Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • "Iran ni mpiganiaji mkubwa wa umoja wa nchi za Kiislamu"

    Apr 28, 2019 11:37

    Mtaalamu mmoja wa ulimwengu wa Kiislamu kutoka Nigeria amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima iko mstari wa mbele katika kupigania umoja na mshikamano baina ya nchi za Kiislamu.

  • Kongamano la Mustakabali wa Ulimwengu wa Kiislamu laanza Tehran

    Kongamano la Mustakabali wa Ulimwengu wa Kiislamu laanza Tehran

    Apr 28, 2019 02:40

    Kongamano la Mustakabali wa Ulimwengu wa Kiislamu katika Dira ya Mwaka 2035 limeng'oa nanga hii leo hapa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran, kwa kuwaleta pamoja wanazuoni na wajumbe kutoka nchi mbalimbali duniani.

  • Kudumishwa ushirikiano mzuri wa Iran na Russia kinyume na matakwa ya Marekani

    Kudumishwa ushirikiano mzuri wa Iran na Russia kinyume na matakwa ya Marekani

    Apr 26, 2019 05:49

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kwamba serikali za Tehran na Moscow zinahujumiwa na Marekani kutokana na nafasi yao huru.

  • Waziri wa Mafuta wa Nigeria: Mauzo ya mafuta ya Iran hayawezi kufikia kiwango cha sifuri

    Waziri wa Mafuta wa Nigeria: Mauzo ya mafuta ya Iran hayawezi kufikia kiwango cha sifuri

    Apr 26, 2019 03:42

    Waziri wa Mafuta wa Nigeria ametoa radiamali kufuatia uamuzi wa Marekani wa kufuta kibali cha ununuzi wa mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kuwa, ni jambo lisilowezekana kufikisha mauzo ya mafuta ya Iran kwenye kiwango cha sifuri.

  • Siasa za upande mmoja za Trump; hatari kubwa kwa 'udiplomasia wa amani'

    Siasa za upande mmoja za Trump; hatari kubwa kwa 'udiplomasia wa amani'

    Apr 26, 2019 03:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu amesema kwamba ili kulinda siasa za pande kadhaa, dunia inapasa kufanya juhudi za kuizuia Marekani kufikia maslahi yake inayoyafuatilia kwa njia zisizo za kisheria.

  • Iran yatoa onyo kwa Saudia na Bahrain zisimfuate kibubusa Trump

    Iran yatoa onyo kwa Saudia na Bahrain zisimfuate kibubusa Trump

    Apr 25, 2019 09:40

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa onyo kwa tawala za kiimla za Saudi Arabia na Bahrain zisimfuate kibubusa rais wa Marekani Donald Trump katika vikwazo vyake vya mafuta dhidi ya Iran na kuzitaka zifikirie matokeo mabaya ya hatua yao hiyo.

  • Zarif: Iran ina Shahada ya Uzamivu (PhD) ya kukabiliana na vikwazo

    Zarif: Iran ina Shahada ya Uzamivu (PhD) ya kukabiliana na vikwazo

    Apr 25, 2019 03:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Mohammad Javad Zarif amesema Jamhuri ya Kiislamu haitasimamisha uuzaji wa mafuta yake nje ya nchi licha ya vikwazo vipya vya Marekani, na kusisitiza kuwa taifa hili lina Shahada ya Uzamivu (PhD) katika kupambana na vikwazo.

  • Associated Press: Washington kuchunguza upya kibali cha ununuzi wa mafuta ya Iran

    Associated Press: Washington kuchunguza upya kibali cha ununuzi wa mafuta ya Iran

    Apr 25, 2019 02:57

    Shirika la Habari la Associated Press limetangaza kulegeza msimamo kwa mara nyingine serikali ya Marekani kwa lengo la kuchunguza hatua ya kutoa kibali kipya kwa wanunuzi wa mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Reuters: Hatua ya serikali ya Trump dhidi ya Iran, imewatumbukiza raia wa Kimarekani katika matatizo makubwa

    Reuters: Hatua ya serikali ya Trump dhidi ya Iran, imewatumbukiza raia wa Kimarekani katika matatizo makubwa

    Apr 24, 2019 09:49

    Shirika la Habari la Reuters limeandika kuwa hatua ya serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kutorefusha kibali kwa wanunuzi wa mafuta ya Iran, imepelekea kupanda kwa bei ya mafuta na kuibuka changamoto kubwa kwa raia wenyewe wa Marekani.

  • Wasiwasi wa Marekani kuhusu matokeo hasi ya vikwazo dhidi ya mafuta ya Iran

    Wasiwasi wa Marekani kuhusu matokeo hasi ya vikwazo dhidi ya mafuta ya Iran

    Apr 24, 2019 02:54

    Kutokana na wasiwasi wake wa uwezekano wa kufungwa lango bahari la Hormoz katika Ghuba ya Uajemi, serikali ya Marekani imetaka kutolewa dhamana ya kupita salama meli zinazobeba nishati ya mafuta katika lango hilo na la Bab al-Mandab katika Bahari ya Sham.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS