-
Kamisheni ya Usalama ya Bunge la Iraq yaonya kuhusu kupuuzwa uwepo wa Marekani nchini humo
Apr 08, 2020 08:36Mkuu wa Kamisheni ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq ametahadharisha kuhusiana na kuendelea kuwepo majeshi ya Marekani katika kituo cha Ain al-Assad katika mkoa wa al-Anbar na al-Harir katika eneo lenye Mamlaka ya Ndani la Kurdestan.
-
Vuta nikuvute juu ya uwaziri mkuu wa al-Zurfi huku makundi ya Kiiraqi yakikaribia kufikia mwafaka
Apr 08, 2020 03:16Kufuatia upinzani mkali wa makundi ya Kishia kwa pendekezo la kumfanya Adnan al-Zurfi waziri mkuu mpya wa Iraq, waungaji mkono wa waziri mkuu huyo mteule aliyepewa jukumu la kuunda serikali wameyumba kimsimamo na hivi sasa makundi ya kisiasa nchini humo yanakaribia kufikia mwafaka wa kumpendekeza shakhsia mwingine mpya wa kushika wadhifa huo.
-
Kaburi jengine la halaiki lagunduliwa katika mkoa wa al-Anbar, Iraq
Apr 06, 2020 03:35Vikosi vya usalama vya Iraq vimegundua kaburi la halaiki lenye maiti za askari wa usalama na raia waliouawa katika mkoa wa al-Anbar magharibi mwa nchi hiyo.
-
Harakati ya Asa'ib Ahl al-Haq yatahadharisha juu ya malengo ya Marekani ya kubakia kwa muda mrefu nchini Iraq
Apr 05, 2020 22:03Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa wa Harakati ya Asa'ib Ahl al-Haq ya nchini Iraq ametahadharisha juu ya mipango ya Marekani ya kutaka kubakia kwa muda mrefu nchini humo.
-
Uafriti wa Trump wa kuanzisha chokochoko na mivutano katika eneo kwa kuzusha tuhuma dhidi ya Iran
Apr 03, 2020 02:27Licha ya hali ya dharura na isiyo ya kawaida iliyopo kimataifa kutokana na mripuko wa janga la corona lililoikumba dunia nzima, Marekani ingali inaendelea kufuata muelekeo wa utumizi wa nguvu za kijeshi na kushikilia kuchukua hatua za kijeshi katika siasa zake za nje.
-
Mjumbe wa kamati ya ulinzi na usalama Iraq: Maafisa wa Marekani walifanya vikao na Maba'ath
Apr 02, 2020 22:30Mjumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya bunge la Iraq amefichua kuwa, baadhi ya maafisa wa Marekani walioko katika nchi jirani na Iraq, walifanya vikao kadhaa na viongozi wa chama kilichopigwa marufuku cha Ba'ath.
-
Meja Jenerali Safavi: Zama za kusambaratika nguvu za Marekani zimewadia
Apr 02, 2020 02:42Msaidizi na Mshauri wa ngazi za juu wa Amirijeshi Mkuu wa Majeshi yote ya Iran amesema kuwa, zama za kusambaratika nguvu za kisiasa na kijeshi za Marekani katika Mashariki ya Kati na ulimwenguni kwa ujumla zimewadia.
-
Malengo ya kuhamishwa wanajeshi wa Marekani nchini Iraq
Apr 01, 2020 02:14Katika siku chache za hivi karibuni kuwekuwepo operesheni kabambe ya kuhamishwa wanajeshi wa Marekani kutoka sehemu moja ya kupelekwa jingine ndani ya ardhi ya Iraq.
-
Harakati ya Al-Nujaba ya Iraq yaitahadharisha Marekani juu ya hatua yoyote ya uvamizi nchini humo
Mar 31, 2020 01:46Harakati ya Al-Nujabaa ya nchini Iraq, imeitahadharisha Marekani kuhusu uvamizi wowote tarajiwa ndani ya ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Kuondoka askari wa Marekani katika kambi tatu za jeshi nchini Iraq, ni stratijia au taktiki?
Mar 30, 2020 23:16Wanajeshi wa Marekani wameondoka katika kambi ya K1 huko kaskazini mwa Iraq. Maudhui ya kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Iraq imekuwa suala na mjadala muhimu katika kipindi cha miezi mitatu ya mwaka huu wa 2020.