Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Idul Fitri

  • Rais wa Iran awatumia salamu za Idul Fitr viongozi wa nchi za Kiislamu

    Rais wa Iran awatumia salamu za Idul Fitr viongozi wa nchi za Kiislamu

    May 24, 2020 04:21

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu kote duniani salamu za kheri na fanaka kwa mnasaba wa kuwadia siku kuu ya Idul Fitr.

  • Rouhani: Iran inafanya juhudi za kuimarisha usalama wa Asia Magharibi

    Rouhani: Iran inafanya juhudi za kuimarisha usalama wa Asia Magharibi

    Jun 05, 2019 11:42

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inafanya juhudi za kuimarisha usalama katika eneo la Asia Magharibi na haina hamu wala nia yoyote ya kuingia vitani na nchi nyingine.

  • Kiongozi Muadhamu: Muamala wa Karne kamwe hautofikia malengo yake

    Kiongozi Muadhamu: Muamala wa Karne kamwe hautofikia malengo yake

    Jun 05, 2019 08:20

    Kiingozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu sambamba na kusisitiza kwamba mpango unaoitwa 'Muamala wa Karne' hautofikia malengo yake, amepongeza nchi za Kiarabu na kadhalika makundi ya Palestina yaliyopinga mpango huo.

  • Kiongozi Muadhamu: Nchi za Kiislamu zipambane na adui ghasibu anayetenda jinai Palestina

    Kiongozi Muadhamu: Nchi za Kiislamu zipambane na adui ghasibu anayetenda jinai Palestina

    Jun 05, 2019 11:55

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, nchi za Kiislamu zina wajibu wa kukabiliana na adui ghasibu anayetenda jinai huko Palestina na sio kuzozana zenyewe kwa zenyewe.

  • Iran inatazamia kusherehekea siku kuu ya Idul Fitr Jumatano ya Juni 5

    Iran inatazamia kusherehekea siku kuu ya Idul Fitr Jumatano ya Juni 5

    Jun 03, 2019 10:48

    Wananchi Waislamu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanatazamiwa kusherehekea siku kuu ya Idul Fitr siku ya Jumatano, Juni 5.

  • Waislamu duniani wanaswali Swala ya Iddi Ijumaa ya leo

    Waislamu duniani wanaswali Swala ya Iddi Ijumaa ya leo

    Jun 15, 2018 04:51

    Waislamu katika nchi mbalimbali duniani leo wanaswali Swala ya Iddil-Fitri baada ya kutangazwa kuonekana kwa mwezi mwandamo na kukamilika mwezi wa Ramadhan.

  • Rais Rouhani awatumia Waislamu mkono wa Idi

    Rais Rouhani awatumia Waislamu mkono wa Idi

    Jun 14, 2018 15:55

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia mkono wa Idi viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa mnasaba wa kukaribia kuingia katika sikukuu ya Idul Fitr.

  • Waislamu duniani waungana kuswali na kusherehekea Iddil-Fitri

    Waislamu duniani waungana kuswali na kusherehekea Iddil-Fitri

    Jun 26, 2017 04:20

    Leo Waislamu wa maeneo tofauti duniani wanaungana katika swala ya Iddil-Fitri, baada ya kukamilisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa siku 30. Hapa Iran swala ya Iddil-Fitri imeswalishwa kitaifa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, hapa mjini Tehran muda mfupi uliopita.

  • Wapalestina 90 elfu washiriki Sala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al Aqsa

    Wapalestina 90 elfu washiriki Sala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al Aqsa

    Jun 25, 2017 14:44

    Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Ujumbe wa Idul Fitr wa Rais Rouhani wa Iran kwa marais wa nchi za Kiislamu

    Ujumbe wa Idul Fitr wa Rais Rouhani wa Iran kwa marais wa nchi za Kiislamu

    Jun 25, 2017 14:29

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu salamu za pongezi, kheri na fanaka kwa munasaba wa siku kuu ya Idul Fitr.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS