Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Ethiopia: Imarati, Marekani hazikuwa na nafasi katika makubaliano ya amani na Eritrea

    Ethiopia: Imarati, Marekani hazikuwa na nafasi katika makubaliano ya amani na Eritrea

    Jul 13, 2018 15:49

    Ethiopia imekanusha madai kwamba Imarati imekuwa na nafasi katika makubaliano ya amani iliyofikia na nchi jirani ya Eritrea.

  • EU yaishambulia Imarati kwa kuvuruga uthabiti Somalia

    EU yaishambulia Imarati kwa kuvuruga uthabiti Somalia

    Jul 06, 2018 13:27

    Bunge la Umoja wa Ulaya limezikosoa vikali Umoja wa Falme za Kiarabu na Saudi Arabia kwa kuikatia Somalia misaada kutokana na nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kutangaza msimamo wa kutoegemea upande wowote katika mgogoro kati ya nchi nne za Kiarabu zikiongozwa na Saudia kwa upande mmoja na Qatar kwa upande wa pili.

  • Ansarullah: Madai ya Imarati ya kusimamisha hujuma zake Hudaydah ni urongo

    Ansarullah: Madai ya Imarati ya kusimamisha hujuma zake Hudaydah ni urongo

    Jul 02, 2018 07:00

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imekadhibisha madai yaliyotolewa na Umoja wa Falme za Kiarabu kwamba eti imesitisha oparesheni ya kutaka kukalia kwa mabavu mji wa bandari wa al-Hudaydah nchini Yemen.

  • UAE yadai kuwa imesitisha oparesheni ya hujuma ya kijeshi Al Hudaydah, Yemen

    UAE yadai kuwa imesitisha oparesheni ya hujuma ya kijeshi Al Hudaydah, Yemen

    Jul 01, 2018 13:52

    Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE, ambayo ni moja ya nchi katika muungano vamizi unaoongozwa na Saudia Arabia, baada ya kupita mwezi mmoja tokea ianze oparesheni ya kutaka kukalia kwa mabavu mji wa Al Hudaydah wa Yemen na hatimaye kufeli njama hiyo, sasa imetangaza kuwa eti imesitisha oparesheni hiyo kwa kisingizio cha kutoa fursa ya kufanyika mazungumzo ya kisiasa.

  • Qatar yataka Saudia na Imarati zitimuliwe Baraza la Haki za Binaadamu

    Qatar yataka Saudia na Imarati zitimuliwe Baraza la Haki za Binaadamu

    Jun 23, 2018 14:12

    Baada ya kupita mwaka mmoja tangu kukatwa mahusiano ya nchi za Kiarabu na Qatar na kadhalika kuiwekea vikwazo na mzingiro wa kila upande nchi hiyo, serikali ya Doha imetaka uanachama wa Saudia na Imarati katika Baraza la Haki za Binaadamu usimamishwe.

  • Associated Press: Imarati imetengeneza

    Associated Press: Imarati imetengeneza "Abu Ghuraib" huko Aden

    Jun 21, 2018 03:10

    Shirika la habari la Associated Press limefichua kashfa mpya ya makamanda wa jeshi la Imarati na mawakili wao dhidi ya mamia ya Wayemen wanaoshikiliwa katika jela ya mji wa Aden huko kusini mwa Yemen.

  • Gazeti la Ufaransa lafichua kuwa, askari wa nchi hiyo wanashirikiana na Imarati kuishambulia Yemen

    Gazeti la Ufaransa lafichua kuwa, askari wa nchi hiyo wanashirikiana na Imarati kuishambulia Yemen

    Jun 17, 2018 01:32

    Gazeti moja la Ufaransa limefichua kuwa, askari maalumu wa nchi hiyo wamekuwa wakishirikiana na askari wa Imarati katika vita dhidi ya Yemen.

  • Mufti Mkuu wa Libya aishambulia Imarati kwa kuchochea machafuko nchini mwake

    Mufti Mkuu wa Libya aishambulia Imarati kwa kuchochea machafuko nchini mwake

    Jun 16, 2018 04:04

    Mufti Mkuu wa Libya, Sheikh Sadiq al Ghariani ameushambulia vikali Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa kueneza fitna na kuchochea chuki na uhasama katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Kufichuliwa kushiriki maafisa wa kijeshi wa Marekani katika vita vya Saudia dhidi ya Yemen

    Kufichuliwa kushiriki maafisa wa kijeshi wa Marekani katika vita vya Saudia dhidi ya Yemen

    Jun 14, 2018 09:34

    Kwa mujibu wa wa jarida la Ufaransa la Intelligence Online, Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE, umewaajiri maafisa wa jeshi la Marekani waliostaafu ili waweze kuwasaidia wanajeshi wake katika vita dhidi ya Yemen. Imedokezwa kuwa, UAE imewaajiri mamluki hao ambao waliwahi kuhudumu katika ngazi mbali mbali katika Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon.

  • Vikosi vya Yemen vyazima mashambulizi ya Saudia al-Hudaydah

    Vikosi vya Yemen vyazima mashambulizi ya Saudia al-Hudaydah

    Jun 14, 2018 08:08

    Jeshi la Yemen likishirikiana na vikosi vya kujitolewa vya wananchi limefanikiwa kuzima mashambulizi ya muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia, dhidi ya bandari ya al-Hudaydah ambayo ndilo lango kuu la kuingizia misaada ya kibinadamu kwa raia wanaoendelea kuua ovyo wa Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS