Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Wimbi la hasira laibuka India baada ya mwanafunzi kubughudhiwa na wahuni kwa kuvaa hijabu

    Wimbi la hasira laibuka India baada ya mwanafunzi kubughudhiwa na wahuni kwa kuvaa hijabu

    Feb 09, 2022 13:23

    Video iliyowekwa kwenye mtandao wa Twitter ikimuonyesha mwanafunzi Muislamu aliyevaa hijabu akibughudhiwa kwa maneno na genge la wahindu wenye misimamo ya kufurutu mpaka katika chuo kimoja cha jimbo la Karnataka nchini India, imezusha moto wa hasira na kuzidisha malalamiko ya kupinga marufuku ya uvaaji hijabu iliyowekwa katika taasisi za elimu za jimbo hilo.

  • Chuo kingine India chazuia wanafunzi Waislamu kuvaa Hijabu

    Chuo kingine India chazuia wanafunzi Waislamu kuvaa Hijabu

    Feb 05, 2022 04:36

    Katika kile kinachoonekana ni kuendelea kuendekeza misimamo ya chuki na kufurutu ada ya serikali ya waziri mkuu wa India Narendra Modi, wanafunzi Waislamu wanaovaa hijabu wamepigwa marufuku kuingia madarasani katika chuo kimoja katika jimbo la Karnataka, kusini mwa India.

  • Wanafunzi Waislamu wapigwa marufuku kuvaa Hijabu katika chuo cha serikali India

    Wanafunzi Waislamu wapigwa marufuku kuvaa Hijabu katika chuo cha serikali India

    Jan 21, 2022 13:19

    Wanachuo Waislamu wanaovaa hijabu wamepigwa marufuku kuingia madarasani katika chuo cha serikali cha Udupi kilichoko kwenye jimbo la Karnataka kusini-magharibi ya India.

  • Wito wa Wahindu wa kutekelezwa mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu waibua hasira

    Wito wa Wahindu wa kutekelezwa mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu waibua hasira

    Dec 25, 2021 04:32

    Video zinazowaonyesha viongozi wa kidini wa Kihindu nchini India wakitoa wito wa mauaji ya halaiki dhidi ya Waislamu zimezua hasira na wito madai ya kuchukuliwa hatua dhidi ya wahusika.

  • India yawapatia uraia wasio Waislamu kutoka Afghanistan, Pakistan na Bangladesh

    India yawapatia uraia wasio Waislamu kutoka Afghanistan, Pakistan na Bangladesh

    Dec 23, 2021 08:08

    Serikali ya India imesema imewapatia uraia watu elfu tatu, ambao ni raia wa jamii za wachache katika nchi za Afghanistan, Pakistan na Bangladesh.

  • Waziri Mkuu wa Pakistan aionya India: Tutajibu mapigo kwa hatua ya kijeshi kama tulivyofanya 2019

    Waziri Mkuu wa Pakistan aionya India: Tutajibu mapigo kwa hatua ya kijeshi kama tulivyofanya 2019

    Dec 18, 2021 07:41

    Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ameionya India kuwa, endapo itajaribu kuchukua hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Pakistan, nchi hiyo itajibu mapigo kama ilivyofanya mwaka 2019.

  • Mkuu wa Vikosi Vyote vya Ulinzi vya India na mke wake waaga dunia katika ajali ya helikopta

    Mkuu wa Vikosi Vyote vya Ulinzi vya India na mke wake waaga dunia katika ajali ya helikopta

    Dec 08, 2021 14:21

    Mkuu wa Vikosi Vyote vya Ulinzi vya India Jenerali Bipin Rawat, mkewe, na watu wengine 11 wameufariki dunia baada ya helikopta ya kijeshi waliyokuwa wakisafiria kuanguka katika jimbo la kusini la Tamil Nadu.

  • Shule zafungwa Delhi, India kutokana na uchafuzi wa hali ya hewa

    Shule zafungwa Delhi, India kutokana na uchafuzi wa hali ya hewa

    Nov 18, 2021 02:56

    Shule zote katika mji mkuu wa India, New Delhi zimefungwa kutokana na hali chafu ya hewa.

  • Waliofariki dunia kwa mafuriko na maporomoko ya ardhi India na Nepal wapindukia watu 100

    Waliofariki dunia kwa mafuriko na maporomoko ya ardhi India na Nepal wapindukia watu 100

    Oct 20, 2021 13:11

    Zaidi ya watu 100 wamefariki dunia baada ya siku kadhaa za mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yaliyoharibu barabara na nyumba nchini India na Nepal.

  • Pakistan yataka kuwajibishwa India kwa jinai dhidi ya wakazi wa Kashmir

    Pakistan yataka kuwajibishwa India kwa jinai dhidi ya wakazi wa Kashmir

    Aug 06, 2021 02:21

    Pakistan imeitaka jamii ya kimataifa kuiwajibisha na kuibebesha dhima New Delhi, kwa kukanyaga haki za binadamu katika eneo linalodhibitiwa na India huko Jammu na Kashmir.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS