-
Iran: Maafa ya Palestina hayataisha mpaka Marekani na Ulaya zitapoacha kuiunga mkono Israel
Jun 08, 2024 00:38Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Kusimamishwa kikamilifu na kivitendo uungaji mkono wa Marekani na Ulaya kwa utawala wa kibaguzi wa Kizayuni katika mashambulizi yake dhidi ya Ukanda wa Ghaza ndiko kunakoweza kukomesha maafa machungu na ukatili wa kinyama na unaofanywa bila kujali dhidi ya watu huko Palestina.
-
Iran yazitaka nchi za Waislamu kuunganisha nguvu zao kukabiliana na Israel
Jun 07, 2024 02:50Katika mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitizia ulazima wa kuunganishwa nguvu za nchi za Waislamu katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni.
-
Kituo kikubwa zaidi cha anga za mbali Asia Magharibi kuanza kazi 2025 Iran
Jun 06, 2024 23:42Ujenzi wa kituo kikubwa zaidi cha anga za mbali katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) unaendelea vizuri hapa nchini Iran, na kinatazimwa kuanza kazi zake mwaka ujao.
-
Iran yajibu ripoti mpya ya IAEA; Tehran italinda haki zake kwa nguvu zote
Jun 06, 2024 06:25Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu kamwe haitofumbia macho haki zake za nyuklia na itasimama imara kulinda na kutetea haki zake hizo.
-
Iran, China na Russia zazitaka nchi za Magharibi zianze tena kutekeleza makubaliano ya nyuklia
Jun 05, 2024 03:58Iran, China na Russia zimesisitiza kuwa, vifungu vya mkataba wa nyuklia wa JCPOA vingali vina itibari na kuzishauri nchi za Magharibi ambazo zimekwamisha utekelezaji wa mapatano hayo kwa kutochukua hatua na kukhalifu kutekeleza ahadi na majukumu yao, zionyeshe utashi wa kisiasa na kuchukua hatua zinazohitajika ili kuanza kutekeleza tena makubaliano hayo.
-
Zohreh Elahian, mwanamke wa kwanza kujiandikisha kuwania urais Iran 2024
Jun 02, 2024 01:41Mbunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Zohreh Elahian amekuwa mwanamke wa kwanza kujiandikisha kugombea uchaguzi wa mapema wa duru ya 14 ya urais wa Jamhuri ya Kiislamu, kufuatia kufa shahidi Rais Ebrahim Raisi katika ajali ya helikopta.
-
Persepolis yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka Iran
Jun 02, 2024 06:59Klabu ya Persepolis ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka hapa nchini baada ya kuichachafya klabu ya Mes Rafsanjan Jumamosi. Esteqlal imemaliza ya pili baada ya kuisasambua Peykan mabao 2-0.
-
Iran na Saudia zasisitiza kupanua na kustawisha uhusiano wao
May 31, 2024 22:51Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia wamesisitiza kustawishwa uhusiano wa pande mbili katika mazungumzo waliyofanya kwa njia ya simu.
-
Kaimu Rais wa Iran asisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano wa kibiashara wa Iran na Oman
May 28, 2024 00:54Kaimu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja uhusiano wa Iran na Oman kuwa wa kihistoria na wa kidugu na kusema: Iwapo uwezo uliopo utatumika vizuri, maingiliano ya kiuchumi na kibiashara kati ya Iran na Oman yataongezeka hadi mara kadhaa ya kiwango cha sasa.
-
Msemaji: Mazungumzo ya kuondoa vikwazo dhidi ya Iran yanaendelea
May 27, 2024 23:18Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa mazungumzo ya kuondoa vikwazo dhidi ya Tehran yanaendelea.