Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Wahindu wenye kufurutu ada wachoma moto misikiti nchini India

    Wahindu wenye kufurutu ada wachoma moto misikiti nchini India

    Mar 04, 2020 13:16

    Serikali ya India imefichua habari ya kuchomwa moto kikamilifu misikiti tisa na mamia ya nakala za Qur'an Tukufu katika shambulizi lililofanywa na Wahindu wenye misimamo mikali ya chuki dhidi ya Waislamu.

  • Zarif akosoa ukatili na ghasia zilizopangwa dhidi ya Waislamu India

    Zarif akosoa ukatili na ghasia zilizopangwa dhidi ya Waislamu India

    Mar 03, 2020 07:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inalaani vikali ukatili na ghasia zilizoratibiwa dhidi ya Waislamu nchini India, akisisitiza kuwa njia pekee ya kutatua mgogoro uliopo ni kufuata sheria na mazungumzo ya amani.

  • Jumuiya ya Kimataifa ya Wahadhiri wa Kiislamu yalaani mauaji ya Waislamu nchini India

    Jumuiya ya Kimataifa ya Wahadhiri wa Kiislamu yalaani mauaji ya Waislamu nchini India

    Mar 03, 2020 02:26

    Jumuiya ya Kimataifa ya Wahadhiri Waislamu wa Vyuo Vikuu (International Association of Muslim University Professors) imelaani mauaji yanayofanyika nchini India dhidi ya Waislamu na kutoa wito wa kukomeshwa kimya cha kimataifa kuhusiana na jinai hiyo.

  • Iran yasikitishwa na ukandamizaji dhidi ya Waislamu nchini India

    Iran yasikitishwa na ukandamizaji dhidi ya Waislamu nchini India

    Mar 02, 2020 13:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza masikitiko yake kuhusiana na ukandamizaji wanaofanyiwa Waislamu nchini India na kusema kuwa, Tehran inaitambua India kuwa ni nchi ya kuvumiliana kidini; hivyo habari za kuwepo ukandamizaji dhidi ya Waislamu nchini humo ni suala linalotia wasiwasi mkubwa.

  • Mamia waandamana katika miji ya US kulaani mauaji ya Waislamu India

    Mamia waandamana katika miji ya US kulaani mauaji ya Waislamu India

    Mar 01, 2020 07:56

    Mamia ya raia wa Marekani wenye asili ya India wamefanya maandamano katika miji mikubwa ya Marekani kulaani na kupinga ghasia zilizopelekea makumi ya watu kuuawa katika mji mkuu wa India, New Delhi.

  • Wasiwasi wa Pakistan kuhusu mkataba wa mauzo ya silaha baina ya India na Marekani

    Wasiwasi wa Pakistan kuhusu mkataba wa mauzo ya silaha baina ya India na Marekani

    Mar 01, 2020 02:34

    Serikali ya Pakistan imetahadharisha kuhusu athari mbaya za mkataba wa kijeshi uliotiwa saini baina ya nchi za India na Marekani.

  • Kumalizika ziara ya Trump nchini India

    Kumalizika ziara ya Trump nchini India

    Feb 27, 2020 08:08

    Ziara ya siku mbili ya Rais Donald Trump wa Marekani huko India imemalizika katika hali ambayo hakujatangazwa habari yoyote kuhusu kufikiwa mapatano makubwa ya kibiashara kati ya nchi mbili hizo.

  • Ghasia zashtadi India, waliouawa New Delhi wafika 24

    Ghasia zashtadi India, waliouawa New Delhi wafika 24

    Feb 27, 2020 02:25

    Idadi ya waliouawa katika ghasia zilizosababishwa na sheria tatu yenye kuwabagua Waislamu katika mji mkuu wa India, New Delhi imeongezeka na kufikia watu 24.

  • Ghasia za umwagaji damu baina ya wapingaji na waungaji mkono wa sheria mpya ya uraia nchini India

    Ghasia za umwagaji damu baina ya wapingaji na waungaji mkono wa sheria mpya ya uraia nchini India

    Feb 27, 2020 02:24

    Kwa akali watu 23 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 150 wamejeruhiwa katika mji mkuu wa India New Delhi, kufuatia ghasia zilizoibuka kati ya wapingaji na waungaji mkono wa sheria tata ya kuwapa uraia wa nchi hiyo watu wasio Waislamu.

  • Watu 13 wafariki dunia na 150 wajeruhiwa katika ghasia za mjini New Delhi, India

    Watu 13 wafariki dunia na 150 wajeruhiwa katika ghasia za mjini New Delhi, India

    Feb 26, 2020 04:40

    Watu 13 wamefariki dunia na wengine 150 wamejeruhiwa katika ghasia zilizoibuka kati ya wapingaji na waungaji mkono wa sheria tata ya kuwapa uraia wa nchi hiyo watu wasio Waislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS