Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Njama za Saudia na Marekani nchini Iraq ni kwa ajili ya kukabiliana na Iran

    Njama za Saudia na Marekani nchini Iraq ni kwa ajili ya kukabiliana na Iran

    Nov 04, 2017 11:19

    Katibu Mkuu wa Muqawama wa Kiislamu wa al Nujabaa nchini Iraq amesisitiza kuwa, lengo kuu la Wamarekani na Wasaudia nchini Iraq ni kuzusha mizozo na ugomvi katika safu ya muqawama kwa ajili ya kuendeleza uadui wao dhidi ya Iran.

  • Ngome ya mwisho ya Daesh Iraq yadhibitiwa, al-Abad atoa pongezi

    Ngome ya mwisho ya Daesh Iraq yadhibitiwa, al-Abad atoa pongezi

    Nov 04, 2017 04:05

    Waziri Mkuu wa Iraq Haider al-Abad ametoa pongezi kufuatia kukombolewa eneo la al-Qaim, magharibi mwa mkoa wa al-Anbar kutoka mikononi mwa wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh.

  • Hizbullah ya Iraq: Baada ya Daesh kushindwa, Marekani na Israel zinapanga njama mpya

    Hizbullah ya Iraq: Baada ya Daesh kushindwa, Marekani na Israel zinapanga njama mpya

    Nov 02, 2017 13:50

    Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu 'Kataib Hizbullah' nchini Iraq sambamba na kutangaza kuwa, genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh lilikuwa na mpango wa uharibifu kupitia ajenda za Marekani, Israel na fedha za baadhi ya nchi za Kiarabu, imesema kuwa baada ya kumalizika vita dhidi ya kundi hilo Iraq inatakiwa kujiweka tayari kwa ajili ya njama mpya za Washington na washirika wake.

  • Radiamali ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq kwa matamshi ya dharau ya Marekani

    Radiamali ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq kwa matamshi ya dharau ya Marekani

    Oct 29, 2017 09:51

    Ahmed al-Hajib, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq, amekosoa vikali matamshi ya Heather Nauert, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani kwa hatua yake ya kumtaja Abu Mahdi al-Muhandis, kamanda wa harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi ya Iraq kuwa eti ni gaidi.

  • Kamanda wa Badr: Itikadi za Kiwahabi zinachochea ugaidi

    Kamanda wa Badr: Itikadi za Kiwahabi zinachochea ugaidi

    Oct 28, 2017 23:34

    Kamanda wa kikosi cha wananchi wa Iraq cha Badr amesema kuwa Daesh na makundi mengine ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati yanaongozwa na fikra na itikadi za Kiwahabi za Saudi Arabia.

  • Marekani na washirika wake wakiri, wameua mamia ya raia Iraq na Syria

    Marekani na washirika wake wakiri, wameua mamia ya raia Iraq na Syria

    Oct 27, 2017 01:17

    Marekani na washirika wake katika kile kinachodaiwa ni muungano wa kupambana na Daesh wamekiri kwamba, wameua raia wengine wasiopungua 51 wasio na hatia katika nchi za Syria na Iraq, suala linaloopandisha juu idadi ya raia waliouawa na muungano huo na kufikia watu 786.

  • Kiongozi wa Mapinduzi: Siri ya ushindi  wa karibuni Iraq ni umoja na uungaji mkono wa vijana waumini na mashujaa

    Kiongozi wa Mapinduzi: Siri ya ushindi wa karibuni Iraq ni umoja na uungaji mkono wa vijana waumini na mashujaa

    Oct 26, 2017 13:04

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil-Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema, umoja wa kaumu tofauti na uungaji mkono wa serikali ya Iraq kwa vikosi vya wananchi na vijana waumini na mashujaa wa nchi hiyo ndio siri ya ushindi uliopatikana karibuni dhidi ya magaidi na waungaji mkono wao.

  • Kamanda wa jeshi la Marekani: Tillerson hajui chochote kuhusu masuala ya Iraq

    Kamanda wa jeshi la Marekani: Tillerson hajui chochote kuhusu masuala ya Iraq

    Oct 24, 2017 10:28

    Kamanda wa zamani wa jeshi la Marekani nchini Iraq, Mark Hertling amesema kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Rex W. Tillerson, hana ufahamu kuhusiana na masuala magumu ya Iraq.

  • Malaysia yasema magaidi 34 wa nchi hiyo wameangamizwa Iraq na Syria

    Malaysia yasema magaidi 34 wa nchi hiyo wameangamizwa Iraq na Syria

    Oct 24, 2017 01:00

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Malaysia amesema kuwa, kwa akali magaidi 34 wenye uraia wa taifa hilo wameangamizwa nchini Iraq na Syria.

  • Al-Abadi: Iraq itaendelea kuwa moja iliyoungana na yenye uthabiti

    Al-Abadi: Iraq itaendelea kuwa moja iliyoungana na yenye uthabiti

    Oct 19, 2017 12:43

    Waziri Mkuu wa Iraq Haidar Al Abadi ametangaza kuwa nchi hiyo itabaki kuwa moja na kwamba Iraq yenye uthabiti ni bora kwa uthabiti wa eneo la Mashariki ya Kati na dunia kwa jumla.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS