Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati ametoa wito wa kuwepo mshikamamo na ukarimu wa jamii ya kimataifa kwa nchi yake ili kusaidia kuboresha hali ya mambo nchini humo.
Afisa wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa ameitolea wito kwa jamii ya kimataifa kuunga mkono pakubwa mapambano dhidi ya kundi la Boko Haram.
Hatua ya utawala wa Bahrain kumvua uraia mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Ayatullah Sheikh Isa Qassim, imeendelea kulaaniwa na asasi mbalimbali duniani, shakhsia mashuhuri na jamii ya kimataifa kwa ujumla.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq Ibrahim al-Jaafari ameiomba Jamii ya Kimataifa iisaidie nchi yake katika vita dhidi ya ugaidi.