-
Sisitizo la viongozi wa Iraq la kutoka wanajeshi wa Marekani nchini mwao
Apr 20, 2018 23:08Falih al Fayyadh, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq amesema kuwa, kuna wajibu wa kumalizwa uwepo wa washauri wa kijeshi wa Marekani nchini humo.
-
Iraq: Magaidi wa Daesh (ISIS) hawatatia tena mguu ndani ya ardhi yetu
Apr 20, 2018 09:03Mshauri wa usalama wa taifa na mkuu wa harakati ya wananchi nchini Iraq amesema kuwa kinyume na zinvyoonesha baadhi ya propaganda, genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), halitotia tena mguu nchini humo.
-
Velayati: Baada ya muda si mrefu Yemen pia itajumuishwa kwenye kambi ya Muqawama
Apr 19, 2018 23:49Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema: kambi ya muqawama imepanuka kwa kuanzia Iran na kuenea hadi Palestina, Syria na Iraq; na muda si mrefu Yemen pia itajumuishwa kwenye kambi hiyo.
-
Waziri Mkuu wa Iraq: Iraq iliyo imara haitaruhusu DAESH warudi tena nchini
Apr 18, 2018 22:32Waziri Mkuu wa Iraq Haidar al-Abadi amesisitiza kuwa, kwa kutegemea umoja na mshikamano wake na uwezo wa wapiganaji na wanachi wake, Iraq haitaruhusu magaidi wa DAESH (ISIS) warudi tena nchini humo.
-
Wairaq waandamana kuulaani utawala wa Aal-Saud kutokana na jinai zao dhidi ya Waislamu
Mar 31, 2018 03:08Maelfu ya raia wa Iraq wamefanya maandamano kwa kukusanyika katika medani ya Bairut, mjini Baghdad, ambapo wametaka kupandishwa katika mahakama ya kimataifa viongozi wa utawala wa kifalme wa Aal-Saud wa nchini Saudi Arabia kutokana na jinai zao za kivita nchini Iraq, Syria, Bahrain na Yemen.
-
Mabomu elfu moja ya kutegwa ardhini yapatikana Kirkuk, Iraq
Mar 28, 2018 11:27Kundi la kujitolea la wananchi wa Iraq la al Hashdu al Sha'abi limearifu kuwa limepata mabomu elfu moja ya kutegwa ardhini yaliyoundwa nchini Ujerumani kupitia operesheni ya usalama kusini magharibi mwa mkoa wa Kirkuk huko Iraq.
-
Iraq: Saudia ituombe radhi kwa kutuma magaidi elfu 5 nchini
Mar 25, 2018 06:18Muungano wa Utawala wa Sheria nchini Iraq umeutaka utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia uliombe radhi taifa hilo kutokana na madhara lililoyapata, kwa hatua ya Riyadh kutuma maelfu ya magaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Kuwait: Ni muhali eneo la Mashariki ya Kati kupata usalama bila kuihusisha Iran
Mar 24, 2018 21:50Waziri wa Ulinzi wa Kuwait amesema kuwa, ni muhali eneo la Mashariki ya Kati kupata usalama bila kuishirikisha na kuiweka karibu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq.
-
Ung'ang'anizi wa Marekani wa kuendelea kuweko wanajeshi wake nchini Iraq
Mar 24, 2018 21:49Msemaji wa komandi ya operesheni za kijeshi ya Marekani huko magharibi mwa Iraq amedai kuwa bado kuna udharura wa kuweko wanajeshi wa nchi hiyo katika eneo hilo.
-
India: Raia wetu 39 waliotekwa na Daesh nchini Iraq, waliuawa na magaidi hao
Mar 21, 2018 23:18Waziri wa Mambo ya Nje wa India amethibitisha habari ya kuuawa raia 39 wa nchi hiyo waliotekwa na wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) nchini Iraq miaka michache iliyopita.