-
Iran yakanusha vikali madai ya kudukua simu za Wazayuni
Mar 20, 2019 04:15Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha vikali madai ya utawala haramu wa Israel kwamba Tehran imedukua mawasiliano ya simu ya maafisa wa Kizayuni.
-
Rais wa Austria: Ulaya isikubali kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Trump kuhusu Iran
Mar 19, 2019 12:25Rais Alexander Van der Bellen wa Austria amelaani hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia na Iran yaliyofikiwa mwaka 2015 na vitisho alivyotoa vya kuyawekea vikwazo mashirika na makampuni yanayofanya biashara na Tehran, na kusisitiza kuwa nchi za Ulaya zisikubali kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Trump.
-
Rais Rouhani asisitiza kufuatiliwa kisheria viongozi wa Marekani kwa sababu ya jinai za vikwazo dhidi ya Iran
Mar 18, 2019 04:26Rais Hassan Rouhani amesisitiza kufuatiliwa kisheria na kufunguliwa mashtaka viongozi wa Marekani na wapangaji wa vikwazo dhidi ya Iran kutokana na jinai zao dhidi ya binadamu.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq: Marekani haina ruhusa ya kutumia ardhi ya Iraq dhidi ya Iran
Mar 17, 2019 21:50Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq amesisitiza kuwa, Marekani haina ruhusu ya kuzichukulia hatua nchi jirani hususan Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kupitia ardhi ya Iraq.
-
Marekani yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, mara hii ni kwa kisingizio cha haki za binadamu
Mar 15, 2019 12:58Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetoa ripoti yake ya kila mwaka kuhusu hali ya haki za binadamu katika nchi mbalimbali na kwa mara nyingine tena imedai kuwa, hali ya haki za binadamu nchini Iran imekuwa mbaya zaidi.
-
Iran yaungana na dunia kulaani mashambulizi ya kigaidi dhidi ya misikiti New Zealand
Mar 15, 2019 12:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani mashambulio ya kigaidi yaliyofanywa dhidi ya misikiti miwili katika mji wa Christchurch nchini New Zealand, amezitaka nchi za Magharibi kuacha unafiki wa kuunga mkono propaganda chafu dhidi ya Waislamu kwa kisingizio cha 'uhuru wa kujieleza'.
-
Ayatullah Kashani: Taifa la Iran halitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya maadui
Mar 15, 2019 12:17Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema maadui wamekuwa wakitumia njama mbalimbali kama za kiuchumi, kisiasa, kijamii na kiutamaduni ili kutoa pigo kwa mfumo wa Kiislamu unaotawala hapa nchini Iran, lakini amesisitiza kuwa, katu taifa kubwa la Iran haliwezi kusalimu amri mbele ya mashinikizo ya maadui.
-
Iran yapiga marufuku ndege za Boeing 737 Max kuruka katika anga yake
Mar 15, 2019 12:13Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepiga marufuku ndege ya Marekani aina ya Boeing 737 Max kutumia anga yake kufuatia kuanguka ndege mpya ya aina hiyo ya Shirika la Ndege la Ethiopia hivi karibuni.
-
Iran: Marekani inatumia tuhuma bandia ili kupanua soko la silaha zake
Mar 14, 2019 21:47Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lengo la Marekani kuibua tuhuma zisizo na msingi na kueneza chuki dhidi ya Iran ni kupanua soko la silaha zake katika eneo la Asia Magharibi.
-
Kumalizaka mazungumzo ya siku tatu ya Sheikhe mwanadiplomasia nchini Iraq
Mar 14, 2019 07:56Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatano alihitimisha mazungumzo yake na viongozi wa Iraq katika safari yake ya siku tatu nchini humo kwa kufika mji mtakatifu wa Najaf na kufanya mazungumzo na Ayatullah Sistani, marjaa taqlid wa Waislamu wa madhehebu ya Shia.