-
Ayatullah Sistani: Papa Francis alikuwa na hadhi ya juu kiroho mbele ya mataifa mengi
Apr 22, 2025 08:47Kiongozi Mkuu wa kidini wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali Sistani amesema, Papa Francis alikuwa na hadhi ya juu kiroho mbele ya mataifa mengi kutokana na mchango wake wa kipekee katika kuhimiza amani na kuvumiliana pamoja na kuonyesha mshikamano na watu wanaodhulumiwa duniani.
-
Muqawama Iraq: Huenda kongozi wa Hayat Tahrir al-Sham ya Syria akamatwa akija Baghdad
Apr 21, 2025 02:25Kiongozi wa kundi la Muqawama na kupambana na ugaidi la Asa’ib Ahl al-Haq nchini Iraq ameonya kwamba, anayejiita rais wa Syria Abu Mohammed al-Jolani anaweza kukamatwa atakapowasili Baghdad, kutokana na kuwepo hati ya kukamatwa kwake.
-
Iraq: Tuna hamu ya kushirikiana na Iran kuimarisha utulivu wa kieneo
Apr 12, 2025 02:20Rais wa Iraq, Abdul Latif Rashid ametangaza utayarifu wa nchi yake wa kufanya kazi na kushirikiana na Iran ili kuhakikisha kuwa eneo hili la Asia Magharibi linakuwa na utulivu na usalama.
-
Rais wa Iran asisitiza umoja kati ya nchi za Kiislamu
Feb 04, 2025 07:47Rais wa Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zinapasa kujiepusha na masuala yanayozusha hitilafuna badala yake zinapasa kushikama na kuwa kitu kimoja; na kwa njia hiyo ni wazi kuwa njama za maadui na wale wanaozitakia mabaya wenzao hazitafanikiwa.
-
Katika hatua ya kuaibisha, Baraza la Wawakilishi la US lapitisha muswada wa vikwazo dhidi ya ICC
Jan 10, 2025 12:12Katika hatua ya kuaibisha, Baraza la Wawakilishi la Marekani limeidhinisha mswada wa kuwawekea vikwazo maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kama jibu kwa hatua ya mahakama hiyo ya kutoa hati za kukamatwa viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuhusika na uhalifu wa kivita katika Ukanda wa Ghaza.
-
Spika Qalibaf atilia mkazo kupanuliwa ushirikiano wa kiuchumi, kiusalama na kiulinzi baina ya Iran na Iraq
Jan 09, 2025 07:16Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo aliyofanya na Waziri Mkuu wa Iraq kwamba, adui anataka kupanua harakati za makundi ya ukufurishaji katika eneo na hivyo amesisitizia kupanuliwa ushirikiano wa kiuchumi, kiusalama na kiulinzi baina ya nchi mbili.
-
Kiongozi Muadhamu atilia mkazo wajibu wa kupambana na wavamizi
Jan 09, 2025 03:21Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesisitizia wajibu wa kupambana na uvamizi wa Marekani nchini Iraq. Ametoa mwito huo wakati alipoonana na Waziri Mkuu wa Iraq na ujumbe alioongozana nao waliokwenda kumtembelea ofisini kwake hapa Tehran jana Jumatano.
-
Mashinikizo kwa serikali ya Iraq ya kuvunja Hashd al-Shaabi
Jan 07, 2025 10:50Mashinikizo ya kigeni hususan kutoka Marekani yameongezeka kwa serikali ya Iraq ili kuivunja Harakati ya Wananchi ya Hashd al-Shaabi.
-
Malengo ya Marekani ya kuongeza harakati za kijeshi kwenye mpaka wa Iraq na Syria
Jan 04, 2025 12:37Vyanzo vya Iraq vimeripoti kuhusu kuweko harakati kubwa za kijeshi za Wamarekani kwenye mpaka wa nchi hiyo na Syria na muendelezo wa uhamishaji wa vifaa na zana za kijeshi kwenye vituo vyao huko Iraq.
-
Taarifa ya Hizbullah ya Iraq katika kumbukumbu ya kuuliwa shahidi Kamanda Soleimani na al Muhandis
Jan 04, 2025 07:45Harakati ya Hizbullah ya Iraq imetoa taarifa ikisisitiza udharura wa kupambana na ubeberu wa dunia katika kumbukumbu ya kuuawa shahidi makamanda mashahidi wa muqawama Luteni jenerali Qassim Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.