Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Picha ya mazishi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Minab yashinda tuzo ya picha bora zaidi ya mwaka

    Picha ya mazishi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Minab yashinda tuzo ya picha bora zaidi ya mwaka

    Jun 21, 2026 02:58

    Picha iliyochukuliwa kutokea angani inayoonyesha mazishi ya wanafunzi 168 waliouawa shahidi wakati wa shambulio la makombora ya Marekani dhidi ya Shule ya Msingi ya Shajareh Tayyebeh huko Minab, kusini mwa Iran, imeshinda tuzo ya juu katika Kategoria ya Upigaji Picha za Habari ya tuzo za Golden Shot Photography Awards 2026.

  • Mamia waandamana Brussels wakitaka kuwekewa vikwazo Israel

    Mamia waandamana Brussels wakitaka kuwekewa vikwazo Israel

    Jun 19, 2026 03:44

    Mamia ya watu walifanya maandamano jana Alhamisi Brussels, Ubelgiji kabla ya mkutano wa kilele wa Umoja wa Ulaya.

  • Hitilafu zapamba moto baina ya Trump na Netanyahu kuhusu mashambulizi dhidi ya Lebanon

    Hitilafu zapamba moto baina ya Trump na Netanyahu kuhusu mashambulizi dhidi ya Lebanon

    Jun 18, 2026 12:10

    Rais wa Marekani, Donald Trump amekosoa mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon, na kukiri kwamba kuna hitilafu kati yake na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuhusu suala la Lebanon.

  • Wakuu wa zamani wa usalama wamwambia Netanyahu: Komesha ugaidi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi

    Wakuu wa zamani wa usalama wamwambia Netanyahu: Komesha ugaidi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi

    Jun 18, 2026 11:28

    Mawaziri wakuu wawili wa zamani wa Israel, pamoja na watu mashuhuri kutoka Israel na Marekani, wakuu wa zamani wa mashirika ya usalama, na maafisa kadhaa wa zamani katika taasisi mbalimbali za usalama, wamesaini barua iliyoelekezwa kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu jana Jumatano, wakiitaka serikali na mashirika yake kuchukua hatua za haraka za kukabiliana na kile walichokiita "ugaidi wa Kiyahudi" katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu huko Palestina.

  • Tel Aviv inawakera hata washirika wake, Ufaransa yalituhumu shirika la Israel kuingia mambo ya ndani ya nchi hiyo

    Tel Aviv inawakera hata washirika wake, Ufaransa yalituhumu shirika la Israel kuingia mambo ya ndani ya nchi hiyo

    Jun 16, 2026 02:52

    Baada ya takriban mwezi mmoja wa uchunguzi rasmi, Paris imeituhumu kampuni ya Israel kwa kuingilia uchaguzi uliopita nchini Ufaransa, na imetaka maelezo kutoka Tel Aviv kuhusu suala hilo.

  • Amnesty International: Israel inafanya

    Amnesty International: Israel inafanya "maangamizi ya kizazi" katika Ukingo wa Magharibi

    Jun 13, 2026 09:04

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekutaja kuongezeka vitendo vya ukatili vya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi kuwa ni "maangamizi ya kizazi" na "kulazimisha watu kuhama makazi yao."

  • Rais Pezeshkian: Wairani wameungana kuilinda nchi yao dhidi ya vitisho

    Rais Pezeshkian: Wairani wameungana kuilinda nchi yao dhidi ya vitisho

    Jun 12, 2026 12:44

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kwamba taifa litalinda uhuru na mamlaka yake ya kitaifa licha ya kuongezeka vitisho na mashinikizo.

  • Italia yaanzisha uchunguzi dhidi ya Ben-Gvir kuhusu unyanyasaji wa wanaharakati wa Global Sumud Flotilla

    Italia yaanzisha uchunguzi dhidi ya Ben-Gvir kuhusu unyanyasaji wa wanaharakati wa Global Sumud Flotilla

    Jun 10, 2026 03:59

    Waendesha mashtaka wa Italia wameanzisha uchunguzi dhidi ya Waziri wa Usalama wa Israel mwenye msimamo mkali wa mrengo wa kulia, Itamar Ben-Gvir kuhusu mateso, unyanyasaji na utekaji nyara wa wanaharakati walioshiriki katika msafara wa Global Sumud Flotilla wa kupeleka misaada ya kibinadamu kwa watu wa Gaza, mwezi uliopita.

  • Hamas yaonya kuhusu ongezeko la ubomoaji wa majengo Ukingo wa Magharibi, yataka hatua za kimataifa zichukuliwe dhidi ya Israel

    Hamas yaonya kuhusu ongezeko la ubomoaji wa majengo Ukingo wa Magharibi, yataka hatua za kimataifa zichukuliwe dhidi ya Israel

    Jun 10, 2026 03:55

    Harakati ya Hamas imeonya kuhusu ongezeko la shughuli za ubomoaji wa nyumba na majengo ya Wapalestina unaofanywa na Israel katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, ikiwa ni pamoja na al-Khalil, ikitaja vitendo hivyo kuwa ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.

  • Guterres: Wafanyakazi 80 wa Umoja wa Mataifa waliuawa mwaka jana huko Gaza

    Guterres: Wafanyakazi 80 wa Umoja wa Mataifa waliuawa mwaka jana huko Gaza

    Jun 09, 2026 11:46

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, ametangaza kwamba wafanyakazi 136 wa shirika hilo la kimataifa waliuawa wakitekeleza majukumu yao katika mwaka uliopita, wakiwemo wafanyakazi 80 waliokuwa wakifanya kazi katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS