-
Ethiopia: Imarati, Marekani hazikuwa na nafasi katika makubaliano ya amani na Eritrea
Jul 13, 2018 15:49Ethiopia imekanusha madai kwamba Imarati imekuwa na nafasi katika makubaliano ya amani iliyofikia na nchi jirani ya Eritrea.
-
EU yaishambulia Imarati kwa kuvuruga uthabiti Somalia
Jul 06, 2018 13:27Bunge la Umoja wa Ulaya limezikosoa vikali Umoja wa Falme za Kiarabu na Saudi Arabia kwa kuikatia Somalia misaada kutokana na nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kutangaza msimamo wa kutoegemea upande wowote katika mgogoro kati ya nchi nne za Kiarabu zikiongozwa na Saudia kwa upande mmoja na Qatar kwa upande wa pili.
-
Ansarullah: Madai ya Imarati ya kusimamisha hujuma zake Hudaydah ni urongo
Jul 02, 2018 07:00Harakati ya Ansarullah ya Yemen imekadhibisha madai yaliyotolewa na Umoja wa Falme za Kiarabu kwamba eti imesitisha oparesheni ya kutaka kukalia kwa mabavu mji wa bandari wa al-Hudaydah nchini Yemen.
-
UAE yadai kuwa imesitisha oparesheni ya hujuma ya kijeshi Al Hudaydah, Yemen
Jul 01, 2018 13:52Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE, ambayo ni moja ya nchi katika muungano vamizi unaoongozwa na Saudia Arabia, baada ya kupita mwezi mmoja tokea ianze oparesheni ya kutaka kukalia kwa mabavu mji wa Al Hudaydah wa Yemen na hatimaye kufeli njama hiyo, sasa imetangaza kuwa eti imesitisha oparesheni hiyo kwa kisingizio cha kutoa fursa ya kufanyika mazungumzo ya kisiasa.
-
Qatar yataka Saudia na Imarati zitimuliwe Baraza la Haki za Binaadamu
Jun 23, 2018 14:12Baada ya kupita mwaka mmoja tangu kukatwa mahusiano ya nchi za Kiarabu na Qatar na kadhalika kuiwekea vikwazo na mzingiro wa kila upande nchi hiyo, serikali ya Doha imetaka uanachama wa Saudia na Imarati katika Baraza la Haki za Binaadamu usimamishwe.
-
Associated Press: Imarati imetengeneza "Abu Ghuraib" huko Aden
Jun 21, 2018 03:10Shirika la habari la Associated Press limefichua kashfa mpya ya makamanda wa jeshi la Imarati na mawakili wao dhidi ya mamia ya Wayemen wanaoshikiliwa katika jela ya mji wa Aden huko kusini mwa Yemen.
-
Gazeti la Ufaransa lafichua kuwa, askari wa nchi hiyo wanashirikiana na Imarati kuishambulia Yemen
Jun 17, 2018 01:32Gazeti moja la Ufaransa limefichua kuwa, askari maalumu wa nchi hiyo wamekuwa wakishirikiana na askari wa Imarati katika vita dhidi ya Yemen.
-
Mufti Mkuu wa Libya aishambulia Imarati kwa kuchochea machafuko nchini mwake
Jun 16, 2018 04:04Mufti Mkuu wa Libya, Sheikh Sadiq al Ghariani ameushambulia vikali Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa kueneza fitna na kuchochea chuki na uhasama katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Kufichuliwa kushiriki maafisa wa kijeshi wa Marekani katika vita vya Saudia dhidi ya Yemen
Jun 14, 2018 09:34Kwa mujibu wa wa jarida la Ufaransa la Intelligence Online, Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE, umewaajiri maafisa wa jeshi la Marekani waliostaafu ili waweze kuwasaidia wanajeshi wake katika vita dhidi ya Yemen. Imedokezwa kuwa, UAE imewaajiri mamluki hao ambao waliwahi kuhudumu katika ngazi mbali mbali katika Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon.
-
Vikosi vya Yemen vyazima mashambulizi ya Saudia al-Hudaydah
Jun 14, 2018 08:08Jeshi la Yemen likishirikiana na vikosi vya kujitolewa vya wananchi limefanikiwa kuzima mashambulizi ya muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia, dhidi ya bandari ya al-Hudaydah ambayo ndilo lango kuu la kuingizia misaada ya kibinadamu kwa raia wanaoendelea kuua ovyo wa Yemen.