-
Daesh latumia gesi ya sumu kujaribu kulizuia jeshi la Iraq kuyakomboa maeneo yaliyosalia Mosul
Mar 03, 2017 00:49Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) limetumia silaha zenye gesi ya sumu katika kulizuia jeshi la Iraq kusonga mbele katika maeneo yaliyosalia.
-
Iraq: Tumeazimia kuliangamiza kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh
Mar 02, 2017 04:44Serikali ya Iraq imetangaza kuwa, imeazimia kuliangamiza kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh na kwamba, vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo vinaendelea vizuri na operesheni zake dhidi ya wanamgambo hao wa kigaidi.
-
Hatimaye kinara wa Daesh akiri kushindwa nchini Iraq, awataka wafuasi wake kukimbilia milimani
Mar 01, 2017 01:10Kinara wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) Abubakar al-Baghdadi ametoa hotuba ya mwisho akikiri kushindwa kundi hilo nchini Iraq na amewataka wafuafi wake kukimbilia maeneo ya milimani kwa usalama wao au kujiripua.
-
WFP yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya Iraq
Feb 27, 2017 23:15Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umeeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya kibinadamu inayozikabili familia za Wairaqi magharibi mwa mji wa Mosul nchini humo.
-
Wairaq: Ni kosa kubwa kuwaamini watawala wa kigaidi wa Saudia
Feb 27, 2017 10:53Sambamba na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia, Adel al-Jubeir kufanya safari nchini Iraq na kukutana na viongozi wa nchi hiyo ambapo ametaka kuimarishwa mahusiano ya pande mbili, Wairaq wameitaja safari ya waziri huyo wa Saudia kuwa ni njama chafu dhidi ya nchi yao.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia nchini Iraq
Feb 26, 2017 04:54Jumamosi ya jana Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia aliwasili mjini Baghdad kwa ajili ya kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu wa Iraq.
-
Syria: Tunashirikiana kwa karibu na Iraq katika kupambana na genge la Daesh
Feb 25, 2017 10:56Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesisitizia uepo wa ushirikiano baina ya nchi yake na serikali ya Iraq katika kupambana na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS).
-
HRW: Wanawake ni wahanga wa vitendo vya ubakaji vya kundi la Daesh nchini Iraq
Feb 20, 2017 12:30Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, wanawake nchini Iraq ni wahanga wa vitendo vya ubakaji vinavyofanywa na kundi la kigaidi la Daesh.
-
51 wauawa na wengine kujeruhiwa katika mlipuko wa kigaidi Baghdad
Feb 16, 2017 12:22Gari lililokuwa limetegwa bomu limeripuka katika kitongoji kimoja kusini mwa Baghdad mji mkuu wa Iraq na kuuwa makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.
-
Makamanda 13 wa Daesh (ISIS) waangamizwa katika shambulio la jeshi la anga la Iraq
Feb 14, 2017 04:13Jeshi la anga la Iraq limefanya shambulio katika nyumba inayodhaniwa kuwemo ndani yake kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) Abubakar al-Baghdadi pamoja na makamanda wengine waandamizi wa kundi hilo.