-
Ilhan Omar alaumu shambulio ya Marekani dhidi ya makundi ya muqawama ya Iraq
Jun 29, 2021 02:42Mbunge Muislamu nchini Marekani ameilaumu serikali ya nchi hiyo kwa kufanya shambulizi katika mpaka wa Syria na Iraq na kusema kuwa, shambulio hilo ni siasa zilizofeli.
-
Makundi ya muqawama ya Iraq: Tutalipiza kisasi dhidi ya Marekani
Jun 28, 2021 10:43Makundi ya muqawama ya Iraq yametangaza kuwa, yatalipiza kisasi mashambulizi ya Marekani dhidi ya ngome za kundi la Hashdu Shaabi.
-
Tsunami ya kujiua katika jeshi la Marekani, nembo ya mgogoro wa kinafsi na kimaadili
Jun 26, 2021 15:01Ripoti ya karibuni ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inaonesha ongezeko la visa vya kujiua kati ya wanajeshi wa nchi hiyo hususan maveterani wa jeshi.
-
Uporaji wa mali ya Syria na Iraq, sababu ya mashinikizo ya wananchi ya kutaka wavamizi wa Kimarekani waondoke
Jun 22, 2021 02:31Kuwepo kwa majeshi vamizi ya Marekani katika eneo lolote la Magharibi mwa Asia na hata maeneo mengine ya dunia daima kumekuwa sababu ya ukosefu wa amani na mashaka na machungu kwa wakazi wa maeneo hayo, tofauti kabisa na madai yanayotolewa na serikali ya Washington.
-
Nujabaa ya Iraq: Tuko tayari kuikomboa Miinuko ya Golan ya Syria
Jun 12, 2021 12:38Msemaji wa Harakati ya Muqawama ya Iraq ya al-Nujabaa ambayo ni sehemu ya harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi ya nchi hiyo ametangaza utayarifu wa harakati yake kwa ajili ya kuikomboa Miinuko ya Golan ya Syria.
-
Sababu za mivutano ya mara kwa mara katika uhusiano wa serikali ya Iraq na Hashdu Shaabi
May 30, 2021 03:54Katika siku za karibuni uhusiano wa serikali ya Mustafa al Kadhimi Waziri Mkuu wa Iraq na wapiganaji wa kundi la Hashdu Shaabi kwa mara nyingine tena umegubikwa na hali ya mivutano. Hali hiyo imejitokeza baada ya askari maalumu waliochini ya usimamizi wa Waziri Mkuu wa Iraq kumtia mbaroni Qassim Mosleh mmoja kati ya makamanda wa ngazi ya juu wa Hashdu Shaabi.
-
Hadi al-A'miri: Kudhoofisha nguvu za Hashd al Shaabi ni kudhoofisha nguvu za serikali ya Iraq
May 29, 2021 02:44Mwenyekiti wa Muungano wa Fat'h nchini Iraq amesema Jeshi la Kujitolea la Wananchi wa Iraq, maarufu kama Hashd al Shaabi, kwa damu yake toharifu limeweza kuipa nguvu serikali ya Iraq na hivyo kila anayetaka kusambaratisha nguvu na uwezo wa jeshi hilo kimsingi atakuwa amedhoofisha nguvu za taifa la Iraq.
-
Kufika ukingoni subira ya makundi ya muqawama ya Iraq kuhusu wanajeshi wa Marekani
May 25, 2021 02:17Kituo cha Uratibu wa Makundi ya Muqawama ya Iraq kimetoa taarifa kikisema muhula waliokuwa wamepewa askari vamizi wa Marekani kuondoka Iraq umefika ukingoni na sambamba na hilo kumeshadidishwa oparesheni dhidi ya maeneo waliko magaidi hao wa Marekani nchini Iraq.
-
Rais Rouhani: Usalama na Uthabiti nchini Iraq ni usalama Iran
May 17, 2021 13:04Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema usalama na uthabiti nchini Iraq ni sawa na usamala nchini Iran na amesisitiza kuhusu ushirikiano wa nchi mbili katika kukabiliana na taharui za makundi ya wakufurishaji na magaidi.
-
Mustafa al-Kadhimi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaiunga mkono serikali ya Iraq
May 10, 2021 07:49Mustafa al-Kadhimi, Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, Wairani ni watu wa kutazama mambo kwa uhalisia wake na kwamba, juhudi zao zinalenga kuiunga mkono serikali ya Baghdad na wala hazina nia ya kuidhoofisha.