-
Nouri al-Maliki: Operesheni ya kuidhibi Kirkuk ni kulinda umoja wa kitaifa wa Iraq
Oct 17, 2017 05:06Nouri al-Maliki, Makamu wa Rais wa Iraq amesema kuwa operesheni za jeshi la serikali za kuudhibiti mji wa Kirkuk, hazikuwa dhidi ya raia wa Kikurdi bali zilikuwa dhidi ya wale wanaokiuka katiba na sheria za Iraq.
-
Wairaq washerehekea kufurushwa Wakurdi kutoka Kirkuk, al-Abad aamuru kupeperushwa bendera ya Iraq
Oct 16, 2017 13:07Wakazi wa mji wa Kirkuk nchini Iraq wamemiminika katika barabara za mji huo kushangilia ushindi wa jeshi la serikali kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi kwa hatua ya kuwafurusha wapiganaji wa Kikurdi mjini hapo na kisha kudhibiti hali ya mambo.
-
Siku za kundi la kigaidi la Daesh nchini Iraq zaanza kuhesabika
Oct 11, 2017 23:16Sambamba na ushindi wa kila siku wa jeshi la Iraq na makundi ya kujitolea ya wananchi katika mapambano ya kuliangamiza kundi la kigaidi la ِِِDaesh na kusafisha kabisa maeneo yote ya nchi hiyo, Waziri Mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi ametangaza kuwa, kundi hilo litashindwa kikamilifu hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu.
-
Serikali ya Iraq yapitisha vikwazo vipya dhidi ya eneo la Kurdistan
Oct 09, 2017 23:37Katika kujibu hatua ya viongozi wa eneo la Kurdistan ya Iraq ya kukiuka katiba na kuitisha kura ya maoni ya kutaka kujitenga na kujitangazia uhuru, serikali kuu ya Iraq imechukua maamuzi mapya ya kuliadhibu eneo hilo.
-
Iraq kuwahukumu wanachama wa ISIS, raia wa Ulaya
Oct 08, 2017 10:42Vyombo vya mahakama nchini Iraq vinatazamiwa kuwatolea hukumu ikiwemo hukumu ya kifo, makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) raia wa nchi za Ulaya.
-
Ombi la Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq kwa Iran na Uturuki
Oct 08, 2017 09:51Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq kupitia taarifa rasmi iliyoiwasilisha kwa balozi za Iran na Uturuki mjini Baghdad, imezitaka nchi hizo mbili sambamba na kufunga vivuko vyote vya eneo la Kurdistan ya Iraq, kusimamisha pia miamala ya mauziano ya mafuta na eneo hilo.
-
Mkakati wa Uturuki wa kutaka kustawisha ushirikiano wa kiulinzi na kiusalama na Iraq
Oct 07, 2017 03:14Waziri Mkuu wa Uturuki amesema, kufuatia kura ya maoni iliyofanyika hivi karibuni katika eneo la Kurdistan ya Iraq, nchi yake inataka kuimarisha ushirikiano na serikali kuu ya Iraq katika nyuga za uchumi, ulinzi na usalama.
-
Jeshi la Iraq laukomboa mji wa Hawija kutoka makucha ya ISIS
Oct 05, 2017 04:34Jeshi la Iraq limetangaza kuukomboa mji wa kistratijia wa Hawija kutoka katika makucha ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
-
Iran yaomboleza kifo cha Jalal Talabani, rais wa zamani wa Iraq
Oct 04, 2017 04:40Balozi wa Iran mjini Baghdad, Iraj Masjedi ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Iraq, Fuad Masoum kufutia kifo cha rais wa zamani wa nchi hiyo ya Kiarabu, Jalal Talabani.
-
Rouhani: Mabadiliko yoyote ya mipaka yanahatarisha usalama na uthabiti M/Kati
Oct 03, 2017 04:28Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia udharura wa kuimarishwa serikali kuu za Iraq na Syria na kufafanua kuwa, mabadiliko yoyote ya mipaka ya kijiografia wakati huu yatasababisha ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo lote la Mashariki ya Kati.