Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Mchambuzi wa Asia Magharibi: Israel inakabiliwa na changamoto chungu nzima

    Mchambuzi wa Asia Magharibi: Israel inakabiliwa na changamoto chungu nzima

    Sep 07, 2026 02:46

    Mtaalamu wa masuala ya Asia Magharibi amesisitiza: “Tatizo kubwa zaidi la ndani linaloukabili utawala wa Kizayuni katika hali ya sasa ni matatizo ya kijamii ndani ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu.

  • Guterres atishia kuipeleka Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki

    Guterres atishia kuipeleka Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki

    Sep 03, 2026 09:04

    Gazeti la Kizayuni limeripoti kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametishia kuupeleka utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) huko The Hague nchini Uholanzi.

  • Viongozi wa Jumuiya ya Shanghai walaani vikali vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Viongozi wa Jumuiya ya Shanghai walaani vikali vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Sep 02, 2026 02:51

    Wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) wamelaani vikali vita vya kichokozi vya Marekani pamoja na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kupitia azimio lao la pamoja, wakionya kwamba jinai na chokochoko hizo zinaweka amani na usalama wa kimataifa katika hatari kubwa mno.

  • Waziri wa kizayuni aeleza 'anavyofurahishwa' na mateso wanayopata wafungwa Wapalestina

    Waziri wa kizayuni aeleza 'anavyofurahishwa' na mateso wanayopata wafungwa Wapalestina

    Aug 30, 2026 13:28

    Waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa kizayuni wa Israel, Itamar Ben-Gvir, amesema "anafurahishwa" na unyanyasaji wa wafungwa Wapalestina walioko kwenye jela za utawala huo na kuongeza kwamba yeye anahusika moja kwa moja na hali zinazoshuhudiwa katika jela hizo.

  • Israel inanyakua maelfu ya ekari za ardhi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi

    Israel inanyakua maelfu ya ekari za ardhi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi

    Aug 27, 2026 11:52

    Mamlaka za utawala wa Kizayuni wa Israel zimetwaa maelfu ya ekari za ardhi ya Wapalestina katikati mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu ili kujenga kile kinachoitwa "njia ya usalama" kuzunguka vitongoji haramu vya Wazayuni kinyume cha sheria za kimataifa na maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran: Iran kupanua kwa mafanikio mifumo ya ulinzi

    Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran: Iran kupanua kwa mafanikio mifumo ya ulinzi

    Aug 27, 2026 04:24

    Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran amesema kuwa Iran inapiga hatua mbele kwa kutegemea kikamilifu uwezo wake wa ndani, ikipanua mifumo yake ya ulinzi wa anga na kuzalisha nakala za mifumo ile iliyofanya vyema wakati wa vita vya siku 40.

  • Kamanda Qaani: Palestina ni fikra iliyo hai na isiyobadilika

    Kamanda Qaani: Palestina ni fikra iliyo hai na isiyobadilika

    Aug 24, 2026 06:08

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesema: "Suala la kukomboa Palestina, kuanzia baharini hadi mtoni, (ardhi ya Palestina kuanzia Bahari ya Mediterania hadi Mto Jordan) liko hai zaidi na linawezekana kutimizwa sasa kuliko hapo awali."

  • Baada ya kukana kwa zaidi ya miaka 2, Israel yakiri kumuua mtoto wa Kipalestina Hind Rajab

    Baada ya kukana kwa zaidi ya miaka 2, Israel yakiri kumuua mtoto wa Kipalestina Hind Rajab

    Aug 20, 2026 11:40

    Kwa mara ya kwanza, jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limekiri kuwa lilimuua Hind Rajab mtoto wa Kipalestina mwenye umri wa miaka mitano huko Ghaza, na hivyo kubatilisha makanusho yake ya hapo awali, na kutangaza kwamba limeshaagiza kufanyika uchunguzi wa kijinai kuhusiana na mauaji yake.

  • Israel imepora hekta 25,000 za ardhi ya Ukingo wa Magharibi katika miaka mitatu iliyopita

    Israel imepora hekta 25,000 za ardhi ya Ukingo wa Magharibi katika miaka mitatu iliyopita

    Aug 20, 2026 03:18

    Utawala dhalimu wa Israel umepora hekta 25,000 za ardhi ya Ukingo wa Magharibi katika miaka mitatu iliyopita.

  • Iran yalaani kauli ya waziri wa Israel, Ben-Gvir ya kuhamasisha mauaji dhidi ya Wapalestina, Gaza

    Iran yalaani kauli ya waziri wa Israel, Ben-Gvir ya kuhamasisha mauaji dhidi ya Wapalestina, Gaza

    Aug 18, 2026 03:27

    Mwanadiplomasia mwandamizi wa Iran ameeleza ghadhabu yake baada ya waziri mmoja wa itikadi kali wa utawala wa Kizayuni wa Israel kushauri kwamba utawala huo unapaswa kuwaua Wapalestina wa Ukanda wa Gaza kwa misingi ya “kiwango cha mauaji ya kila usiku.”

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS