Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Akthari ya Waingereza wanataka Israel iwekewe vikwazo

    Akthari ya Waingereza wanataka Israel iwekewe vikwazo

    Jun 05, 2025 03:10

    Utafiti mpya wa maoni uliosimamiwa na Kampeni ya Mshikamano na Palestina (PSC) unaonyesha kuwa, aghalabu ya wananchi wa Uingereza wanaunga mkono kuwekwa vikwazo kamili vya kijeshi dhidi ya utawala wa Israel.

  • Kwa nini mashinikizo dhidi ya Netanyahu hayafanyi kazi?

    Kwa nini mashinikizo dhidi ya Netanyahu hayafanyi kazi?

    Jun 04, 2025 11:02

    Mauaji ya Wapalestina wanaoishi Gaza yanayofanywa na utawala wa Kizayuni yangali yanaendelea, huku nchi na jumuiya mbalimbali za kimataifa zikitoa wito wa kukomeshwa mauaji hayo mara moja.

  • Kwa nini nchi za Amerika ya Latini zimejiunga na safu ya wakosoaji wa Israel?

    Kwa nini nchi za Amerika ya Latini zimejiunga na safu ya wakosoaji wa Israel?

    Jun 04, 2025 02:27

    Rais Lula da Silva wa Brazil amesisitiza katika matamshi yake kwamba kinachoendelea Gaza si vita bali ni mauaji ya halaiki. Alifafanua: Tunachoshuhudia huko Gaza hivi sasa si vita kati ya majeshi mawili hata kidogo, bali kuna jeshi moja tu lenye weledi kamili ambalo linaua wanawake na watoto wa Ukanda wa Gaza.

  • Uwanja wa Ben Gurion wapigwa tena kombora la hypersonic

    Uwanja wa Ben Gurion wapigwa tena kombora la hypersonic

    Jun 02, 2025 06:43

    Jeshi la Yemen limesema kuwa limeanzisha tena operesheni mpya za kulipiza kisasi dhidi ya maeneo yanayolengwa na Israel ndani kabisa ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, ili kukabiliana na jinai na uchokozi unaoendelea dhidi ya Wapalestina wa Gaza.

  • Israel yaua Wapalestina 30 katika vituo vya misaada vya US, Gaza

    Israel yaua Wapalestina 30 katika vituo vya misaada vya US, Gaza

    Jun 01, 2025 07:15

    Vikosi vya utawala haramu wa Israel vimewamiminia risasi Wapalestina waliokuwa wamekusanyika katika vituo vya kusambaza misaada vinavyoendeshwa na kundi linaloungwa mkono na Marekani kusini na katikati mwa Gaza, na kuua shahidi takriban 30 miongoni mwao huko Rafah, huku Mpalestina mwingine akiuawa shahidi karibu na korido ya Netzarim.

  • Jolani azidi kujikomba kwa Wazayuni, adai Syria, Israel zina maadui wa pamoja!

    Jolani azidi kujikomba kwa Wazayuni, adai Syria, Israel zina maadui wa pamoja!

    Jun 01, 2025 07:08

    Abu Mohammed al-Jolani, Mkuu wa utawala wa Hay’at Tahrir al-Sham (HTS) unaoongoza nchini Syria ameliambia gazeti linalohudumia jumuiya ya Wayahudi huko Damascus kwamba, "ukweli ni kwamba, tuna maadui wa pamoja - na tunaweza kuwa na jukumu kubwa katika usalama wa kikanda."

  • Barcelona yavunja uhusiano na Israel kutokana na mauaji ya Gaza

    Barcelona yavunja uhusiano na Israel kutokana na mauaji ya Gaza

    May 31, 2025 10:20

    Baraza la Jiji la Barcelona limetangaza kuvunja uhusiano wa kitaasisi na utawala wa Israel kutokana na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.

  • Je, uhusiano wa serikali ya Julani na utawala wa Kizayuni unaelekea wapi?

    Je, uhusiano wa serikali ya Julani na utawala wa Kizayuni unaelekea wapi?

    May 31, 2025 03:40

    Vyanzo vya habari vimetangaza kuwa ujumbe unaohusiana na serikali ya mpito ya Syria umefanya mazungumzo ya siri na viongozi wa utawala haramu wa Israel.

  • Israel yamjibu Macron: Kutambuliwa Palestina kutasalia kwenye karatasi tu

    Israel yamjibu Macron: Kutambuliwa Palestina kutasalia kwenye karatasi tu

    May 31, 2025 02:22

    Waziri wa Vita wa Israel, Israel Katz amemsuta na kumkejeli Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ambaye alisema mapema jana kwamba, kutambuliwa kwa taifa la Palestina, kwa masharti, ni "wajibu wa kimaadili."

  • Ben Gvir alitaka jeshi la Israel litumie 'nguvu kamili' Gaza

    Ben Gvir alitaka jeshi la Israel litumie 'nguvu kamili' Gaza

    May 31, 2025 02:22

    Waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel mwenye misimamo ya kufurutu ada, Itamar Ben Gvir ametoa wito wa kutumiwa "nguvu kamili" huko Gaza, baada ya madai ya uongo kwamba Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga pendekezo jipya la Marekani kuhusu usitishaji vita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS