Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yataka Baraza la Usalama la UN lichunguze mauaji ya Fakhrizadeh

    Iran yataka Baraza la Usalama la UN lichunguze mauaji ya Fakhrizadeh

    Nov 29, 2020 08:50

    Naibu Waziri wa Sheria wa Iran ametoa wito kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuchunguza mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia wa Iran shahidi Mohsen Fakhrizadeh.

  • Malengo ya madai na harakati dhidi ya Iran za pande tatu za Trump, Netanyahu na bin Salman

    Malengo ya madai na harakati dhidi ya Iran za pande tatu za Trump, Netanyahu na bin Salman

    Nov 28, 2020 22:00

    Baada ya kubainika kushindwa Donald Trump katika uchaguzi wa rais nchini Marekani, kumejiri harakati na kutolewa matamshi mbalimbali; na baadhi ya vyombo vya habari vimetangaza juu ya uwezekano wa Marekani na Israel kuishambulia kijeshi Iran.

  • Trump athibitisha kuhusika Mossad katika mauaji ya shahidi Fakhrizadeh

    Trump athibitisha kuhusika Mossad katika mauaji ya shahidi Fakhrizadeh

    Nov 28, 2020 04:16

    Hatua ya rais wa Marekani ya kuusambaza ujumbe ulioandikwa na mwandishi mmoja wa habari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel imethibitisha kwa njia isiyo ya moja kwa moja kuhusika utawala huo katika mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia wa Iran.

  • Foreign Policy: Iran ni imara zaidi ya walivyofikiria Marekani na Israel

    Foreign Policy: Iran ni imara zaidi ya walivyofikiria Marekani na Israel

    Nov 26, 2020 23:14

    Gazeti moja la Marekani limetangaza kuwa, White House na utawala wa Kizayuni wa Israel walikosea katika mahesabu yao kuhusiana na Iran kwani Tehran ni imara zaidi ya walivyodhani viongozi wa Marekani katika siasa zao za kuliweketa taifa la Iran vikwazo vya kiwango cha juu kupindukia.

  • Serikali ya Trump yazidi kutoa vitisho kuhusu uwezekano wa Marekani kurejea katika JCPOA

    Serikali ya Trump yazidi kutoa vitisho kuhusu uwezekano wa Marekani kurejea katika JCPOA

    Nov 26, 2020 22:59

    Mshauri wa Usalama wa Taifa wa serikali ya Donald Trump huko White House ameendelea kutoa vitisho alivyodai ni vya hatari ya Marekani kurejea katika mapatano ya kimataifa ya JCPOA.

  • Sisitizo la Venezuela la kuimarisha uhusiano wa kistratijia na Iran

    Sisitizo la Venezuela la kuimarisha uhusiano wa kistratijia na Iran

    Nov 26, 2020 22:57

    Katika miezi michache iliyopita ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Venezuela umekuwa ukiimarika katika nyanja tofauti.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela asisitiza kuimarishwa uhusiano wa kistratejia na Iran

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela asisitiza kuimarishwa uhusiano wa kistratejia na Iran

    Nov 26, 2020 01:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amesisitiza kuwa serikali za sasa za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Venezuela zimeandaa nyanja za kupanua na kuimarisha uhusiano wao na kwamba nchi yake ina hamu kubwa ya kuimarisha uhusiano wa kistratejia na Iran.

  • Mousavi: Iran ina hamu ya kuona utulivu na amani inatawala katika eneo hili zima

    Mousavi: Iran ina hamu ya kuona utulivu na amani inatawala katika eneo hili zima

    Nov 24, 2020 03:48

    Msemaji wa zamani wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye sasa ni balozi wa Iran nchini Azerbaijan amesema kuwa, Tehran ina hamu ya kuona utulivu na amani ya kudumu inapatikana katika eneo hili zima.

  • Ghalibaf: Vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi huru, ni siasa zilizofeli

    Ghalibaf: Vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi huru, ni siasa zilizofeli

    Nov 23, 2020 22:54

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi huru duniani ni siasa zilizofeli na kuongeza kuwa, vikwazo hivyo vimeimarisha misingi ya uchumi wa kutengemea uwezo wa ndani, nchini Iran.

  • Raisi: Haki za binadamu zinatumiwa kama wenzo wa kuzishinikiza nchi huru duniani

    Raisi: Haki za binadamu zinatumiwa kama wenzo wa kuzishinikiza nchi huru duniani

    Nov 23, 2020 09:46

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran amesema kuwa Canada inakiuka haki za binadamu na ni kimbilio la mafisadi na wahalifu. Ameongeza kuwa nchi mbaimbali duniani zimetambua kwamba haki za binadamu zimetiwa siasa kali na kugeuzwa wenzo wa kuziweka chini ya mashinikizo nchi huru duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS