Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • HRW: Daesh imezika mamia ya watu katika kaburi la umati, Mosul

    HRW: Daesh imezika mamia ya watu katika kaburi la umati, Mosul

    Mar 23, 2017 00:20

    Shirika la kutetea haki za bindamu la Human Rights Watch (HRW) limeripoti kuwa kundi la kigaidi la Daesh limeua mamia ya mahabusi katika mji wa kaskazini mwa Iraq wa Mosul na kuwazika katika kaburi la umati ambalo yumkini likawa kubwa zaidi ya makaburi yote ya umati yaliyogunduliwa nchini Iraq hadi hivi sasa.

  • Licha ya upinzani wa Iraq, Trump asisitiza kubakia askari wa US nchini humo

    Licha ya upinzani wa Iraq, Trump asisitiza kubakia askari wa US nchini humo

    Mar 21, 2017 04:15

    Licha ya pingamizi ya raia na viongozi wa Iraq juu ya kuendelea kuwepo askari wa kigeni ndani ya ardhi ya nchi yao, Rais Donald Trump wa Marekani amesisitizia kuwa askari wa nchi yake hawapaswi kuondoka nchini humo.

  • Safari ya Waziri Mkuu wa Iraq nchini Marekani; wasiwasi na matarajio yaliyopo

    Safari ya Waziri Mkuu wa Iraq nchini Marekani; wasiwasi na matarajio yaliyopo

    Mar 20, 2017 09:48

    Waziri Mkuu wa Iraq, Haidar al-Abadi, huku akiongoza ujumbe wa ngazi ya juu wa nchi yake jana alielekea mjini Washington kwa lengo la kufanya safari rasmi nchini Marekani.

  • Fethullah Gülen: Erdoğan ni mnafiki asiyefaa kuaminiwa hata kidogo

    Fethullah Gülen: Erdoğan ni mnafiki asiyefaa kuaminiwa hata kidogo

    Mar 16, 2017 00:40

    Kiongozi wa harakati ya Jama'at Gülen ambaye pia ni mpinzani wa serikali ya Uturuki, amemtumia barua kiongozi wa eneo la Kurdistan nchini Iraq, Masoud Barzani, akimuonya vikali juu ya tabia yake ya kumwamini sana Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki.

  • Jeshi la Iraq lawazingira kikamilifu magaidi wa genge la Daesh mjini Mosul

    Jeshi la Iraq lawazingira kikamilifu magaidi wa genge la Daesh mjini Mosul

    Mar 13, 2017 12:47

    Jeshi la Iraq limetangaza kuwa linawazingira kikamilifu wanachama wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) mjini Mosul, kaskazini mwa nchi hiyo, baada ya njia zote za kuingia na kutoka mji huo kudhibitiwa na jeshi hilo.

  • Wanachama wa Daesh waliohusika na mauaji ya umati jela ya Badush watiwa nguvuni

    Wanachama wa Daesh waliohusika na mauaji ya umati jela ya Badush watiwa nguvuni

    Mar 11, 2017 23:30

    Makundi ya kujitolewa na wananchi yanayopigana katika mji wa Mosul huko kaskazini mwa Iran dhidi ya kundi la kitakfiri na kiwahabi la Daesh wamewatia nguvuni makumi ya wanachama wa kundi hilo waliofanya mauaji ya wafungwa wasiongua 500 katika jela ya Badush baada tu ya kukalia kwa mabavu mji wa Mosil mwaka 2014.

  • Radiamali ya viongozi wa Iraq kwa vikao vyenye kutia shaka kuhusu mustakbali wa kisiasa wa nchi hiyo

    Radiamali ya viongozi wa Iraq kwa vikao vyenye kutia shaka kuhusu mustakbali wa kisiasa wa nchi hiyo

    Mar 11, 2017 09:11

    Spika wa bunge la Iraq amesisitiza kuwa wanapinga mfumo wowote ule wa kuiweka Iraq chini ya Himaya ya ndani au nje ya nchi na pia kila mikutano na vikao vya nje ya nchi vinavyofanyika kwa lengo la kuigawa nchi hiyo.

  • Mwanachama wa Daesh ajilipua katika sherehe za harusi Iraq na kuua watu 26

    Mwanachama wa Daesh ajilipua katika sherehe za harusi Iraq na kuua watu 26

    Mar 09, 2017 04:34

    Kwa akali watu 26 wameuawa papo hapo katika mripuko wa bomu uliotokea katikati ya sherehe za harusi, karibu na mji wa Tikrit, kaskazini magharibi mwa mji mkuu Baghdad.

  • Wasiwasi wa kutumia ISIS silaha zaidi za kemikali nchini Iraq

    Wasiwasi wa kutumia ISIS silaha zaidi za kemikali nchini Iraq

    Mar 06, 2017 00:28

    Shirika la Msalaba Mwekundu limetoa taarifa ya kulaani mashambulizi ya silaha za kemikali ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) dhidi ya raia wasio na ulinzi wa mji wa Mosul huko Iraq.

  • Wamarekani wakiri kuua mamia ya raia Syria, Iraq

    Wamarekani wakiri kuua mamia ya raia Syria, Iraq

    Mar 05, 2017 04:05

    Jeshi la Marekani jana lilikiri kuwa limeua raia wa Iraq na Syria katika kampeni inayodaiwa ni ya kupambana na kundi la Daesh kwenye nchi hizo mbili za Kiarabu na Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS