-
Pezeshkian: Kuimarisha mshikamano wa nchi za Kiislamu ni jambo la msingi katika kudumisha utulivu
Aug 26, 2026 03:33Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kwamba maadui, wenye tamaa ya utajiri na rasilimali za eneo la Magharibi mwa Asia, wanataka kuibua hitilafu, vita na migogoro ili kunyakua utajiri huo, na njia pekee ya kukabiliana nao ni kudumisha umakini na umoja miongoni mwa mataifa ya Waislamu.
-
Lengo la Marekani ni kupora rasilimali za eneo, Qalibaf amwambia Rais wa Iraq
Aug 21, 2026 06:10Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa uwepo wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi unasukumwa na shauku ya kupora rasilimali za eneo hilo.
-
Kiongozi wa muqawama ataka kuhitimishwa udhibiti wa moja kwa moja wa kifedha wa Marekani kwa Iraq
Aug 16, 2026 09:31Katibu Mkuu wa kundi la muqawama la Iraq la Kata’ib Sayyid al-Shuhada amekosoa vikali udhibiti wa moja kwa moja wa Marekani wa fedha na uchumi na mali za Iraq na kutaka kutafutwa masoko mbalimbali ya mauzo ya nje, kuimarisha uhusiano wa kibenki na kuhitimisha kivitendo udhibiti wa kifedha wa Washington kwa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Mazuwari zaidi ya milioni nne wameingia Iraq tangu Muharram hadi sasa
Aug 02, 2026 03:27Mkuu wa Idara ya habari ya masuala ya usalama wa Iraq ametangaza kuwa wafanyaziara zaidi ya milioni nne wa kigeni wamewasili nchini humo tangu mwanzo wa mwezi wa Muharram, na kwamba zoezi la upokeaji mazuwari wanaokwenda kushiriki kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein AS lingali unaendelea.
-
Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani si mchezaji mkuu tena Asia Magharibi
Jul 31, 2026 10:58Imamu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran, amesema Marekani si mchezaji mkuu tena katika eneo la Magharibi mwa Asia, akisisitiza kwamba: "Leo, kwa hatua za Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi na mapambano yanayotokana na maarifa na imani ya wapiganaji wa Jeshi la Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefikia kiwango cha juu cha kujilinda ambacho kinamfanya adui asiwezi kuanza chochoko ya aina yoyote bila kupata jibu linalofaa."
-
Al-Nujaba ya Iraq yazionya US na Saudia: Shambulio lenu 'mtalilipia gharama kubwa'
Jul 31, 2026 03:27Harakat ya Hizbullah al-Nujaba ya Iraq imeonya kwamba maslahi ya Marekani na Saudi Arabia "yatalipa gharama kubwa" baada ya mashambulizi ya pamoja ya anga ya nchi hizo kulenga maeneo ya harakati hiyo ya Muqawama katika mikoa kadhaa ya Iraq usiku wa kuamkia jana, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine wengi.
-
Al-Nujaba ya Iraq yazionya US na Saudia: Shambulio lenu 'mtalilipia gharama kubwa'
Jul 30, 2026 11:05Harakat ya Hizbullah al-Nujaba ya Iraq imeonya kwamba maslahi ya Marekani na Saudi Arabia "yatalipa gharama kubwa" baada ya mashambulizi ya pamoja ya anga ya nchi hizo kulenga maeneo ya harakati hiyo ya Muqawama katika mikoa kadhaa ya Iraq usiku wa kuamkia jana, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine wengi.
-
Muqawama wa Kiislamu Iraq: Hatua yoyote ya kipumbavu ya Saudia itakabiliwa na jibu la haraka
Jul 28, 2026 03:55Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Iraq imeuonya utawala wa kifalme wa Saudi Arabia kwamba hatua yoyote ya kipumbavu itakayochukuliwa na Riyadh itakabiliwa na jibu kali litakaloulamisha kujutia maamuzi yake.
-
Viongozi wa Iran na Iraq wasisitiza kuimarisha mahusiano ya kimkakati
Jul 23, 2026 11:49Viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq wamesisitiza juu ya mafungamano marefu ya kihistoria, kiutamaduni, kidini, na ya kijamii yaliyopo baina ya nchi hizo mbili, wakibainisha ulazima wa kuhifadhi na kuimarisha rasilimali hii yenye thamani kuu kama nguzo imara ya kutanua ushirikiano wa kimkakati.
-
Mamilioni wamuaga Kiongozi Shahidi Ayatullah Khamenei katika miji ya Najaf na Karbala nchini Iraq
Jul 08, 2026 14:19Mamilioni ya waombolezaji leo Jumatano walikusanyika katika miji mitakatifu ya Najaf na Karbala nchini Iraq kwa ajili ya kuaga na kutoa heshima zao za mwisho kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei na familia yake waliouliwa shahidi katika mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.