Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • ‘Marekani imewatumia silaha magaidi wa ISIS Iraq’

    ‘Marekani imewatumia silaha magaidi wa ISIS Iraq’

    Apr 10, 2016 10:41

    Maafisa wa polisi nchini Iraq wanasema wameona ndege za kijeshi za Marekani zikiwateremeshia shehena za silaha magaidi wa ISIS au Daesh katika mkoa wa Al Anbar.

  • Utafiti: Wairaqi wengi wanaamini kuwa US inaunga mkono ugaidi, Daesh

    Utafiti: Wairaqi wengi wanaamini kuwa US inaunga mkono ugaidi, Daesh

    Apr 08, 2016 03:52

    Utafiti mpya wa maoni umeonyesha kuwa thuluthi moja ya wananchi wa Iraq wanaamini kuwa Marekani ndiyo muungaji mkono mkubwa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Jeshi la Iraq lamuua kiongozi wa Daesh aliyefyatua silaha za kemikali Kirkuk

    Jeshi la Iraq lamuua kiongozi wa Daesh aliyefyatua silaha za kemikali Kirkuk

    Apr 01, 2016 23:25

    Hatimaye jeshi la Iraq kwa kushirikiana na harakati za wananchi limefanikiwa kumuua kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh aliyehusika katika ufyatuaji wa silaha za kemikali mjini Kirkuk Iraq. Taarifa iliyotolewa na jeshi la Iraq, Abbas al-Kurdi, gaidi wa Daesh ameangamizwa akiwa pamoja na wanachama wengine wa genge hilo katika mapigano makali yanayoendelea kati ya wanamgambo wa Daesh na jeshi la Iraq kwa kushirikiana na harakati hizo za wananchi.

  • Iran yalaani hujuma za kigaidi Pakistan na Iraq

    Iran yalaani hujuma za kigaidi Pakistan na Iraq

    Mar 28, 2016 03:50

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma za hivi karibuni za kigaidi katika mji wa Lahore Pakistan na karibu na Baghdad mji mkuu wa Iraq.

  • Pentagon: Marekani kutuma vikosi zaidi nchini Iraq

    Pentagon: Marekani kutuma vikosi zaidi nchini Iraq

    Mar 26, 2016 03:39

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inajiandaa kutuma vikosi zaidi vya jeshi la nchini hiyo huko Iraq, eti kwa lengo la kuipa nguvu operesheni inayoendelea dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Kuongezeka operesheni ya vikosi vya Iraq dhidi ya Daesh

    Kuongezeka operesheni ya vikosi vya Iraq dhidi ya Daesh

    Mar 14, 2016 09:48

    Baada ya kuzingirwa eneo la kiistratejia la Hit katika mkoa wa al-Anbar magharibi mwa Iraq, Spika wa Bunge la nchi hiyo amesema kuwa, mkoa huo utakombolewa wote kutoka mikononi mwa magaidi wa Daesh katika siku chache zijazo.

  • Jeshi la Iraq laangamiza magaidi zaidi ya 75 wa Daesh

    Jeshi la Iraq laangamiza magaidi zaidi ya 75 wa Daesh

    Mar 13, 2016 13:25

    Jeshi la Iraq limetangaza kuwa limefanikiwa kuangamiza wanachama 75 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika operesheni tatu kaskazini mwa nchi, katika mikoa ya Salahuddin, Kirkuk na Nineveh.

  • Madaktari Wairani kuwatibu Wairaqi waliohujumiwa na ISIS

    Madaktari Wairani kuwatibu Wairaqi waliohujumiwa na ISIS

    Mar 13, 2016 04:06

    Timu ya madaktari wa Iran wameelekea Iraq kuwasaidia waathirika wa hivi karibuni wa hujuma ya silaha za sumu zilizotumiwa na kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika mkoa wa Kirkuk.

  • Algeria yapinga kutajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Algeria yapinga kutajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Mar 12, 2016 04:39

    Algeria kwa mara nyingine imepinga uamuzi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu kuitajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi.

  • Kamanda Qais Khazali: Marekani ndio inayowaingiza Madaesh Iraq

    Kamanda Qais Khazali: Marekani ndio inayowaingiza Madaesh Iraq

    Mar 10, 2016 13:09

    Katibu Mkuu wa Harakati ya ''Aswaib Ahlil-Haqq ya nchini Iraq, Qais Khazali amesema kuwa, Marekani ndio muhusika mkuu katika kuwaingiza wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS