Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • IRGC: Uhusiano wa kina kati ya serikali, wananchi na vikosi vya ulinzi ni dhamana ya Iran yenye nguvu

    IRGC: Uhusiano wa kina kati ya serikali, wananchi na vikosi vya ulinzi ni dhamana ya Iran yenye nguvu

    Aug 24, 2025 07:25

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limeashiria umuhimu wa uhusiano wa kina uliopo kati ya serikali, taifa na vikosi vya ulinzi likiutaja kuwa muhimu kwa ajili ya kuwa na nchi yenye nguvu na iliyoendelea. Jeshi la IRGC aidha limesisitiza dhamira yake ya kuimarisha uwezo wa kiulinzi na usalama kwa kuzingatia vitisho vilivyopo.

  • Iran: Tutatumia zana mpya iwapo adui ataanzisha tena uchokozi

    Iran: Tutatumia zana mpya iwapo adui ataanzisha tena uchokozi

    Aug 23, 2025 03:33

    Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh amesisitiza kuwa, iwapo maadui watafanya uchokozi mwingine dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, bila shaka majeshi ya nchi hii yatatumia vifaa, silaha na zana za kijeshi ambazo hazijawahi kutumiwa kufikia sasa.

  • Iran yaionya Ulaya juu ya matokeo mabaya ya kuamilisha 'snapback'

    Iran yaionya Ulaya juu ya matokeo mabaya ya kuamilisha 'snapback'

    Aug 23, 2025 02:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi ameionya Ulaya juu ya matokeo mabaya ya kuamilisha "utaratibu wa snapback", akisisitiza kwamba Troika ya Ulaya (Uingereza, Ufaransa, na Ujerumani) pamoja na Umoja wa Ulaya hazina haki ya kisheria na ya kimaadili ya kutumia utaratibu huo.

  • Mkuu wa Jeshi: Iran itatoa 'jibu kali la kusagasaga zaidi' kwa uchokozi wowote mpya wa adui

    Mkuu wa Jeshi: Iran itatoa 'jibu kali la kusagasaga zaidi' kwa uchokozi wowote mpya wa adui

    Aug 22, 2025 08:20

    Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu Iran Meja Jenerali Amir Hatami amesisitiza kuwa Vikosi vya Ulinzi vimejiweka tayari kutoa jibu kwa wavamizi ambalo ni la "kusagasaga zaidi" kuliko lile lililoonekana wakati wa uchokozi uliofanywa na utawala haramu wa kizayuni wa Israel na Marekani dhidi ya taifa hili.

  • Pezeshkian: Iran, Belarus zimesimama kidete kukabiliana na ubeberu wa US

    Pezeshkian: Iran, Belarus zimesimama kidete kukabiliana na ubeberu wa US

    Aug 20, 2025 09:03

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema Marekani na baadhi ya washirika wake wa Magharibi wanalenga kupanua ubeberu na msimamo wa upande mmoja duniani kote, sambamba na kuyaburuza mataifa mengine, akisisitiza kwamba si Iran wala Belarus itavumilia muenendo huo.

  • Komandi ya jeshi ya ngazi ya juu ya Iran: Vikosi vya ulinzi viko tayari kuzima vitisho vyovyote

    Komandi ya jeshi ya ngazi ya juu ya Iran: Vikosi vya ulinzi viko tayari kuzima vitisho vyovyote

    Aug 20, 2025 08:43

    Kamandi ya jeshi ya ngazi ya juu ya Iran imesisitiza utayarifu kamili wa jeshi la nchi hii katika kupambana na vitendo vyovyote vya uchokozi vinavyoweza kufanywa na maadui dhidi ya ardhi ya Iran.

  • Iran na Armenia zatia saini hati 10 za maelewano wakati wa ziara muhimu ya Pezeshkian

    Iran na Armenia zatia saini hati 10 za maelewano wakati wa ziara muhimu ya Pezeshkian

    Aug 19, 2025 08:06

    Iran na Armenia zimetia saini hati 10 za maelewano kuhusu ushirikiano wa nchi hizo katika nyanja zote wakati wa ziara muhimu ya kiserikali ya Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huko Armenia. Lengo la ziara hiyo limetajwa kuwa ni kuimarisha uhusiano kati ya nchi mbili.

  • Ripota wa UN: HAMAS ni taasisi ya kisiasa iliyochaguliwa kupitia uchaguzi, si genge la wauaji

    Ripota wa UN: HAMAS ni taasisi ya kisiasa iliyochaguliwa kupitia uchaguzi, si genge la wauaji

    Aug 19, 2025 03:05

    Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, amesisitiza kwamba Hamas inapasa itambuliwe kama harakati halali ya kisiasa badala ya kundi la wauaji.

  • Naibu kamanda wa IRGC: Israel ilikwenda kombo katika hesabu zake katika vita vya siku 12 dhidi ya Iran

    Naibu kamanda wa IRGC: Israel ilikwenda kombo katika hesabu zake katika vita vya siku 12 dhidi ya Iran

    Aug 18, 2025 23:27

    Naibu Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa Israel ilifanya mahesabu ghalati katika vita vya sku 12 ilivyovianzisha dhidi ya Iran licha ya kwamba utawala huo ulitumia nguvu kamili dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran yaonya: Israel itajitanua zaidi Asia Magharibi iwapo haitadhibitiwa

    Iran yaonya: Israel itajitanua zaidi Asia Magharibi iwapo haitadhibitiwa

    Aug 18, 2025 07:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran, Esmaeil Baqaei amesema Israel ni tishio kwa usalama na uthabiti wa Asia Magharibi kutokana na mwenendo wake wake kupenda kujitanua, akionya kuwa eneo hili la kistratejia linaweza kukabiliwa na vita visivyoisha ikiwa utawala huo hautazuiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS