• Kan'ani: Marekani inaunga mkono ugaidi wa kiserikali wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kan'ani: Marekani inaunga mkono ugaidi wa kiserikali wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Aug 21, 2024 22:50

    Nasser Kan'ani Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa leo hii ukweli mchungu na wa kusikitisha unashuhudiwa mbele ya walimwengu wa matabaka yote kuanzia raia wanaoteseka na kudhulumiwa katika eneo la Magharibi mwa Asia, kaskazini mwa Afrika hadi kwa wanafunzi wa vyuo vikuu barani Ulaya na Marekani kwamba serikali ya Marekani inaunga mkono waziwazi ugaidi wa kiserikali wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Umoja wa Mataifa wapongeza ukarimu wa Iran kwa wakimbizi

    Umoja wa Mataifa wapongeza ukarimu wa Iran kwa wakimbizi

    Aug 21, 2024 22:48

    Afisa msimamizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR hapa nchini Iran ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu kwa kuwapokea kwa ukarimu na kuwa mwenyeji wa wakimbizi.

  • Iran: Mbinu na muda wa jibu letu vitaishangaza mno Israel

    Iran: Mbinu na muda wa jibu letu vitaishangaza mno Israel

    Aug 21, 2024 04:23

    Ofisi ya Uwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imesema Jamhuri ya Kiislamu inapanga kwa makini muda na mbinu ya kulipiza kisasi cha mauaji ya kigaidi ya aliyekuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Wapalestina (HAMAS), Ismail Haniyah akiwa hapa Tehran.

  • Iran: Tuna haki ya kujibu mapigo ya mauaji ya kigaidi ya Haniyah

    Iran: Tuna haki ya kujibu mapigo ya mauaji ya kigaidi ya Haniyah

    Aug 17, 2024 23:29

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ina haki ya kujibu kwa njia halali kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kumuua kigaidi Ismail Haniyah, aliyekuwa Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas akiwa ziarani hapa mjini Tehran.

  • "Mateka wa vita wa Iran ni nembo ya Muqawama dhidi ya adui"

    Aug 16, 2024 07:16

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Mafungwa wa Vita ni nembo ya Muqawama na kusimama kidete taifa kubwa la Jamhuri ya Kiislamu dhidi ya ubeberu na utwishaji wa maadui wa taifa hili.

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu alihimiza taifa la Iran kusimama kidete katika vita vya kisaikolojia vya adui

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu alihimiza taifa la Iran kusimama kidete katika vita vya kisaikolojia vya adui

    Aug 15, 2024 06:35

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, amezungumzia hila na njama za wasiolitakia mema taifa la Iran katika kuanzisha vita vya kisaikolojia na kutaka kulirudisha nyuma katika nyuga mbalimbali na kusema, utambuzi wa uwezo wa ndani na kuepuka kutia chumvi nguvu za maadui ndiyo njia pekee ya kukabiliana na njama hizo.

  • Jenerali Ghorbani: Vikwazo vimeimarisha mfumo wa kijeshi wa Iran

    Jenerali Ghorbani: Vikwazo vimeimarisha mfumo wa kijeshi wa Iran

    Aug 15, 2024 04:15

    Naibu Mratibu wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Iran amesema kuwa vikwazo vya kikatili dhidi ya Iran havijakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuimarisha mifumo ya kijeshi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Bin Salman ahofia kuuawa kwa kufuatilia mpango wa kuanzishwa uhusiano rasmi kati ya Saudia na Israel

    Bin Salman ahofia kuuawa kwa kufuatilia mpango wa kuanzishwa uhusiano rasmi kati ya Saudia na Israel

    Aug 15, 2024 00:15

    Mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman ameripotiwa kuwa anahofia "kuuawa" kwa sababu ya juhudi zake za kutaka kuhakikisha ufalme huo unaanzisha uhusiano rasmi na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Muqawama Iraq: Jibu la Iran dhidi ya Israel litakuwa la nguvu

    Muqawama Iraq: Jibu la Iran dhidi ya Israel litakuwa la nguvu

    Aug 14, 2024 23:16

    Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya al-Nujabaa ya Iraq amesema jibu tarajiwa la Iran kwa mauaji ya kigaidi yaliyofanywa mwezi uliopita na utawala wa Kizayuni dhidi ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS litakuwa la nguvu, lenye taathira na la kimahesabu.

  • Iran yatuma barua za malalamiko kwa maafisa wa haki za binadamu wa UN

    Iran yatuma barua za malalamiko kwa maafisa wa haki za binadamu wa UN

    Aug 14, 2024 11:27

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi amewatumia barua kwa nyakati tofauti maafisa wa haki za binadamu akibainisha malalamiko makubwa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa hatua na sera zisizo z akibinadamu za utawala wa Kizayuni na hasa mauaji ya kigaidi ya Ismail Haniyeh kiongozi wa kisiasa wa Hamas.