Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Israel yaililia Russia iwe mpatanishi kati yake na Hizbullah

    Israel yaililia Russia iwe mpatanishi kati yake na Hizbullah

    Nov 02, 2024 11:14

    Israel sasa inaiasa Russia eti ishiriki katika 'juhudi za amani' zinazolenga kumaliza mzozo kati ya utawala huo wa Kizayuni na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Hizbullah: Tumefanikiwa kuangamiza wanajeshi 95 wa Israel

    Hizbullah: Tumefanikiwa kuangamiza wanajeshi 95 wa Israel

    Nov 01, 2024 10:30

    Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imesema zaidi ya maafisa na wanajeshi 95 wa Israel wameuawa na wengine wasiopungua 900 wamejeruhiwa tangu utawala huo ghasibu uanzishe operesheni ya nchi kavu dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Sheikh Qassem: Hizbullah itazima 'mpango mkubwa' wa Israel katika eneo

    Sheikh Qassem: Hizbullah itazima 'mpango mkubwa' wa Israel katika eneo

    Oct 31, 2024 02:37

    Katibu Mkuu mpya wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema kundi hilo la mapambano ya Kiislamu litaendelea kupambana kwa shabaha ya kusambaratisha njama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya eneo zima la Asia Magharibi.

  • 'Hizbullah iko katika mkao wa vita, siku ngumu zinaisubiri Israel'

    'Hizbullah iko katika mkao wa vita, siku ngumu zinaisubiri Israel'

    Oct 14, 2024 13:43

    Kamanda Mkuu wa zamani wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ameuonya utawala haramu Israel kuhusu "siku ngumu" zijazo huku harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah ikijiimarisha kivita ili kukabiliana na uvamizi wa Israel.

  • Israel yateketeza mahema kwenye Hospitali ya Ghaza na kuwachoma moto Wapalestina wakiwa hai

    Israel yateketeza mahema kwenye Hospitali ya Ghaza na kuwachoma moto Wapalestina wakiwa hai

    Oct 14, 2024 06:12

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeishambulia kwa mabomu kambi ya wakimbizi katika eneo la kati la Ukanda wa Ghaza na kusababisha moto mkubwa uliopelekea kuuawa shahidi Wapalestina waliokuwa wametafuta hifadhi kwenye eneo hilo kutokana na hilaki ya vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala huo ghasibu.

  • Muendelezo wa mashambulizi makali  ya Hizbullah ya Lebanon  kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel)

    Muendelezo wa mashambulizi makali ya Hizbullah ya Lebanon kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel)

    Oct 12, 2024 11:41

    Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imelenga maeneo ya kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kwa mashambulizi makali ya makombora.

  • Hizbullah yaendelea kuyatwanga maeneo ya Wazayuni kwa mvua ya makombora

    Hizbullah yaendelea kuyatwanga maeneo ya Wazayuni kwa mvua ya makombora

    Oct 11, 2024 02:38

    Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon umeendelea kutoa vipigo vikali kwa walowezi wa Kizayuni kwa kuyashambulia kwa makombora maeneo ya kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina la Israel na maeneo mengine muhimu ya Wazayuni kama Haifa.

  • Sheikh Qassim: Hakuna shaka Hizbullah itamshinda adui Mzayuni

    Sheikh Qassim: Hakuna shaka Hizbullah itamshinda adui Mzayuni

    Oct 08, 2024 11:43

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amepongeza Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa iliyofanywa na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS na makundi mengine ya mapambano yenye makao yao makuu huko Gaza dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na kusema kuwa, operesheni hiyo iliashiria mwanzo wa kubadilisha taswira ya eneo la Asia Magharibi kwa kuyahusisha makundi ya Muqawama.

  • Hizbullah yaipiga kambi ya kijeshi ya Israel kwa makombora ya Fadi-1

    Hizbullah yaipiga kambi ya kijeshi ya Israel kwa makombora ya Fadi-1

    Sep 30, 2024 02:27

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imesema imevurumisha makombora ya Fadi-1 dhidi ya kambi ya jeshi la Israel katika maeneo ya kaskazini yanayokaliwa kwa mabavu.

  • Israel yaua watu wengine 72 na kujeruhi 400 Lebanon, Hizbullah yajibu mapigo kwa makombora

    Israel yaua watu wengine 72 na kujeruhi 400 Lebanon, Hizbullah yajibu mapigo kwa makombora

    Sep 26, 2024 06:47

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewaua shahidi watu wasiopungua 72 na kuwajeruhi wengine 400 nchini Lebanon katika siku ya tatu mtawalia ya mashambulizi ya kiwendawazimu unayofanya katika ardhi ya nchi hiyo sambamba na makabiliano yanayoendelea baina yake na harakati ya Muqawama ya Hizbullah.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS