Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yakanusha vikali madai ya kudukua simu za Wazayuni

    Iran yakanusha vikali madai ya kudukua simu za Wazayuni

    Mar 20, 2019 04:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha vikali madai ya utawala haramu wa Israel kwamba Tehran imedukua mawasiliano ya simu ya maafisa wa Kizayuni.

  • Rais wa Austria: Ulaya isikubali kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Trump kuhusu Iran

    Rais wa Austria: Ulaya isikubali kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Trump kuhusu Iran

    Mar 19, 2019 12:25

    Rais Alexander Van der Bellen wa Austria amelaani hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia na Iran yaliyofikiwa mwaka 2015 na vitisho alivyotoa vya kuyawekea vikwazo mashirika na makampuni yanayofanya biashara na Tehran, na kusisitiza kuwa nchi za Ulaya zisikubali kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Trump.

  • Rais Rouhani asisitiza kufuatiliwa kisheria viongozi wa Marekani kwa sababu ya jinai za vikwazo dhidi ya Iran

    Rais Rouhani asisitiza kufuatiliwa kisheria viongozi wa Marekani kwa sababu ya jinai za vikwazo dhidi ya Iran

    Mar 18, 2019 04:26

    Rais Hassan Rouhani amesisitiza kufuatiliwa kisheria na kufunguliwa mashtaka viongozi wa Marekani na wapangaji wa vikwazo dhidi ya Iran kutokana na jinai zao dhidi ya binadamu.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq: Marekani haina ruhusa ya kutumia ardhi ya Iraq dhidi ya Iran

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq: Marekani haina ruhusa ya kutumia ardhi ya Iraq dhidi ya Iran

    Mar 17, 2019 21:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq amesisitiza kuwa, Marekani haina ruhusu ya kuzichukulia hatua nchi jirani hususan Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kupitia ardhi ya Iraq.

  • Marekani yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, mara hii ni kwa kisingizio cha haki za binadamu

    Marekani yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, mara hii ni kwa kisingizio cha haki za binadamu

    Mar 15, 2019 12:58

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetoa ripoti yake ya kila mwaka kuhusu hali ya haki za binadamu katika nchi mbalimbali na kwa mara nyingine tena imedai kuwa, hali ya haki za binadamu nchini Iran imekuwa mbaya zaidi.

  • Iran yaungana na dunia kulaani mashambulizi ya kigaidi dhidi ya misikiti New Zealand

    Iran yaungana na dunia kulaani mashambulizi ya kigaidi dhidi ya misikiti New Zealand

    Mar 15, 2019 12:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani mashambulio ya kigaidi yaliyofanywa dhidi ya misikiti miwili katika mji wa Christchurch nchini New Zealand, amezitaka nchi za Magharibi kuacha unafiki wa kuunga mkono propaganda chafu dhidi ya Waislamu kwa kisingizio cha 'uhuru wa kujieleza'.

  • Ayatullah Kashani: Taifa la Iran halitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya maadui

    Ayatullah Kashani: Taifa la Iran halitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya maadui

    Mar 15, 2019 12:17

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema maadui wamekuwa wakitumia njama mbalimbali kama za kiuchumi, kisiasa, kijamii na kiutamaduni ili kutoa pigo kwa mfumo wa Kiislamu unaotawala hapa nchini Iran, lakini amesisitiza kuwa, katu taifa kubwa la Iran haliwezi kusalimu amri mbele ya mashinikizo ya maadui.

  • Iran yapiga marufuku ndege za Boeing 737 Max kuruka katika anga yake

    Iran yapiga marufuku ndege za Boeing 737 Max kuruka katika anga yake

    Mar 15, 2019 12:13

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepiga marufuku ndege ya Marekani aina ya Boeing 737 Max kutumia anga yake kufuatia kuanguka ndege mpya ya aina hiyo ya Shirika la Ndege la Ethiopia hivi karibuni.

  • Iran: Marekani inatumia tuhuma bandia ili kupanua soko la silaha zake

    Iran: Marekani inatumia tuhuma bandia ili kupanua soko la silaha zake

    Mar 14, 2019 21:47

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lengo la Marekani kuibua tuhuma zisizo na msingi na kueneza chuki dhidi ya Iran ni kupanua soko la silaha zake katika eneo la Asia Magharibi.

  • Kumalizaka mazungumzo ya siku tatu ya Sheikhe mwanadiplomasia nchini Iraq

    Kumalizaka mazungumzo ya siku tatu ya Sheikhe mwanadiplomasia nchini Iraq

    Mar 14, 2019 07:56

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatano alihitimisha mazungumzo yake na viongozi wa Iraq katika safari yake ya siku tatu nchini humo kwa kufika mji mtakatifu wa Najaf na kufanya mazungumzo na Ayatullah Sistani, marjaa taqlid wa Waislamu wa madhehebu ya Shia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS