Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Muqawama wa Palestina watoa onyo baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya Israel tangu kusitisha mapigano

    Muqawama wa Palestina watoa onyo baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya Israel tangu kusitisha mapigano

    Aug 03, 2026 10:10

    Makundi ya Muqawama ya Palestina yametoa onyo kali baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya anga ya Israel tangu kusitisha mapigano Oktoba 2025, yakisema mashambulizi hayo yasiyokoma ni hujuma ya makusudi dhidi ya makubaliano ya kusitisha mapigano na ujumbe kwamba Israel haina nia ya kutimiza majukumu yake.

  • Vibaraka wawili wa Mossad wanyongwa nchini Iran kwa kutoa taarifa za usalama kwa Israel

    Vibaraka wawili wa Mossad wanyongwa nchini Iran kwa kutoa taarifa za usalama kwa Israel

    Aug 03, 2026 09:48

    Wanaume wawili waliopatikana na hatia ya kufanya ujasusi kwa maslahi ya shirika la ujasusi la Israel, Mossad, wamenyongwa kwa kosa la kutoa taarifa nyeti kuhusu jeshi na maeneo ya usalama ya Iran katika vita vya hivi karibuni vya Marekani na Israel.

  • Maandamano makubwa ya kupinga sera zilizofeli za Benjamin Netanyahu

    Maandamano makubwa ya kupinga sera zilizofeli za Benjamin Netanyahu

    Aug 03, 2026 02:40

    Wakazi wa maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel wamefanya maandamano makubwa katika maeneo mbalimbali wakipinga sera za serikali ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ambazo wamezitaja kuwa zimeshindwa.

  • Katika mwezi wa Julai pekee Israel imeua Wapalestina zaidi ya 150 Ghaza

    Katika mwezi wa Julai pekee Israel imeua Wapalestina zaidi ya 150 Ghaza

    Aug 02, 2026 13:10

    Wizara ya Afya ya Ghaza imetangaza kuwa, katika mwezi Julai pekee, Wapalestina 152 waliuawa shahidi katika eneo hilo lililowekewa mzingiro, ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya vifo vya kila mwezi kuwahi kurekodiwa tangu ulipoanza mwaka huu.

  • Jenerali wa Marekani: Hatuna vikosi vya kutosha vya kuilinda Israel na makombora ya Iran

    Jenerali wa Marekani: Hatuna vikosi vya kutosha vya kuilinda Israel na makombora ya Iran

    Aug 02, 2026 02:49

    Gazeti la The Washington Post limeandika: Jenerali mmoja mwandamizi wa Marekani barani Ulaya ameionya Pentagon kuwa Jeshi la Wanamaji halina vikosi vya kutosha vya kuweza kuendelea kuilinda Israel na makombora ya masafa marefu.

  • Mtaalamu wa kizayuni: Israel 'haina ubavu' wa kukabiliana na Iran kwa muda mrefu

    Mtaalamu wa kizayuni: Israel 'haina ubavu' wa kukabiliana na Iran kwa muda mrefu

    Jul 28, 2026 14:05

    Mtaalamu maarufu wa Kizayuni amekosoa kuongezeka utegemezi wa utawala haramu wa Israel kwa Marekani, akisisitiza kwamba utawala wa Kizayuni hauna tena uhuru wa kimkakati uliokuwa nao zamani na hauwezi kuhimili makabiliano ya muda mrefu na Iran.

  • Afisa wa UN alaani vikali mashambulizi ya kigaidi ya Walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    Afisa wa UN alaani vikali mashambulizi ya kigaidi ya Walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    Jul 25, 2026 11:08

    Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa, Francesca Albanese, amelaani vikali wimbi kubwa la ghasia zinazotekelezwa na walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika maeneo yote ya Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel.

  • Hamas: Kuongezeka mashambulizi dhidi ya Gaza ni jaribio la kuua makubaliano ya kusitisha mapigano

    Hamas: Kuongezeka mashambulizi dhidi ya Gaza ni jaribio la kuua makubaliano ya kusitisha mapigano

    Jul 24, 2026 07:13

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kwamba mashambulizi makubwa ya anga ya utawala wa Israel eneo la Ukanda wa Gaza katika saa kadhaa zilizopita ni mwendelezo wa vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya raia wasio na hatia na msisitizo wa kuvuruga makubaliano ya kusitisha mapigano.

  • Israel yafanya mauaji makubwa huko Nuseirat, janga la binadamu linazidi kuwa baya Gaza

    Israel yafanya mauaji makubwa huko Nuseirat, janga la binadamu linazidi kuwa baya Gaza

    Jul 18, 2026 10:59

    Wapalestina 14 wameuawa na wengine 37 kujeruhiwa, wengi wao wakiwa katika kambi ya Nuseirat katikati mwa Ukanda wa Gaza, kutokana na mashambulizi mtawalia ya Israel yaliyolenga maeneo mbalimbali ya ukanda huo, huku hali ya kibinadamu ikizidi kuwa mbaya.

  • Waziri Mkuu wa Malaysia asema raia yeyote wa Israel atakayepatikana nchini huko atafukuzwa mara moja

    Waziri Mkuu wa Malaysia asema raia yeyote wa Israel atakayepatikana nchini huko atafukuzwa mara moja

    Jul 16, 2026 03:07

    Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, amesema Muisraeli yeyote atakaopatikana akiingia nchini humo atafukuzwa mara moja. Amesema hayo huku mamlaka za Malaysia zikichunguza ripoti kwamba Waisraeli walitumia hati mbili za kusafiria kuingia katika jimbo la kusini la Johor.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS