-
Iran yaicharaza Japan 2-1 na kutinga nusu fainali ya Kombe La Asia
Feb 03, 2024 14:49Mkwaju wa penalti wa dakika za mwisho wa Alireza Jahanbakhsh uliipa Iran ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Japan Jumamosi na kuiwezesha timu hii ya taifa ya soka ya Iran kutinga nusu fainali ya Kombe la Asia kwa mara ya pili tangu 2004.
-
Tahadhari ya tsunami baada ya zilzala yenye ukubwa wa 7.6 kuipiga Japan
Jan 01, 2024 11:54Idara ya Hali ya Hewa ya Japan imeonya kuwa, kuna tishio la kutokea kwa mawimbi makubwa ya tsunami nchini humo kufuatia tetemeko la ardhi lililokuwa na ukubwa wa 7.6 kwa kipimo cha rishta.
-
Iran: Haiwezekani kabisa kuuvunja nguvu muqawama
Dec 20, 2023 11:14Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, harakati ya muqawama ni uhakika wa kieneo ambao ndio unaoleta utulivu na usalama katika ukanda huu mzima na ndiyo nguvu inayopambana kikweli na vitendo vya kigaidi na magenge ya ukufurishaji.
-
Iran: Taarifa ya Japan na Waarabu kuhusu visiwa vitatu haina maana
Sep 08, 2023 03:18Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa taarifa ya pamoja iliyotolewa na Japan na nchi za Kiarabu kuhusu visiwa vitatu vya Iran vya Bu Musa, Tomb Ndogo na Tomb Kubwa na kusisitiza kuwa taarifa hiyo haina umuhimu wowote.
-
Waziri Mkuu wa Japan amwachisha kazi msaidizi wake kwa kupinga ndoa za watu wa jinsia moja!
Feb 05, 2023 07:48Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kishida amemwachisha kazi katibu wake mmoja kwa sababu ya matamshi yaliyotafsiriwa kuwa ya chuki dhidi ya maingiliano ya kimwili ya watu wa jinsia moja; na kusema, matamshi hayo yaliyotolewa na msaidizi wake huyo wa masuala ya kiuchumi ni "ya kuchukiza".
-
Russia: Waziri Mkuu wa Japan ni msaliti wa wahanga wa mashambulio ya nyuklia ya Marekani
Jan 15, 2023 02:23Naibu wa Mkuu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema kuwa, Waziri Mkuu wa Japan ni msaliti wa wahanga wa mashambulio ya nyuklia ya Marekani nchini mwake na kusisitiza kuwa, waziri mkuu huyo anatumikia malengo ya kibeberu ya Marekani.
-
China: Japan inatia shaka kwamba inataka suluhu wakati imeongeza mno bajeti ya kijeshi
Dec 28, 2022 11:25Wizara ya Mambo ya Nje ya China imesema mipango ya Japan ya kuongeza kwa kiwango kikubwa mno bajeti yake ya kijeshi inatia wasiwasi na kusisitiza kwamba: kuna shaka kuwa hatua hiyo ya Tokyo imechukuliwa kwa nia ya kuleta suluhu na amani.
-
Japan yataka Umoja wa Afrika upewe uanachama wa G20
Dec 20, 2022 02:40Japan imetangaza kuwa inaunga mkono pendekezo la kupewa uanachama Umoja wa Afrika (AU) katika kundi la G20.
-
Korea Kaskazini yafyatua kombora la balestiki kuelekea Japan
Oct 04, 2022 07:51Korea Kaskazini imefyatua kombora lake la balestiki kuelekea upande wa Japan, na kupelekea kusitishwa kwa usafiri wa treni katika baadhi ya maeneo, huku Wajapani katika maeneo ya kaskazini wakitakiwa kujificha.
-
Kombora jipya la Korea Kaskazini na kiwingu kizito cha vita Kusini Mashariki mwa Asia
Sep 26, 2022 08:20Hatua ya Korea Kaskazini ya kufanyia majaribio kombora lake jipya kuelekea upande wa Bahari ya Japan imepokewa kwa hisia kali na nchi mbili za Japan na Korea Kusini.