-
Jeshi la Iran lasema meli 25 zimepita katika Lango la Hormuz
May 24, 2026 03:28Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza kuwa meli 25, zikiwemo meli za mafuta, meli za mizigo (kontena), na meli zingine kibiashara, zimevuka Lango la Bahari la Hormuz katika kipindi cha saa 24 zilizopita hadi kufikia jana, baada ya kupata idhini na chini ya uratibu wa kiusalama wa jeshi hilo.
-
Namna Marekani Ilivyokosa Kuwa na Mkakati Unaoeleweka Katika Kuamiliana na Iran
May 02, 2026 17:20Naibu waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani, Wendy Sherman, amekosoa namna serikali ya Donald Trump inavyosimamia suala la vita dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, Washington haina mkakati unaoeleweka, wala mwenendo wa uchukuaji maamuzi ulioratibika, na kwamba mgogoro wa sasa hautatatuka pasi na kuirejea tena diplomasia.
-
Iran kudhibiti trafiki ya Lango Bahari la Hormuz hadi makubaliano yafikiwe kumaliza vita
Apr 19, 2026 10:50Baraza la Juu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) limesema kwamba Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kusimamia na kudhibiti trafiki yote inayopita katika Lango Bahari la Hormuz, ambalo ni njia ya kimkakati, hadi kufikiwa mapatano kamili ya kumaliza vita vya kulazimishwa vya Marekani na Israel dhidi ya nchi hii.
-
Zarif: Trump hawezi kuilazimisha Iran iafiki mpatano ya upande mmoja
Oct 30, 2019 00:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: "Serikali ya Marekani haiwezi kuilazimisha Iran iafiki mapatano ya upande mmoja."
-
Iran yalifanyia majaribio kwa mafanikio kombora la balestiki la Hormuz-2
Mar 10, 2017 00:40Kamanda wa ngazi ya juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema jeshi hilo limefanyia majaribio kwa mafanikio kombora la balestiki la Hormuz-2.