Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Rais Raisi alakiwa rasmi na Rais Yoweri Museveni wa Uganda Ikulu ya Entebe

    Rais Raisi alakiwa rasmi na Rais Yoweri Museveni wa Uganda Ikulu ya Entebe

    Jul 12, 2023 12:08

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili nchini Uganda akiendelea na ziara yake ya kieneo barani Afrika ambapo amelakiwa na kukaribishwa rasmi na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa nchi hiyo katika Ikulu ya Entebe.

  • Kenya, kituo cha kwanza cha safari ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran barani Afrika

    Kenya, kituo cha kwanza cha safari ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran barani Afrika

    Jul 12, 2023 07:37

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema leo Jumatano amewasili Nairobi mji mkuu wa Kenya akiongoza ujumbe wa ngazi za juu, akiwa katika ziara ya kuzitembelea nchi tatu za Kenya, Uganda na Zimbabwe.

  • Iran na Kenya zaazimia kuimarisha ushirikiano katika sekta mbali mbali

    Iran na Kenya zaazimia kuimarisha ushirikiano katika sekta mbali mbali

    Jul 12, 2023 07:18

    Marais William Ruto wa Kenya na Ebrahim Raisi wa Iran wamesisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika sekta mbali mbali. Hayo yamebainika katika hotuba za marais hao leo mjini Nairobi baada ya mazungumzo.

  • Iran na Kenya zatiliana saini hati tano za ushirikiano

    Iran na Kenya zatiliana saini hati tano za ushirikiano

    Jul 12, 2023 03:54

    Iran na Kenya zimetiliana saini hati tano za ushirikiano katika nyuga tofauti za mawasiliano, uvuvi, kilimo, afya na elimu ya ufundi, maarifa na matibabu.

  • Video: Rais Raisi apokewa rasmi na Rais William Ruto wa Kenya katika ziara ya kuzitembelea Kenya, Uganda na Zimbabwe

    Video: Rais Raisi apokewa rasmi na Rais William Ruto wa Kenya katika ziara ya kuzitembelea Kenya, Uganda na Zimbabwe

    Jul 12, 2023 01:19

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema leo alfajiri amewasili jijini Nairobi na kuanza ziara rasmi ya kuzitembelea nchi tatu za Afrika za Kenya, Uganda na Zimbabwe.

  • Rais Raisi aanza safari za kuzitembelea nchi tatu za Afrika za Kenya, Uganda na Zimbabwe

    Rais Raisi aanza safari za kuzitembelea nchi tatu za Afrika za Kenya, Uganda na Zimbabwe

    Jul 11, 2023 23:40

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameanza ziara rasmi ya kuzitembelea nchi tatu za Afrika za Kenya, Uganda na Zimbabwe.

  • Wanadiplomasia: Iran na Misri zimefikia hatua nzuri ya kukurubisha mitazamo yao na kurejesha uhusiano

    Wanadiplomasia: Iran na Misri zimefikia hatua nzuri ya kukurubisha mitazamo yao na kurejesha uhusiano

    Jul 11, 2023 05:30

    Tovuti ya habari ya Al-Arabi Al-Jadeed leo Jumanne imewanukuu wanadiplomasia wa Misri wakisema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Misri zimefikia hatua nzuri ya kukurubisha pamoja mitazamo yao hususan katika masuala yanayohusiana na maeneo yao.

  • Magazeti ya Afrika Mashariki yaakisi safari ya Rais wa Iran katika nchi za Afrika

    Magazeti ya Afrika Mashariki yaakisi safari ya Rais wa Iran katika nchi za Afrika

    Jul 11, 2023 04:50

    Magazeti na vyombo vingine vya habari vya nchi za Afrika Mashariki vimeakisi kwa mapana safari ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye leo Jumanne anatazamiwa kuondoka nchini kuelekea barani Afrika kwa ziara ya siku tatu ya kuzitembelea nchi za Kenya, Uganda na Zimbabwe.

  • Safari ya Rais wa Iran huko Kenya, Uganda na Zimbabwe inalenga kuimarisha uhusiano na Afrika

    Safari ya Rais wa Iran huko Kenya, Uganda na Zimbabwe inalenga kuimarisha uhusiano na Afrika

    Jul 11, 2023 01:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ziara ya Rais Ebrahim Raisi wa Iran katika nchi tatu za Kenya, Uganda na Zimbabwe ni muendelezo wa sera za serikali za kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika.

  • Safari ya kwanza ya Rais wa Iran barani Afrika baada ya miaka 11

    Safari ya kwanza ya Rais wa Iran barani Afrika baada ya miaka 11

    Jul 10, 2023 22:56

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumanne ya leo ameondoka nchini kuelekea barani Afrika kwa ziara ya siku tatu ya kuzitembelea nchi za Kenya, Uganda na Zimbabwe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS