-
Sayyid Hassan Nasrullah: Mashambulizi ya Israel nchini Syria hayavumiliki tena
Sep 19, 2018 23:22Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, mashambulizi ya mara kwa mara ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Syria hayavumiliki tena na inabidi yakomeshwe.
-
Ismail Hania: Maandamano ya Haki ya Kurejea na kuondolewa mzingiro hayatasimama
Sep 19, 2018 10:14Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, taifa la Palestina limeazimia kwamba, litasimama kidete kukabiliana na mzingiro wa adui Mzayuni hadi pale litakapousambaratisha.
-
Msimamo wa Theresa May wa kuitetea Israel, harakati ya kufuata nyayo za Trump
Sep 19, 2018 02:06Serikali ya Kihafidhina (Conservative) ya Uingereza inahesabiwa kuwa miongoni mwa watetezi na waungaji mkono wakubwa wa utawala wa Kizayuni wa Israel na licha ya jinai na uhalifu mkubwa unaofanywa na utawala huo dhidi ya watu wa Palestina, lakini hakushuhudiwi mabadiliko ya aina yoyote katika mienendo ya London katika uwanja huu.
-
Wapalestina 2 wauawa shahidi kwa kombora la Israel, Gaza
Sep 18, 2018 02:40Katika kile kinachoonekana ni mwendelezo wa ukatili na jinai, jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefyatua kombora kuelekea katika uzio wa Gaza na kuua shahidi Wapalestina wawili na kujeruhi wengine kadhaa.
-
Kutimuliwa Balozi wa Palestina nchini Markeani; hatua mpya ya Washington katika kuunga mkono Israel
Sep 17, 2018 23:26Hatua za kiuadui za Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Palestina na kuunga mkono kwake utawala haramu wa Israel kwa namna isiyo na kifani sasa zimeingia katika duru mpya.
-
Dunia yasubiri kuhukumiwa wahusika wa jinai za Sabra na Shatila
Sep 17, 2018 02:58Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetaka kuhukumiwa wale wote waliohusika na mauaji ya Sabra na Shatila huko Lebanon.
-
UNCTAD: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kutokana na mzingiro wa Israel
Sep 14, 2018 02:23Ukanda wa Ghaza umegeuka kuwa janga la kibinadamu lililogubikwa na madhila na utegemezi wa misaada kila uchao kutokana na mzingiro wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ardhi hiyo ya Palestina.
-
Wasiwasi kuhusu harakati mpya za Israel za kukivunja kijiji kingine cha kiistratijia cha Wapalestina
Sep 14, 2018 02:09Hatua ya jeshi la utawala katili wa Israel ya kuzidi kukizingira kijiji cha kiistratijia cha Khan al Ahmar cha mashariki mwa mji mtakatifu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni, imezusha wasiwasi kuwa Israel imekusudia kukishambulia na kukikalia kwa mabavu kijiji hicho na kuwafanya wakimbizi wakazi wake.
-
Saudia yanunua mfumo wa makombora kutoka Israel
Sep 13, 2018 09:22Saudi Arabia imeripotiwa kununua mfumo wa ngao ya makombora kutoka utawala wa Kizayuni wa Israel, katika hali ambayo ripoti zinasema tawala mbili hizo zipo mbioni kuweka wazi na kuimarisha uhusiano wao.
-
Kijana mlemavu wa Kipalestina afungwa jela miaka 35 na Israel
Sep 12, 2018 22:57Mahakama moja ya utawala haramu wa Israel imemhukumu kifungo cha miaka 35 jela kijana mlemavu wa Kipalestina kwa madai ya kuwashambulia askari wawili wa utawala huo katili.