Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Sisitizo la viongozi wa Iraq la kutoka wanajeshi wa Marekani nchini mwao

    Sisitizo la viongozi wa Iraq la kutoka wanajeshi wa Marekani nchini mwao

    Apr 20, 2018 23:08

    Falih al Fayyadh, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq amesema kuwa, kuna wajibu wa kumalizwa uwepo wa washauri wa kijeshi wa Marekani nchini humo.

  • Iraq: Magaidi wa Daesh (ISIS) hawatatia tena mguu ndani ya ardhi yetu

    Iraq: Magaidi wa Daesh (ISIS) hawatatia tena mguu ndani ya ardhi yetu

    Apr 20, 2018 09:03

    Mshauri wa usalama wa taifa na mkuu wa harakati ya wananchi nchini Iraq amesema kuwa kinyume na zinvyoonesha baadhi ya propaganda, genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), halitotia tena mguu nchini humo.

  • Velayati: Baada ya muda si mrefu Yemen pia itajumuishwa kwenye kambi ya Muqawama

    Velayati: Baada ya muda si mrefu Yemen pia itajumuishwa kwenye kambi ya Muqawama

    Apr 19, 2018 23:49

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema: kambi ya muqawama imepanuka kwa kuanzia Iran na kuenea hadi Palestina, Syria na Iraq; na muda si mrefu Yemen pia itajumuishwa kwenye kambi hiyo.

  • Waziri Mkuu wa Iraq: Iraq iliyo imara haitaruhusu DAESH warudi tena nchini

    Waziri Mkuu wa Iraq: Iraq iliyo imara haitaruhusu DAESH warudi tena nchini

    Apr 18, 2018 22:32

    Waziri Mkuu wa Iraq Haidar al-Abadi amesisitiza kuwa, kwa kutegemea umoja na mshikamano wake na uwezo wa wapiganaji na wanachi wake, Iraq haitaruhusu magaidi wa DAESH (ISIS) warudi tena nchini humo.

  • Wairaq waandamana kuulaani utawala wa Aal-Saud kutokana na jinai zao dhidi ya Waislamu

    Wairaq waandamana kuulaani utawala wa Aal-Saud kutokana na jinai zao dhidi ya Waislamu

    Mar 31, 2018 03:08

    Maelfu ya raia wa Iraq wamefanya maandamano kwa kukusanyika katika medani ya Bairut, mjini Baghdad, ambapo wametaka kupandishwa katika mahakama ya kimataifa viongozi wa utawala wa kifalme wa Aal-Saud wa nchini Saudi Arabia kutokana na jinai zao za kivita nchini Iraq, Syria, Bahrain na Yemen.

  • Mabomu elfu moja ya kutegwa ardhini yapatikana Kirkuk, Iraq

    Mabomu elfu moja ya kutegwa ardhini yapatikana Kirkuk, Iraq

    Mar 28, 2018 11:27

    Kundi la kujitolea la wananchi wa Iraq la al Hashdu al Sha'abi limearifu kuwa limepata mabomu elfu moja ya kutegwa ardhini yaliyoundwa nchini Ujerumani kupitia operesheni ya usalama kusini magharibi mwa mkoa wa Kirkuk huko Iraq.

  • Iraq: Saudia ituombe radhi kwa kutuma magaidi elfu 5 nchini

    Iraq: Saudia ituombe radhi kwa kutuma magaidi elfu 5 nchini

    Mar 25, 2018 06:18

    Muungano wa Utawala wa Sheria nchini Iraq umeutaka utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia uliombe radhi taifa hilo kutokana na madhara lililoyapata, kwa hatua ya Riyadh kutuma maelfu ya magaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Kuwait: Ni muhali eneo la Mashariki ya Kati kupata usalama bila kuihusisha Iran

    Kuwait: Ni muhali eneo la Mashariki ya Kati kupata usalama bila kuihusisha Iran

    Mar 24, 2018 21:50

    Waziri wa Ulinzi wa Kuwait amesema kuwa, ni muhali eneo la Mashariki ya Kati kupata usalama bila kuishirikisha na kuiweka karibu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq.

  • Ung'ang'anizi wa Marekani wa kuendelea kuweko wanajeshi wake nchini Iraq

    Ung'ang'anizi wa Marekani wa kuendelea kuweko wanajeshi wake nchini Iraq

    Mar 24, 2018 21:49

    Msemaji wa komandi ya operesheni za kijeshi ya Marekani huko magharibi mwa Iraq amedai kuwa bado kuna udharura wa kuweko wanajeshi wa nchi hiyo katika eneo hilo.

  • India: Raia wetu 39 waliotekwa na Daesh nchini Iraq, waliuawa na magaidi hao

    India: Raia wetu 39 waliotekwa na Daesh nchini Iraq, waliuawa na magaidi hao

    Mar 21, 2018 23:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa India amethibitisha habari ya kuuawa raia 39 wa nchi hiyo waliotekwa na wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) nchini Iraq miaka michache iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS