Apr 17, 2023 10:38
Waziri wa vita wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema Iran inapigana dhidi ya utawala huo katika pande zote, huku kukiwepo na tahadhari zinazotolewa kuhusu uwezekano mkubwa wa kutokea vita vikubwa baada ya mageuzi tata ya kimahakama ya waziri mkuu wa utawala huo wa Kizayuni Benjamin Netanyahu kuzusha mgogoro wa ndani.