajeshi wa Israel kuwashambulia wanajeshi hao vamizi na Wazayuni wenzao.

  • Hamas yalaani vikali kushambuliwa hospitali Gaza; yasema Israel inafanya maangamizi ya kizazi

    Hamas yalaani vikali kushambuliwa hospitali Gaza; yasema Israel inafanya maangamizi ya kizazi

    Dec 23, 2024 23:05

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani mashambulizi yanayoendelea kufanywa na jeshi la Israel katika hospitali ya Kamal Adwan kaskazini mwa Gaza na kusema kuwa, huo ni "uhalifu usio na mfano dhidi ya binadamu."

  •  Hamas yaendeleza juhudi za kufikia mapatano ya kusitisha vita Ukanda wa Gaza

    Hamas yaendeleza juhudi za kufikia mapatano ya kusitisha vita Ukanda wa Gaza

    Dec 22, 2024 04:19

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palstina (Hamas) imeripoti kuwa makundi ya muqawama ya Palestina yamekutana katika kikao cha pamoja huko Cairo, Misri na kwamba upo uwezekano wa kufikia mapatano ya kusitisha vita huko Ukanda wa Gaza.

  • Hamas: Taasisi za kimataifa zisaidie kufikisha misaada ya kitiba Ukanda wa Gaza

    Hamas: Taasisi za kimataifa zisaidie kufikisha misaada ya kitiba Ukanda wa Gaza

    Dec 16, 2024 03:46

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeziomba taasisi za kimataifa zitume misaada ya kitiba na kitabibu kwa ajili ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS: Hakuna wa kuwaamulia Wapalestina, wao wenyewe wana haki kamili, uwezo na ustahiki

    HAMAS: Hakuna wa kuwaamulia Wapalestina, wao wenyewe wana haki kamili, uwezo na ustahiki

    Dec 15, 2024 02:05

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, kwa mara nyingine tena imesema, inakaribisha uchukuaji hatua wowote ule wa dhati na wa kivitendo kwa ajili ya kusimamisha uchokozi na jinai za utawala ghasibu wa Israel na kukomesha vita katika Ukanda wa Ghaza.

  • HAMAS yajibu vitisho alivyotoa Trump kuhusu mateka wa Kizayuni wanaoshikiliwa Ghaza

    HAMAS yajibu vitisho alivyotoa Trump kuhusu mateka wa Kizayuni wanaoshikiliwa Ghaza

    Dec 04, 2024 03:12

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa jibu kwa ujumbe wa vitisho uliotolewa na rais mteule wa Marekani kuhusu mateka wa Kizayuni wanaoshikiliwa katika Ukanda wa Ghaza na kusisitiza kuwa, ni bora Trump atume salamu zake hizo kwa Netanyahu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS