-
Rais wa Iran awatumia salamu za Idul Fitr viongozi wa nchi za Kiislamu
May 24, 2020 04:21Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu kote duniani salamu za kheri na fanaka kwa mnasaba wa kuwadia siku kuu ya Idul Fitr.
-
Rouhani: Iran inafanya juhudi za kuimarisha usalama wa Asia Magharibi
Jun 05, 2019 11:42Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inafanya juhudi za kuimarisha usalama katika eneo la Asia Magharibi na haina hamu wala nia yoyote ya kuingia vitani na nchi nyingine.
-
Kiongozi Muadhamu: Muamala wa Karne kamwe hautofikia malengo yake
Jun 05, 2019 08:20Kiingozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu sambamba na kusisitiza kwamba mpango unaoitwa 'Muamala wa Karne' hautofikia malengo yake, amepongeza nchi za Kiarabu na kadhalika makundi ya Palestina yaliyopinga mpango huo.
-
Kiongozi Muadhamu: Nchi za Kiislamu zipambane na adui ghasibu anayetenda jinai Palestina
Jun 05, 2019 11:55Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, nchi za Kiislamu zina wajibu wa kukabiliana na adui ghasibu anayetenda jinai huko Palestina na sio kuzozana zenyewe kwa zenyewe.
-
Iran inatazamia kusherehekea siku kuu ya Idul Fitr Jumatano ya Juni 5
Jun 03, 2019 10:48Wananchi Waislamu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanatazamiwa kusherehekea siku kuu ya Idul Fitr siku ya Jumatano, Juni 5.
-
Waislamu duniani wanaswali Swala ya Iddi Ijumaa ya leo
Jun 15, 2018 04:51Waislamu katika nchi mbalimbali duniani leo wanaswali Swala ya Iddil-Fitri baada ya kutangazwa kuonekana kwa mwezi mwandamo na kukamilika mwezi wa Ramadhan.
-
Rais Rouhani awatumia Waislamu mkono wa Idi
Jun 14, 2018 15:55Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia mkono wa Idi viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa mnasaba wa kukaribia kuingia katika sikukuu ya Idul Fitr.
-
Waislamu duniani waungana kuswali na kusherehekea Iddil-Fitri
Jun 26, 2017 04:20Leo Waislamu wa maeneo tofauti duniani wanaungana katika swala ya Iddil-Fitri, baada ya kukamilisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa siku 30. Hapa Iran swala ya Iddil-Fitri imeswalishwa kitaifa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, hapa mjini Tehran muda mfupi uliopita.
-
Wapalestina 90 elfu washiriki Sala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al Aqsa
Jun 25, 2017 14:44Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Ujumbe wa Idul Fitr wa Rais Rouhani wa Iran kwa marais wa nchi za Kiislamu
Jun 25, 2017 14:29Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu salamu za pongezi, kheri na fanaka kwa munasaba wa siku kuu ya Idul Fitr.