Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

  • Onyo kali la Majeshi ya Iran: Uchokozi wa Marekani katika Lango la Hormuz utajibiwa haraka

    Onyo kali la Majeshi ya Iran: Uchokozi wa Marekani katika Lango la Hormuz utajibiwa haraka

    Jul 03, 2026 03:45

    Kamandi Kuu ya Majeshi ya Iran, maarufu kama Kamandi ya Khatam al-Anbiya, imetoa onyo kali kuwa, uingiliaji wowote wa kijeshi wa Marekani katika Lango Bahari la Hormuz utajibiwa kwa kasi na maamuzi madhubuti na vikosi vya ulinzi vya Iran, huku ikisisitiza kuwa njia hiyo muhimu ya bahari iko chini ya mamlaka kamili ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

    IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

    Jun 27, 2026 03:24

    Kikosi cha Wanamaji la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimeshambulia ngome za kijeshi za Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia kulipiza kisasi uchokozi wa awali dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran.

  • Pezeshkian: Iran haitasalimu amri kwa matakwa 'ya kupitiliza' ya Marekani, inataka kurejeshea haki zake kikamilifu

    Pezeshkian: Iran haitasalimu amri kwa matakwa 'ya kupitiliza' ya Marekani, inataka kurejeshea haki zake kikamilifu

    May 25, 2026 12:28

    Rais Masoud Pezeshkian ametangaza kwamba Iran haitasalimu amri kwa mashinikizo ya Marekani na matwaka ya kuchupa mipaka ya utawala huo, akisema wapatanishi wa Iran watahakikisha haki za taifa zinarejeshwa kikamilifu kupitia mchakato wa kidiplomasia.

  • Yemen yamtahadharisha Trump/ Sana'a : Tunaunga mkono hatua za Iran katika Mlango Bahari wa Hormuz

    Yemen yamtahadharisha Trump/ Sana'a : Tunaunga mkono hatua za Iran katika Mlango Bahari wa Hormuz

    Apr 29, 2026 10:00

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imetahadharisha kuhusu hatua zozote za uchokozi na ukatili za serikali ya Trump katika Ghuba ya Uajemi na kutangaza kuwa Sana'a inaunga mkono hatua za Iran katika Mlango wa Bahari wa Hormuz.

  • Baqaei: Iran Iko tayari kujilinda mkabala wa vitisho vya adui

    Baqaei: Iran Iko tayari kujilinda mkabala wa vitisho vya adui

    Apr 23, 2026 09:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza utayari wa Tehran kujilinda dhidi ya mashambulizi na vitisho vya aina yoyote vya adui.

  • Pezeshkian: Taifa la Iran limemfanya adui akate tamaa kwa mapambano yake ya siku 40

    Pezeshkian: Taifa la Iran limemfanya adui akate tamaa kwa mapambano yake ya siku 40

    Apr 12, 2026 09:32

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo nafasi muhimu ya Muqawama na mapambano ya kitaifa katika kuvuka kipindi na hali ya vita na kusema: "Taifa la Iran, limemfanya adui akate tamaa na kukosa matumaini kwa Muqawama na mapambano yake ya siku 40."

  • Iran yalaani shambulio la kigaidi katika msikiti wa Imam Ali (as) nchini Syria

    Iran yalaani shambulio la kigaidi katika msikiti wa Imam Ali (as) nchini Syria

    Dec 28, 2025 00:14

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulio la kigaidi dhidi ya waumini katika Msikiti wa Imam Ali ibn Abi Talib (AS) katika kitongoji cha Wadi al Dhahab katika mkoa wa Homs , Syria na kuuwa shahidi  watu 5 na kujeruhi wengine 21.

  • Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia

    Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia

    Dec 28, 2025 00:05

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kukiukaji wazi mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya Somalia.

  • Kiongozi Mkuu: Jamhuri ya Kiislamu imebatilisha mantiki potofu ya Magharibi kuhusu mwanamke

    Kiongozi Mkuu: Jamhuri ya Kiislamu imebatilisha mantiki potofu ya Magharibi kuhusu mwanamke

    Dec 03, 2025 10:33

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameashiria mwenendo wa Magharibi wa kukazania kueneza utamaduni wake potofu duniani na kueleza kwamba: "wao wanadai kuwa mipaka maalumu iliyowekwa kwa ajili ya mwanamke, ikiwemo hijabu, vitazuia maendeleo yake,

  • Imam Khamenei: Suala la nyuklia na haki za binadamu ni visingizio tu, Marekani haifurahishwi na uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu

    Imam Khamenei: Suala la nyuklia na haki za binadamu ni visingizio tu, Marekani haifurahishwi na uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu

    Jul 29, 2025 23:53

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, sababu kuu ya upinzani wa ubeberu wa dunia unaoongozwa na Marekani mtenda jinai dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ni dini, elimu na umoja wa Wairani chini ya kivuli cha Qur'ani Tukufu na Uislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS