Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Seneta wa Marekani ataka uchunguzi kuhusu kuuliwa kigaidi viongozi wa Yemen

    Seneta wa Marekani ataka uchunguzi kuhusu kuuliwa kigaidi viongozi wa Yemen

    Oct 23, 2018 03:24

    Bi Elizabeth Warren, mjumbe katika Baraza la Senate la Marekani ameiandikia barua wizara ya mahakama ya nchi hiyo na kutaka kufanyike uchunguzi kuhusu ripoti zinazosema kwamba, maveterani wa kivita na wanajeshi wastaafu wa Marekani wanatumiwa na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kuua kigaidi viongozi wa kisiasa wa Yemen.

  • 'Saudia na Imarati zimehusika na shambulio la kigaidi la Ahvaz nchini Iran'

    'Saudia na Imarati zimehusika na shambulio la kigaidi la Ahvaz nchini Iran'

    Sep 23, 2018 10:41

    Katibu wa Baraza la Kitaifa la Wairani wa Marekani linalojulikana kwa jina la NIAC amesema kuwa, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu zimehusika katika shambulizi la kigaidi lililotokea jana Jumamosi katika makao makuu ya mkoa wa Khuzistan wa kusini magharibi mwa Iran.

  • Imarati yaondoa kikosi cha mwisho cha askari wake Yemen

    Imarati yaondoa kikosi cha mwisho cha askari wake Yemen

    Sep 23, 2018 04:22

    Kikosi cha mwisho cha wanajeshi wa Umoja wa Falme za Kiarabu kilichokuwa kikihudumu chini ya muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika mkoa wa Mahran nchini Yemen kimewasili nyumbani baada ya serikali ya Abu Dhabi kukiagizi kiondoke katika nchi hiyo maskini ya Kiarabu.

  • Seif al Islam Gaddafi akutana na viongozi wa ngazi za juu wa Imarati na Misri

    Seif al Islam Gaddafi akutana na viongozi wa ngazi za juu wa Imarati na Misri

    Sep 17, 2018 10:57

    Baadhi ya duru za ngazi za juu za Libya na Misri zimetangaza kuwa, Seif al Islam, mtoto wa kiongozi wa zamani wa Libya, Muammar Gaddafi, amekutana na viongozi wawili wakubwa wa Umoja wa Falme za Kiarabu na Misri.

  • Vipigo vya makombora ya Yemen dhidi ya mishipa ya kiuchumi ya Saudia na Imarati

    Vipigo vya makombora ya Yemen dhidi ya mishipa ya kiuchumi ya Saudia na Imarati

    Sep 05, 2018 01:40

    Jeshi na kamati za kujitolea za wananchi wa Yemen zimeamua kulipiza kisasi cha jinai zinazofanywa na Saudi Arabia na wavamizi wenzake, kupitia kushambulia kwa makombora mishipa ya kiuchumi ya Saudia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

  • UAE ilitumia spyware ya Israel kuwafanyia ujasusi viongozi wa eneo

    UAE ilitumia spyware ya Israel kuwafanyia ujasusi viongozi wa eneo

    Sep 01, 2018 09:33

    Utawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu ulitumia programu ya kijasusi ya kudukua kompyuta au simu za mkononi (spyware) kuwafanyia ujasusi viongozi kadhaa wa nchi za Kiarabu akiwemo Amir wa Qatar, Waziri Mkuu wa Lebanon na mwanamfalme mmoja wa Saudia.

  • Ufaransa yadai kuwa wavamizi hawatumii silaha zake katika jinai zao Yemen

    Ufaransa yadai kuwa wavamizi hawatumii silaha zake katika jinai zao Yemen

    Sep 01, 2018 02:56

    Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa amedai kuwa, silaha za Ufaransa zilizouziwa Saudia na Imarati sizo zinazotumika kufanya mauaji ya raia nchini Yemen.

  • Qatar yaonyesha wasi wasi wake kutokana na ujasusi unaofanywa na Imarati dhidi yake

    Qatar yaonyesha wasi wasi wake kutokana na ujasusi unaofanywa na Imarati dhidi yake

    Sep 01, 2018 00:08

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar imetoa taarifa ikionyesha wasi wasi wake juu ya ujasusi unaofanywa na baadhi ya shakhsia wa Imarati dhidi ya nchi hiyo.

  • Saudia na Imarati zinailaghai Jordan iunge mkono mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne

    Saudia na Imarati zinailaghai Jordan iunge mkono mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne

    Aug 31, 2018 23:38

    Mbunge wa Jordan, Khalid Ramadhan amefichua hila na ulaghai mpya unaofanywa na Saudi Arabia ikishirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati wa kuishawishi Jordan iunge mkono mpango wa Marekani wa kuiangamiza Palestina unaojulikana kama "Muamala wa Karne".

  • Qatar yazishutumu Saudia, UAE kwa kushirikiana na magaidi wa al Qaeda nchini Yemen

    Qatar yazishutumu Saudia, UAE kwa kushirikiana na magaidi wa al Qaeda nchini Yemen

    Aug 31, 2018 02:02

    Balozi wa Qatar nchini Marekani amezishutumu Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kuwa na ushirikiano wa siri na magaidi wa al-Qaeda nchini Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS