Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Balozi wa Iran UN: Israel itawajibishwa kwa mauaji ya makusudi ya watoto Wairan

    Balozi wa Iran UN: Israel itawajibishwa kwa mauaji ya makusudi ya watoto Wairan

    Jun 28, 2025 02:53

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa Amir Saeid Iravani amelaani sera ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuua watoto makusudi katika inavyoanzisha katika kanda ya Asia Magharibi na kusisitiza kuwa utawala huo haramu utawajibishwa kwa jinai zake hizo za kuua watoto wadogo.

  • Katibu Mkuu wa Hizbullah: Iran ndiye mshindi wa Vita vya Siku 12

    Katibu Mkuu wa Hizbullah: Iran ndiye mshindi wa Vita vya Siku 12

    Jun 28, 2025 02:49

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, Iran ndiye mshindi wa makabiliano baina yake na adui mzayuni.

  • Watumiaji wa kigeni wa mitandao ya kijamii: Grossi ni kikaragosi cha Mossad dhidi ya Iran

    Watumiaji wa kigeni wa mitandao ya kijamii: Grossi ni kikaragosi cha Mossad dhidi ya Iran

    Jun 28, 2025 02:44

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) Rafael Grossi ameshambuliwa vikali na watumiaji wa kigeni wa mitandao ya kijamii kwa kushirikiana na Marekani na utawala haramu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hasa baada ya kutaka kuruhusiwa maafisa wa shirika hilo kuingia Iran na kukagua miradi ya nishati ya nyuklia iliyoshambuliwa na Marekani.

  • Ayatullah Khamenei: Utawala wa Kizayuni nusura kusambaratika kabisa kufuatia mapigo makali ya jeshi la Iran

    Ayatullah Khamenei: Utawala wa Kizayuni nusura kusambaratika kabisa kufuatia mapigo makali ya jeshi la Iran

    Jun 26, 2025 12:35

    Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ametoa ujumbe wa tatu kupitia televisheni ya taifa kwa wananchi wa Iran akiwashukuru na kuwapongeza kwa msimao wao wa kutetea na kuunga mkono kwa dhati mfumo wa Mapinduzi ya Kiislamu, hasa baada ya kushambuliwa na utawala haramu wa Israel kwa uungaji mkono na msaada wa moja kwa moja wa Marekani.

  • Washington yakasirishwa na kufichuliwa ripoti ya siri ya uongo wa Trump kuhusu Iran

    Washington yakasirishwa na kufichuliwa ripoti ya siri ya uongo wa Trump kuhusu Iran

    Jun 26, 2025 12:28

    Kufichuliwa ripoti ya siri kuhusu kufeli mashambulizi ya Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran kumewakasirisha maafisa wa serikali ya Washington.

  • Baqaei: Iran ina haki ya kustafidi na nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani kwa mujibu wa NPT

    Baqaei: Iran ina haki ya kustafidi na nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani kwa mujibu wa NPT

    Jun 26, 2025 12:23

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza kuwa kwa mujibu wa mkabata wa NPT na kifungu cha 4 cha mkataba huo, Iran ina haki kamili ya kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani, na imeazimia kudumisha haki hiyo kwa hali yoyote ile.

  • Waislamu wa Nigeria washerehekea ushindi wa Iran dhidi ya Marekani na Israel

    Waislamu wa Nigeria washerehekea ushindi wa Iran dhidi ya Marekani na Israel

    Jun 25, 2025 05:27

    Waislamu nchini Nigeria wamesherehekea ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya Marekani na utawala haramu wa Israel baada ya vita kati ya Iran na Isreal kusitishwa baada ya kudumu kwa siku 12.

  • BRICS: Mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni ukiukaji wa sheria za kimataifa

    BRICS: Mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni ukiukaji wa sheria za kimataifa

    Jun 25, 2025 04:13

    Nchi wanachama wa kundi la BRICS zimelaani mashambulizi ya Marekani na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Iran na kuzitaja  hatua hizo za kijeshi kuwa ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na mkataba wa Umoja wa Mataifa.

  • Rais wa Iran: Hatukuanzisha vita sisi, lakini tutatoa jibu kali kwa uvamizi wa Israel

    Rais wa Iran: Hatukuanzisha vita sisi, lakini tutatoa jibu kali kwa uvamizi wa Israel

    Jun 22, 2025 11:43

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran haikuanzisha vita lakini itatoa jibu kali kwa uvamizi wa utawala haramu wa Israel dhidi yake.

  • Operesheni ya kijeshi ya Iran ya Ahadi ya Kweli-3 yasababisha uharibifu mkubwa Tel Aviv na Haifa

    Operesheni ya kijeshi ya Iran ya Ahadi ya Kweli-3 yasababisha uharibifu mkubwa Tel Aviv na Haifa

    Jun 22, 2025 11:33

    Wimbi jipya la mashambulio ya makombora ya Iran ya operesheni ya Ahadi ya Kweli-3 limesababisha uharibifu mkubwa katika miji ya Tel Aviv na Haifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS