-
Imarati yawataka raia wake wasivae kanzu, buibui wakiwa nje ya nchi
Jul 04, 2016 09:53Imarati (UAE) imewataka raia wake wajiepushe kuvaa kanzu na buibui wakiwa nje ya nchi ili wasifananishwe na wafuasi wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh
-
Israel, Misri, UAE na Jordan zapanga kumtimua Rais wa Palestina
May 29, 2016 23:56Utawala wa Kizayuni wa Israel na waitifaki wake ikiwemo Misri, Umoja wa Falme za Kiarabu na Jordan zinapanga njama ya kumuondoa madarakani Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas.
-
Ndege ya Dubai yaanguka Russia, 62 wafariki
Mar 19, 2016 00:01Watu 62 wamefariki dunia mapema leo baada ya ndege ya abiria ya Shirika la Fly Dubai kuanguka wakati ikijaribu kutua katika mji wa Rostov-on-Don kusini mwa Russia karibu na mpaya wa nchi hiyo na Ukraine.