Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • China yaipongeza Iran kutokana na juhudi zake za kupambana na Corona

    China yaipongeza Iran kutokana na juhudi zake za kupambana na Corona

    Mar 14, 2020 23:00

    Rais Xi Jinping wa China katika ujumbe aliomtumia Rais Hassan Rouhani wa Iran amepongeza juhudi za kibinaadamu za Tehran katika kuwasaidia raia wa nchi yake walioathirika na virusi vya Corona.

  • Majeshi ya Iran kuanza oparesheni ya kuwaondoa watu mitaani katika vita dhidi ya Corona

    Majeshi ya Iran kuanza oparesheni ya kuwaondoa watu mitaani katika vita dhidi ya Corona

    Mar 14, 2020 04:33

    Majeshi ya Iran yanatazamiwa kuanza oparesheni ya kuwaondoa watu mitaani, barabarani na kuhakikisha maduka yanafungwa katika kipindi cha masaa 24 yajayo ikiwa ni katika hatua za kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama corona.

  • Iraq yalaani mashambulizi ya Marekani, yasema ni ukiukaji wa mamlaka ya kujitawala

    Iraq yalaani mashambulizi ya Marekani, yasema ni ukiukaji wa mamlaka ya kujitawala

    Mar 13, 2020 10:21

    Jeshi la Iraq na Ofisi ya Rais wa nchi hiyo zimekosoa vikali mashambulizi mapya ya Marekani nchini humo yaliyoua wanajeshi, askari polisi na raia.

  • Iran yaionya Marekani kwa kutoa madai 'hatari' dhidi yake

    Iran yaionya Marekani kwa kutoa madai 'hatari' dhidi yake

    Mar 13, 2020 09:22

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani inapaswa kuangali upya uwepo wa vikosi vyake vamizi katika eneo la Asia Magharibi badala ya kuibua tuhuma zisizo na msingi wowote dhidi ya mataifa mengine.

  • Mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani dhidi ya Iran wakati wa vita dhidi ya virusi vya corona

    Mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani dhidi ya Iran wakati wa vita dhidi ya virusi vya corona

    Mar 12, 2020 23:19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Madai ya wakuu wa Marekani kuwa kuna njia za kuifikishia Iran dawa ni urongo mtupu."

  • Kingozi Muadhamu aamuru Jeshi la Iran liunde kituo maalumu cha vita dhidi ya Corona

    Kingozi Muadhamu aamuru Jeshi la Iran liunde kituo maalumu cha vita dhidi ya Corona

    Mar 12, 2020 23:09

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Alhamisi usiku alitoa amri kwa Meja Jenerali Mohammad Baqeri Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kutaka kamandi hiyo iunde 'Kituo cha Afya na Matibabu' kwa lengo la kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 ambao ni maarufu kama virusi vya Corona.

  • Bunge la Marekani lapitisha sheria ya kumuwekea Trump vizingiti vya kuanzisha vita dhidi ya Iran

    Bunge la Marekani lapitisha sheria ya kumuwekea Trump vizingiti vya kuanzisha vita dhidi ya Iran

    Mar 12, 2020 07:38

    Hatua za rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Iran katika fremu ya mashinikizo ya juu kabisa, na pia hatua za jinai zake za kigaidi kama ile amri aliyotoa ya kuuawa Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu mnamo Januari 2020 ni hatua ambazo zimeibua wasiwasi mkubwa katika Bunge la Marekani (Congress).

  • Rais wa Senegal ataka kupanuliwa uhusiano wa nchi yake na Iran

    Rais wa Senegal ataka kupanuliwa uhusiano wa nchi yake na Iran

    Mar 11, 2020 03:44

    Rais Macky Sall wa Senegal ametoa mwito wa kuimarishwa uhusiano wa pande mbili wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Watu karibu 3,000 wamepona Corona nchini Iran

    Watu karibu 3,000 wamepona Corona nchini Iran

    Mar 11, 2020 01:11

    Wizara ya Afya ya Iran imetangaza kuwa hadi sasa watu 2,731 waliokuwa wameambukizwa ugonjwa wa COVID-19, maarufu kama Corona, nchini Iran wamepona na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya kupokea matibabu hospitalini.

  • Wanafunzi wa Iran walaani mauaji ya Waislamu nchini India

    Wanafunzi wa Iran walaani mauaji ya Waislamu nchini India

    Mar 10, 2020 04:49

    Vyama vya Kiislamu vya Wanafunzi wa Iran vimelaani vikali mauaji na hujuma za kinyama wanazofanyiwa Waislamu nchini India.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS