-
Sisitizo la Iran katika kuimarisha uhusiano na Tanzania
Aug 24, 2022 22:46Hossein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliwasili nchini Tanzania Jumatano usiku na kusema kwamba kunatayarishwa ramani ya njia kuhusiana na kuimarisha uhusiano wa Iran na Tanzania ili mchakato huo uchukue mkondo wa kasi.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Tanzania akitokea nchini Mali
Aug 24, 2022 10:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Jumatano ameelekea nchini Tanzania baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi katika nchi ya Mali ya Magharibi mwa Afrika.
-
Iran yapongeza juhudi za nchi ya Mali za kupambana na makundi ya Kigaidi
Aug 24, 2022 03:35Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliyeko safarini Bamako mji mkuu wa Mali ameipongeza nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika kwa juhudi zake kubwa za kupambana na makundi ya kigaidi.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran awasali nchini Mali na kuonana na wenyeji wake
Aug 23, 2022 06:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anaendelea na ziara yake ya kuzitembelea nchi za Afrika na tayari ameanza mazungumzo na viongozi wa Mali akiwemo Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Safari ya kwanza ya Amir-Abdollahian barani Afrika; azma ya Iran ya kupanua uhusiano
Aug 23, 2022 04:46Hussein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatatu ya jana aliondoka hapa mjini Tehran na kuelekea Bamako mji mkuu wa Mali, hii ikiwa ni safarii yake ya kwanza barani Afrika tangu alipoteuliwa kuchukua wadhifa huo.
-
Iran na Afrika Kusini zalaani jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Ghaza
Aug 07, 2022 02:50Iran na Afrika Kusini zimelaani vikali jinai za kinyama zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Ukanda wa Ghaza huko Palestina.
-
Kustawisha mabadilishano ya kibiashara na nchi za Kiafrika ni katika vipaumbele vya Iran
Aug 06, 2022 07:03Hamid Forozan Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kimataifa wa Wizara ya Ushirikiano, Kazi na Ustawi wa Jamii ya Iran amesisitiza kuwa, uwezo wa nchi za Kiafrika umeandaa msingi mzuri wa kustawisha biashara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mjukuu wa Mandela: Mapinduzi ya Kiislamu yameipa ilhamu Afrika Kusini
Aug 03, 2022 08:02Mjukuu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yanatoa ilhamu na motisha kwa taifa hilo la kusini mwa Afrika.
-
Rais, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuitembelea Afrika Kusini karibuni
Aug 02, 2022 22:02Balozi wa Afrika Kusini mjini Tehran amesema Rais Ebrahim Raisi wa Iran na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hii, Hossein Amir-Abdollahian wanatazamiwa kufanya ziara ya kuitembelea Afrika Kusini karibuni.
-
Mabadilishano ya kibiashara baina ya Iran na Tanzania yameongezeka kwa 120%
Jul 02, 2022 07:19Balozi mdogo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania amesema, mabadilishano ya kibiashara kati ya nchi hizo mbili katika mwaka uliopita yaliongezeka kwa asilimia 120.